Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 242
Aisee! kumbe aliwaekea mkanda wa video huku yeye akijiandaa kutokomea , hata hivyo yeye mwenyewe alisema anawakubali vijana wa kileo kwa jinsi wanavyodai mabadiliko, sasa kazi bado kwetu sisi wabongo, je tutaweza? Mtu anayefuatia nadhani atakuwa Muamar Gadafi!