Hatimaye Mubarak aachia ngazi!

Hatimaye Mubarak aachia ngazi!

Wakubwa kwa mara ya pili katika kipindi kifupi tumeona mfano ya kuwa jambo hili linaezekana kabisa!! Ni sisi wenyewe kuamua tu. To do it now.... or never!!!
 
...Nikasema Mubarak hawezi ondoka kirahisi rahisi au la atliachia jeshi madaraka. Na ndivyo imetokea usiku huu.
Mkuu hapo unaongea kama mnajimu Sheikh Yahya Hussein. Yaani yametokea kwa sababu ulisema?
 
- Wakuuu heshima sana, I mean bado sijaelewa kilichotokea Egypt imeshinda Demokrasia, Wananchi, Freedom au it was Mubarak Vs Mubarak?

- Help please, Wa-Tanzania tuna nini cha kujifunza na Egypt?


William!, @ NYC, USA.
 
Nabaki najiuliza kwanini egypt?na icwe tanzania?je watanzania ni waoga?je wameridhika na haya waliyona sasa?jamani watanzani 2ige mfano wa wenze2 egypt na 2nisia kuwaondoa hawa mafisadi ili 2pate japo nafuu ya maisha.
 
Mtani,

Ujumbe wenyewe ni huu hapa chini:

You can get it if you really want, You can get it if you really want, You can get it if you really want,
But you must try, try and try, Try and try, you'll succeed at last

Rome was not built in a day, Opposition will come your way

But the hotter the battle you see, It's the sweeter the victory, now

........... so don't give up now





HAKI HAIOMBWI ila HUPIGANIWA.
 
Last edited by a moderator:
- Wakuuu heshima sana, I mean bado sijaelewa kilichotokea Egypt imeshinda Demokrasia, Wananchi, Freedom au it was Mubarak Vs Mubarak?

- Help please, Wa-Tanzania tuna nini cha kujifunza na Egypt?
Kilichotokea ni egyptians against Mubarak detectorship!

Tumejifunza mengi ikiwa ni pamoja na:
1. Unapotawala watu hakuna kinachoumiza watu kama kutengeneza 'genetic mornachy', tena kwa mtoto/watoto ambao 'in normal circumstance' kichwani hakuna kitu.
2. Tawala watu kwa kipindi kifupi, kisha jipime kama bado unaweza kuwaletea maisha bora; otherwise wahachie wengine kama alivyofanya Nyerere.
3. Utawala wa mabavu una mwisho, na mara zote mwisho unakuwa mbaya na kufunika yote mema uliyofanya.
4. Ukiwa mtawala usihangaike kujilimbikizia mali maana zote zinaweza kuyeyuka "with a blink of eye".
5. Hacha member wa familia yako watafute "own destiny" maana wanaweza kuishi maisha mema zaidi baada yako kuliko ukiwasaidia kifisadi.

Nina hakika kuna mengine mengi zaidi,
 
Maandamano yakianza hapa kwetu, ntakwenda na familia yangu hakuna kurudi nyumbani, mpaka kieleweke
 
- Wakuuu heshima sana, I mean bado sijaelewa kilichotokea Egypt imeshinda Demokrasia, Wananchi, Freedom au it was Mubarak Vs Mubarak?

- Help please, Wa-Tanzania tuna nini cha kujifunza na Egypt?

William!, @ NYC, USA.

Egyptians wameruka mkojo na kukanyaga mavi. Hakuna demokrasia chini ya utawala wa kijeshi, na mbaya zaidi ni jeshi ambalo liko royal kwa Mubarak.
 
- Wakuuu heshima sana, I mean bado sijaelewa kilichotokea Egypt imeshinda Demokrasia, Wananchi, Freedom au it was Mubarak Vs Mubarak?

- Help please, Wa-Tanzania tuna nini cha kujifunza na Egypt?


William!, @ NYC, USA.

Hivi Egypt haina katiba? Na kama katiba ipo inasemaje raisi akijiuzulu? Never heard of a constitution inayosema raisi akijiuzulu anakabidhi madaraka yake jeshini!!
 
Wote hawa, yaani Mubarak na Mugabe kwa vipindi tofauti wameonekana kama ni mashujaa wa kitaifa (national heroes) nchini kwao. Mubarak ameondoka kwa kufukuzwa na wananchi wake, je Mugabe atamaliza ngwe yake kwa usalama?
 
Hivi Egypt haina katiba? Na kama katiba ipo inasemaje raisi akijiuzulu? Never heard of a constitution inayosema raisi akijiuzulu anakabidhi madaraka yake jeshini!!
Kuna tofauti kubwa kati ya kujiuzulu na kufukuzwa!
 
Mpaka siku ambayo jeshi litakabidhi madaraka kwa viongozi wa kiraia mshindi hapa ni Mubarak na his cronies so far.... Alichofanya ni kuwapa wananchi wanachotaka (ajiuzulu urais), tukumbuke jamaa kaliachia jeshi madaraka halikumpindua isitoshe bado yuko Egypt therefore anaweza akawa anatawala kutoka nyuma ya pazia.
 
Kumbukeni tangu 1952 Egypt imetawaliwa kijeshi. Sema tu watawala walikuwa wanavaa suti na sio magwanda!
 
Ila jamaa wa-egypt wamefanya kazi kubwa mpaka kimeeleweka.Wangepoa kidogo jamaa lisingeondoka.Tuna la kujifunza hapo!!

dah! Kweli kabisa. Huyu wetu mishipa ya aibu naöna ilishakatika, anajionea sawa tu. Khaa!
 
Mimi nawashangaa ndugu zangu wa TZ, sijui tutaamka lini. Mugabe anakuhusu nini? Anajua wewe unasomaje au unakula nini? Tupiganie nchi yetu toka kwenye nikono ya hawa walanguzi wa maisha yetu. Hakuna kitu kitabadilika Tanzania kama hatujaamua kujitoa muhanaga, kuingoa serikali inayo uza maisha yetu kwa faida ya watu wachache!
 
Wee mbona una kiherehere? Utawezaje kuyajua yako bila ya kuyaona ya wenzako? Eti unawashangaa ndugu zako wa Tz. Anza kujishangaa mwenyewe! Mbona hujajitoa mhanga hadi sasa. Unangoja nini?
 
Back
Top Bottom