NDOTO KAVU
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,513
- 1,120
Nenda kaandamane tukufanye kitu kibaya ambacho utajutia hata wazazi wako kukuzaa ! si umeona wakina Mbowe, Lissu nk tulivyowafanya, bado wewe sasa . Na sio kwamba tunakutisha
Ni bora Dk Slaa angeapishwa kuwa rais maana tangu "washinde" uchaguzi mwaka jana JK na administration yake hawajawahi kuiongoza hii nchi wamebakia tu kucheza ngoma za CDM. Mshikemshike mwanza, mauaji arusha, walk out bungeni, katiba mpya, maandamano, kupigwa mawe nyamongo, kukamatwa Lissu, kukamatwa Mbowe. Movie zote hizi good guy - CDM, bad guy - CCM. Ukizingatia ni miezi sita tu....
CCM ina taabu nyingi sana sasa hivi. Sidhani kama wanahangaika na kuruka dhamana kwa Mbowe. Mwambieni Mbowe na viongozi wetu wengine wa CHADEMA wajitofautishe kidogo na Mchungaji Mtikila. Tunawahitaji mno kwenye agenda za kitaifa kama Katiba mpya, Gharama kubwa za maisha kwa WATANZANIA, Ufisadi ambao walikuwa wameusimamia vizuri,.....
TLS mbona mnachelewa kutoa maoni? inapendeza kama mnatoa maoni yenu mapema angalau ionekane fulani walisema
Jeshi la polisi limeisha yapiga marufuku nchi nzima, nenda kaandamane sasa uone cha mtema kuni !
Mwenyekiti wa chadema ameshaachiwa na sasa watu wamembeba juu juu Arusha
Hongera Chadema kwa kutumia vyema nafasi yenu, maana bila kujua CCM imeingia kwenye 'Trap' ya kisiasa ambayo mwisho imeshindwa.
Chadema walijua toka mwanzo kuwa wanahitaji kuungwa mkono na wananchi ili kufanikisha kuwa budget hii inakidhi matakwa ya wananchi lakini kutokana na kuwa na wabunge wachache wakahofu kuwa hoja zao zitazimwa. Hivyo wakaona ni vema wakatumia 'people power' ili kupata nguvu, so wakadraw attention ya Umma wa Tanzania kwa Kumtoa Mh. Mbowe ili aende polisi kujisalimisha bila kujua CCM wakaona hii ndio nafasi ya kutumia kudhoofisha upinzani.
Chadema wakaweza kupata support ya umma kama walivyokusudia na kuondoa attention ya watu juu ya budget. Umma ukabaki kutafuta njia ya kumtetea Mh. Mbowe kwa kuona ndio mtatuzi na mtetezi wa maisha yao.
Leo dhamana imetolewa kama walivyopanga chadema na kesho wabunge wote watakuwa Dodoma.
Chadema wameweza kuwainfluence wananchi hivyo kila kitu ambacho mbunge wa chadema atakachosema kitakuwa na support ya wananchi, hivyo tunaomba wabunge wote wa Upinzani kutumia nafasi hii kwa dhati kuwatetea wananchi, kwani sote watanzania tunategemea sana wao kututetea kwa maendeleo ya nchi na wananchi.
CCM Strategists ni waganga wa kienyejiStrategists wa ccm (kama kweli wapo) ni mufilisi wa kufikiri. Leo tumeamka na headlines mbili kubwa:
Moja ni hii ya Mbowe kukamatwa na nyingine ni Rais Kikwete analalamika viongozi wa dini wanajihusisha na madawa wa kulevya!. Where is ccm in all these? No publicity is bad publicity, CHADEMA nadhani wamelijua hili na ndio maana kila mara ccm wakija na porojo zao basi chadema wanageuza to thier advantage. Sasa Kikwete atarudi dar na kupokelewa na hasira za umma baada ya kumkamata Mbowe, at the same time aanze mkakati wa ku-deal na maaskofu maana kesha-wachefua kwa kuwaita washirki wa biashara ya unga.
Hapo sijaongelea budget, na kwa wale waliosoma wanabidii Dr.Kingwangallah analalamika kamati ya bunge ya afya imeburuzwa kupitisha budget ya wizara ya afya, pia analalamika wabunge wengi wa ccm hawapewi nafasi ya kuongea bungeni!!!. Then tukienda Lumumba tunaambiwa barua za mapacha watatu zimekwama, na mapacha wenyewe wameguka mbogo. Na kwa masikitiko makubwa yule mzee wetu wa 'ramli' hatunaye tena kwa hiyo inabidi kikwete atafute mwenyekiti mwingine wa kamati ya 'ulinzi'.
Niseme hii yote inatokana na nchi kuongozwa kwa 'mazoea' badala ya kufuata sheria sasa chadema wameanza kuwasomea vifungu vya sheria watu wanahamaki. mambo bado- mambo bado-mambo badooo...magoma motomoto ya Nairobi, mambo bado... jamani mnaukumbuka huo wimbo?
sio kwata ni gwaride kabisa, wanalijua, wanajua wanalicheza bt hakuna jinsi, NGUVU YA UMMA ITASHINDA, CHADEMA NDIO IMANI YETU!
CCM Strategists ni waganga wa kienyeji
Strategists wa ccm (kama kweli wapo) ni mufilisi wa kufikiri. Leo tumeamka na headlines mbili kubwa:
Moja ni hii ya Mbowe kukamatwa na nyingine ni Rais Kikwete analalamika viongozi wa dini wanajihusisha na madawa wa kulevya!. Where is ccm in all these? No publicity is bad publicity, CHADEMA nadhani wamelijua hili na ndio maana kila mara ccm wakija na porojo zao basi chadema wanageuza to thier advantage. Sasa Kikwete atarudi dar na kupokelewa na hasira za umma baada ya kumkamata Mbowe, at the same time aanze mkakati wa ku-deal na maaskofu maana kesha-wachefua kwa kuwaita washirki wa biashara ya unga.
Hapo sijaongelea budget, na kwa wale waliosoma wanabidii Dr.Kingwangallah analalamika kamati ya bunge ya afya imeburuzwa kupitisha budget ya wizara ya afya, pia analalamika wabunge wengi wa ccm hawapewi nafasi ya kuongea bungeni!!!. Then tukienda Lumumba tunaambiwa barua za mapacha watatu zimekwama, na mapacha wenyewe wameguka mbogo. Na kwa masikitiko makubwa yule mzee wetu wa 'ramli' hatunaye tena kwa hiyo inabidi kikwete atafute mwenyekiti mwingine wa kamati ya 'ulinzi'.
Niseme hii yote inatokana na nchi kuongozwa kwa 'mazoea' badala ya kufuata sheria sasa chadema wameanza kuwasomea vifungu vya sheria watu wanahamaki. mambo bado- mambo bado-mambo badooo...magoma motomoto ya Nairobi, mambo bado... jamani mnaukumbuka huo wimbo?
Ni bora Dk Slaa angeapishwa kuwa rais maana tangu "washinde" uchaguzi mwaka jana JK na administration yake hawajawahi kuiongoza hii nchi wamebakia tu kucheza ngoma za CDM. Mshikemshike mwanza, mauaji arusha, walk out bungeni, katiba mpya, maandamano, kupigwa mawe nyamongo, kukamatwa Lissu, kukamatwa Mbowe. Movie zote hizi good guy - CDM, bad guy - CCM. Ukizingatia ni miezi sita tu....