Hatimaye nipo huru

Hatimaye nipo huru

Nakataa wewe sio wa Singida....hili neno ni la kizaramo,/Pwani sana.
Hata maneno mengine pia kwenye masimulizi Yako.
Mkuu mimi Pwani ni wa kuja tu, ingawaje nimekaa zaidi ya miaka 10.

Kitu muhimu kingine ni kwamba, niliyoyaandika nimesimuliwa na nilikuwa narikodi ndio maana sikupata shida katika kuandika ingawaje mengi sana sikusimulia kwakuwa muhusika hakutaka hayo yajulikane kupitia kwangu kwa wakati huo (maybe hadi sasa)
___

Wape linki wengine waje wajifunze.



Sent from my Infinix X690B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu JBourne59 baada ya " hatimae niko huru" na "Hamida" kuna mkono wako mwingine hapa jf? Simulizi zako nimejifunza elimu mpya, hamasa ya kupambana, uvumilivu, busara kubwa, n. k
 
Mkuu JBourne59 baada ya " hatimae niko huru" na "Hamida" kuna mkono wako mwingine hapa jf? Simulizi zako nimejifunza elimu mpya, hamasa ya kupambana, uvumilivu, busara kubwa, n. k
Kwa account hii hakuna. Sijapata muda mzuri wa kuandika

Sipendi kwenye nyuzi zangu watu wawe na arosto, bora mtu achoke mwenyewe kusoma lakini akija akute kitu kinaendelea hadi mwisho.

Nataka niandike stori ya kufurahisha mioyo tu, 'hekaheka uzeeni'

Sijui kama nitamaliza upesi niifungulie uzi.

Sent from my Infinix X690B using JamiiForums mobile app
 
Kwa account hii hakuna. Sijapata muda mzuri wa kuandika

Sipendi kwenye nyuzi zangu watu wawe na arosto, bora mtu achoke mwenyewe kusoma lakini akija akute kitu kinaendelea hadi mwisho.

Nataka niandike stori ya kufurahisha mioyo tu, 'hekaheka uzeeni'

Sijui kama nitamaliza upesi niifungulie uzi.

Sent from my Infinix X690B using JamiiForums mobile app
Asante sana. Nakuomba ukifungua uzi weka link kwenye hizi zilizopita ili iwe rahisi kwa wanaofatilia kujua.
 
Back
Top Bottom