Hatimaye Mubarak aachia ngazi!

Hatimaye Mubarak aachia ngazi!

raia mmoja analia akitamka maneno haya:

"it's quite unbelievable that the people's power have just brought in change that no one anywhere in the world could imegine".

Watanzania lazima tuthubutu tu. kama hatutathubutu tutaendelea kuitwa wendawazimu na kina makamba.

inawezekana.

source: aljazeera
Ujakosea mkuu! tukiamua na kujiamini hakika inawezekana kabisa. Wao mbona
wameweza? kwanini sisi tushindwe? Jibu ni moja tu -Inawezekana
 
waarabu wameanza kuelimika bado hivi punde nasi waswahili tutaja elimika,,,,,ata uhuru walianza kupata waarabu,,,

Watu weusi tusijilinganishe na waarabu,wana roho za kijabali wakati sisi maneno mengi matendo sifuri
 
Egyptian PEOPLE: Do not celebrate in the end zone! Watch your backs, it's not over! Good luck
a9c4de8903c3fae7912a47349b78438b.jpeg
 
they were smart in deed
Yaani hawa jamaa walikaza kwa kweli 18 days mmeacha mambo yenu mpo liberation square huu ndio uhuru kamili wa wananchi hakuna mjadala. Leo hii kweli twaonekana waoga ilka siku yao ipo patakuwa hapatoshi. Leo wanaccm akina makamba, tambwe na mkwere hawapati usingizi wamejua nguvu ya umma sasa wakafie mbele watuachie nchi yetu kama hawataki kutufanyia tunachotaka
 
Yaani hawa jamaa walikaza kwa kweli 18 days mmeacha mambo yenu mpo liberation square huu ndio uhuru kamili wa wananchi hakuna mjadala. Leo hii kweli twaonekana waoga ilka siku yao ipo patakuwa hapatoshi. Leo wanaccm akina makamba, tambwe na mkwere hawapati usingizi wamejua nguvu ya umma sasa wakafie mbele watuachie nchi yetu kama hawataki kutufanyia tunachotaka
Wapewapee kakaaaa.....Leo hawalali hao! eti wanajivunia jeshi'hawajui kuwa hata
humo ndani ya jeshi kuna watu hawaitaki ccm. Lol! mkafie uko
 
Amekabidhi utawala kwa jeshi, sioni nafuu yoyote. Inanikumbusha kitabu kiitwacho "Kwaheri ukoloni, kwaheri uhuru" kilichoandikwa na Dr Harrith Ghassany
 
Yaani hawa jamaa walikaza kwa kweli 18 days mmeacha mambo yenu mpo liberation square huu ndio uhuru kamili wa wananchi hakuna mjadala. Leo hii kweli twaonekana waoga ilka siku yao ipo patakuwa hapatoshi. Leo wanaccm akina makamba, tambwe na mkwere hawapati usingizi wamejua nguvu ya umma sasa wakafie mbele watuachie nchi yetu kama hawataki kutufanyia tunachotaka
😛opcorn:😛opcorn::first::laugh::coffee::roll:
 
Gaddafi Gadafi Gaddafi tumbo linawaka moto. Huku south of sahara bado sana
Binafsi namkubali sana Gaddaf. Huyu jamaa nchi yake yote ni jangwa,lakini cha
ajabu ndani ya nchi hiyo kila kitu kinapatikana kasoro uhai tu wa kuzuia wasife.
Healthy care,maji 24 hrs,umeme 24hrs, ajira 24hrs, elimu mzuri nk. Sasa hapa
kwetu miaka 50 hakuna hata moja! porojo tu. wizi mtupuuuuu.
 
Well done Egyptians. You made a history the world 'll never 4get. 18days of revoln, nothing is impocble. Africans wake up and varnish leadess who seems to act like Mubarak, including Kekwete of Tanzania, Museven of Uganda, Mugabe of Z'bwe, to mention few. No more tym to waste.
 
Mimi naona hiyo ni "Kwaheri ukoloni, kwaheri uhuru"! Utawala wa kijeshi hauna nafuu yoyote!
Kaka bora hata hao wanajeshi wabebe tu hiyo nchi kuliko mijitu kama mubarak. Pia hata hao wanajeshi watajifunza kilichompata
mubarak
 
Kweli peoples power! Hakuna kisichowezekana chini ya jua. Funzo kwa waliyo madarakani ktk Africa.
 
Watu weusi tusijilinganishe na waarabu,wana roho za kijabali wakati sisi maneno mengi matendo sifuri

Mkuu statement yako ina walakini and is just not true! Kama huo unaouita roho za kijabali your brothers are very late ukiwalinganisha na say wakenya, look at what happened in South Africa....hivi ilikuwa ni waarabu wale???????
 
kwa TZ sio rahisi manake serikali ya CCM inatupiga risasi hata kama ni haki kuandamana. Na maandamano yote ya kuipinga serkali hayapewi kibali tz. Kazi tunayo.

Yaani mkuu unategemea maandamano ya namna ile uyafanye baada ya kupata kibali??????????
 
Kwa heri Mubarak, Kweli viongozi wa Afrika hawajui watazikwa wapi, Bado hapa kwetu tusubiri tuone mkwere anafanyaje kuwa elezea waTz wamuelewe maana haeleweki
Mkuu hawa wa hapa kwetu wanajifanya vipofu na wameshindwa kusoma alama za nyakati. Lakini siku yao
inakaribia very soon
 
Back
Top Bottom