NDOTO KAVU
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,513
- 1,120
Nenda kaandamane tukufanye kitu kibaya ambacho utajutia hata wazazi wako kukuzaa ! si umeona wakina Mbowe, Lissu nk tulivyowafanya, bado wewe sasa . Na sio kwamba tunakutisha
Kwani si tunajua mabosi weko wamelala ndani nyinyi mnazunguka lindo. Kama kweli na nyinyi mnataka kufanya kazi kwa raha kwa nini msishikiza hiyo serikali yenu ikatekeleza hayo matatizo ya wananchi. Mfupa umemshinda aliyeuomba sasa anawatupia na nyinyi ndio mnahangaika nao wakati kesha chukua nyama yote.
TUKIAMUA HUWEZI KUZUIA UMMA. ACHA KUTISHIA WATU.