Safi sanaSafi…
Ukimaliza lunch, shushia na From this moment by Shania…
Shem siku hizi unachamba!We nae kama huku kunakukera si uende kwenye majukwaa ya arise and shine...
Hongereni kwa kumpata shemHongera sana kupata mwanaume anaekupenda sana raha mno
Acha kuchomoa weweKama wewe ila sijasema kuwa niwe nawewe hapana
I want to marry you Unique Flower 😍Yaani I wish one day mtu aseme will you marry me?? Hivyoo rafiki hebu niombee litokee
Super sub bila shaka na namba yake unayoWanaume hamjawahi kuchoka kukaa sub, imagine kuna mkaka ananitongoza toka 2019🤣🤣🤣🤣 Anasubiri ndoa iyumbe nikampe vya hasira🤣🤣🤣🤣
Kwenye hili nawaaminia🤣
Kuna watu wanajikuta walokolee wakati kutwa tuko nao humuhumu wanakera shemeji😁😁Shem siku hizi unachamba!
Ahaaa shem kumbe sasa dawa yao kichambo!Kuna watu wanajikuta walokolee wakati kutwa tuko nao humuhumu wanakera shemeji😁😁
😆😆😆😆😆😆nmecheka sanaWe nae kama huku kunakukera si uende kwenye majukwaa ya arise and shine...
Kanikeraaa🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆nmecheka sana
Kiherehere kwenye post za watu....yaani utadhani kaitwaKanikeraaa🤣🤣🤣
Inakuwa Heri Unae wa kugombana nae🤣Kwakuwa yake yana mgogoro eeh!! Sasa yana uheri gani hayo🙆
Hakuna mahusiano rahisi, napambana Tu....Kama zimeshindwa kuishi Kwa Amani nchi ziloungana itakuwa binadamu.....Mie mwenzio nimejigeuza Tanganyika, Kama nipo....Kama sipo🤣🤣🤣🤣Hujapitia magumu wewe....kuna muda usingle ni raha sana
Nimeipenda hii, ashindwe....Ila msimamo nnao bwana, sijatoa hata busu nini papa🤣🤣🤣Unaruhusu vipi mtu akutongoze miaka 5 wakati upo kwenye ndoa? Hata wewe huna msimamo na unasema kabisa ndoa iyumbe ukampe vya hasira.
Ukiona kuna mtu anasubiria heri yoyote ikuondokee ili yeye atimize lengo lake huyo ndio shetani namba moja na umuweke kwenye list ya maadui wakubwa na ukiweza muombee mabaya ili kabla ya jambo lako kuyumba ayumbe yeye kwanza.
Zingatia kanuni moja tu: No Secret, No lies and respect one another. Kuna wakati utamwona wa kawaida sana lkn usiruhusu hali ya kumzoea. Maisha yenu yatakuwa na furaha daima. Remember love is a Choice NOT feelings. Nakutakieni maisha mema.Good morning ma lovers,
Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.
Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.
Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi🙌🙌
But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitu😃 lakini gues what, limetimia kabla ya wakati!
I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).
Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu🙏🙏 anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love🥰🥰❤️
Muwe na Jumapili iliyo njema.
Aah mbona niko singo mwaka wa3 huu na ndani sijifungii jamaniHakuna mtu atakuwa single for 2 years bila kugongana hapa jijini labda kama anajifungia ndani tu haendi maeneo yenye mzunguko wa mabaharia.
