Tena tumuache azame aenjoyyy, Nani hajui utamu wa penzi jipya🤣🤣🤣 Tamu nyie..... Leejay49 Zama mdogo wangu.....hata ukiibuka ubaki na good memories za kuzama🤣mwache mwenzio kazama penzini 😂
Hata kama umeamua kunitangaza ila sitachoka kukaa sub,kukata tamaa ni mwiko,naishi kwa kauli ya fuata Nyuki ule Asali.Wanaume hamjawahi kuchoka kukaa sub, imagine kuna mkaka ananitongoza toka 2019🤣🤣🤣🤣 Anasubiri ndoa iyumbe nikampe vya hasira🤣🤣🤣🤣
Kwenye hili nawaaminia🤣
Hahahahahah siku moja utampa tu wala haina tabu...Wanaume hamjawahi kuchoka kukaa sub, imagine kuna mkaka ananitongoza toka 2019🤣🤣🤣🤣 Anasubiri ndoa iyumbe nikampe vya hasira🤣🤣🤣🤣
Kwenye hili nawaaminia🤣
Nilifanya hivyo tu my first love, tena sikumtongoza ila nilimwekea mazingira ya kuniapproach kilichonipata Mungu ndo anajua.. Niliweka uzi humuAisee,mwanamke kutongoza si umalaya....ukimpenda mtu mwambie....maana hata kutongozwa na kukubali bado utaitwa malaya cute.....uoga unatuponza....Miaka 2 bila kushtuliwa kiungo!?🤨
Nyie hamjawahi kulichoka benchi.....full kucheck kuulizia namba avae jezi aingie uwanjani.....mna maana nyie?🤣🤣🤣🤣Ati kukaa sub 🤣🤣🤣🤣 anasubiria tuu siku ya siku umuonjeshe tamuuuuu
Kiuhalisia au kinadharia!being single for almost two years
Mfate alipo.Hahahahahah siku moja utampa tu wala haina tabu...
Mwenyewe kuna Mbususu iko uzunguni nabonga nayo toka Magufuli kaingia madarakani hadi kadedi ila siku likitua Kipawa tu naishi nayo. Wanaume tumeumbiwa subira 😂😂😂
Na hamsusi, wala hampigani na kocha🤣🤣🤣 nafasi ikitokea mnavaa jezi mnajitupa pitch🤣🤣🤣🤣Hata kama umeamua kunitangaza ila sitachoka kukaa sub,kukata tamaa ni mwiko,naishi kwa kauli ya fuata Nyuki ule Asali.