Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 48
jeshi linachukua madaraka kwa mda tu ili kutuliza amani ya nchi na kuandaa maandalizi ya uchaguzi utakao kuwa huru kabisa
Kaka bora hata hao wanajeshi wabebe tu hiyo nchi kuliko mijitu kama mubarak. Pia hata hao wanajeshi watajifunza kilichompata
mubarak