Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,142
- 190,578
Kama wadudu tu hawana madhara kabisa 😂Wengine mnawaona kama vibuyu
Kama wadudu tu hawana madhara kabisa 😂Wengine mnawaona kama vibuyu
Ngoja waje wale wa Mtaachana tu.
Nipo salama kabisa Chalz..Niaje rafiki yangu Carleen uko poa
Ooh,kama ndivyo bas mie ndiye perfect combo...em sogea nikuambie kitu🤣😂😁 Huyu ni dada yangu Tena ni mdogo wangu wa mwisho
Na mie nasubiri nikitulia tu naanza kupitia moja baada ya nyingine
Hahahahahaha...Rafiki nishapata sababu Mangi hapa kanitwanga na 3 mie mwenyewe nina 3 kwa friji ..mapema tu shetani kanipitiaDuuh😂😂
Huyo shetani mnamsingizia sana ujue
Mkuu umewaza mbali sana,unaweza ukawa upo sahihi coz thread za kumfungulia binti zilikua nyingi sana.Nimejiuliza tu kwa nini kaweka uzi...
Halafu akili ya kibazazi ikaniambia kausha, kuna mtu au watu wanafikishiwa ujumbe hapa jukwaani...
Watanzania huwa mna nini na watu wakipendana zao tu..??Nimejiuliza tu kwa nini kaweka uzi...
Halafu akili ya kibazazi ikaniambia kausha, kuna mtu au watu wanafikishiwa ujumbe hapa jukwaani...
Mi nachangamsha genge tu, ndio umeona uje kunipiga fix kabisa 😂😂😂! Miaka miwili like serious au ulikuwa eda?Unaonekana unapenda sana chini watu tumekaa miaka 3 bila bila we unazungumzia miwili.
Embu ngoja Nikubusu 😘😘 mi amor 😘Ooh,kama ndivyo bas mie ndiye perfect combo...em sogea nikuambie kitu
Me love you 😘 🥰Embu ngoja Nikubusu 😘😘 mi amor 😘
Hahahahaha..akili za kibazazi nimezikubaliNimejiuliza tu kwa nini kaweka uzi...
Halafu akili ya kibazazi ikaniambia kausha, kuna mtu au watu wanafikishiwa ujumbe hapa jukwaani...
😂🤣😁Nimejiuliza tu kwa nini kaweka uzi...
Halafu akili ya kibazazi ikaniambia kausha, kuna mtu au watu wanafikishiwa ujumbe hapa jukwaani...
HahahahahaMkuu umewaza mbali sana,unaweza ukawa upo sahihi coz thread za kumfungulia binti zilikua nyingi sana.
Sasa mbona unatuchanganya?Me love you 😘 🥰
Kuna mtu kauziwa mbuzi kwenye gunia 😂
Hahahahaha..nadhani next threads ya namna hii itatokeq kwakoMe love you 😘 🥰
🤣🤣🤣🤣🤣 hujawahi eleweka kama mimi tu😜Sasa mbona unatuchanganya?
Ngoja niufute huu uzi ambao ndio nilikua nataka kubonyeza kitufe cha Post