Hatimaye nimempata!

Hatimaye nimempata!

We kijana Leo umefanya akili iburudike ganzi ilishia njiani alooooo niliona kama nimebeba Jiwe kwenye mapaja sasa bora irudiwe🤣sio kwa kupata penzi jipya
Mapenzi yanatesa mwangu sio powa! Home maza na mzee wanaambiana huyu mpaji mungu atakua anateswa na homa za usiku kumbe mwamba penzi linanimaliza
 
Sio kweli kwamba tunatakiwa kupambana na kuepukana na upweke. In case you dont know, there is peace and tranquility in solitude.

And i must tell you, there is more happiness in upweke than in relationships. Wait and see!
Really! How do you feel the happiness in upweke mkuu?
 
Umejaribu kumpenda yule anayekupenda?
Yaani mnapendana wote?
Hamwezi kupendana wote, anaependa sana anakua Moja mwingn anakua anatoa ushirikiano!

Kuna mda yule aliependa sana anakua anajizima data kuvumilia baadhi ya vitu ili penzi lisonge lkn aliependwa anakua anaona kila kitu oky
 
Bora penzi lipoe ama upate hekaheka Mimi niwachane tu ata nikiwa kwenye penzi jipya hua sipendi kupoteza status yakutongoza 🤣🤣hii ndio hekaheka nayoipenda ktk mahusiano
Ujue ukiwa na uhakika wa kupiga hata utongoze ukataliwe utongoze ukubaliwe haishtui sana maana Haina madhara ila kuwa na genye qali ndo utajua hujui
 
Back
Top Bottom