Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Nenda kaandamane tukufanye kitu kibaya ambacho utajutia hata wazazi wako kukuzaa ! si umeona wakina Mbowe, Lissu nk tulivyowafanya, bado wewe sasa . Na sio kwamba tunakutisha

Kwani si tunajua mabosi weko wamelala ndani nyinyi mnazunguka lindo. Kama kweli na nyinyi mnataka kufanya kazi kwa raha kwa nini msishikiza hiyo serikali yenu ikatekeleza hayo matatizo ya wananchi. Mfupa umemshinda aliyeuomba sasa anawatupia na nyinyi ndio mnahangaika nao wakati kesha chukua nyama yote.

TUKIAMUA HUWEZI KUZUIA UMMA. ACHA KUTISHIA WATU.
 
Ni bora Dk Slaa angeapishwa kuwa rais maana tangu "washinde" uchaguzi mwaka jana JK na administration yake hawajawahi kuiongoza hii nchi wamebakia tu kucheza ngoma za CDM. Mshikemshike mwanza, mauaji arusha, walk out bungeni, katiba mpya, maandamano, kupigwa mawe nyamongo, kukamatwa Lissu, kukamatwa Mbowe. Movie zote hizi good guy - CDM, bad guy - CCM. Ukizingatia ni miezi sita tu....

waswahili tunasema utabaki na labda. CDM kuiona ikulu bado ni ndogo ya zuzu.
 
TLS ni NGO moja ya mawakili wanaoshindana kutajirika. Wapo tangu enzi hizo za Tanganyika lakini nchi imeshuhudia sheria za ajabu ikiwemo hii iloomuweka ndani Mh Mbowe, mikataba ya ajabu na mahakama za ajabu zilizooza kwa rushwa na baadhi yao wakiwa mawakala wazuri wa rushwa. Ni wakwepaji wazuri wa kodi za nchi hii. Wakae kimya tu. Hawana jipya.
 
CCM ina taabu nyingi sana sasa hivi. Sidhani kama wanahangaika na kuruka dhamana kwa Mbowe. Mwambieni Mbowe na viongozi wetu wengine wa CHADEMA wajitofautishe kidogo na Mchungaji Mtikila. Tunawahitaji mno kwenye agenda za kitaifa kama Katiba mpya, Gharama kubwa za maisha kwa WATANZANIA, Ufisadi ambao walikuwa wameusimamia vizuri,.....

Heshima kwako WildCard.

Mkuu tuko pamoja haswa, CHADEMA na viongozi wake hasa mwenyekiti Mheshimiwa A F Mbowe lazima wajue Tanzania [Wananchi] wanawahitaji sana hasa kwenye masuala muhimu eg katiba mpya,vita vya ufisadi,matumizi sahihi ya kodi zetu na nk.CHADEMA lazima wawe makini sana wasije kuwaangusha kama ilivyotokea kwa NCCR Mageuzi wengi wanadhani mageuzi ni lelemama.Mageuzi yanahitaji mikakati makini matatizo madogo madogo kama hili la Mheshimiwa Mbowe yalitakiwa kuepukwa mapema hapakuwepo na sababu za msingi Mwenyekiti wa chama cha upinzani kuswekwa ndani, ni jambo linaloweza kuepukwa.

CHADEMA kama cha kikuu cha upinzani lazima kikae chini kitafakari kwa kina nini kilijiri hadi mwenyekiti wake afikie hatua ya kukamatwa.Je CHADEMA hakuna wanasheria wakutosha ?,Je wasaidizi wa mwenyekiti walifanyakazi yao vyema ?,Je viongozi wa CHADEMA wafuate mkondo wa Mchg Mtikila.

Najua hapakuwa na sababu za msingi kwa kiongozi kama Mbowe kufanyiwa aliyofanyiwa.hakika mahakama na polisi wanajua dhahiri Mbowe hawezi kutoroka lakini Mbowe alitakiwa kujua kabla kwamba wakuu wa hivi vyombo wanategemea fadhila za CCM kupanda vyeo [IGP Mahita na A L Mrema] hivyo alitakiwa kuchukua tahadhari mapema.
 
Nilianza kumsikia kwa mbali alipochaguliwa kuwa mbunge Hai mwaka 2000

Alipata umaarufu zaidi alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA (2004?)

Alipata umaarufu sana alipogombea uraisi mwaka 2005, zaidi kwa kuanzisha styles za helkopta na magwanda, ambazo ni maarufu hadi leo

Alikuja kuvuma tena sana wakati wa operesheni sangara.

Katika uchaguzi uliopita, hakuvuma sana (kwa sababu ya kuwepo Slaa katika uraisi?)

Alikuja kuvuma zaidi wakati wa kuundwa kwa kambi ya upinzani

Aliendelea kuwa midomoni mwa watanzania katika matukio tofauti kwa kiwango tofauti hadi Ijumaa tarehe 3 June 2011

Kwa siku tatu mfululizo Kuanzia Ijumaa jioni, hadi leo asubuhi, Freeman Aikaeli Mbowe amengeza mstari mwingine katika historia yake ya kupigania wanyonge Tanzania. Mstari ambao kwa wanaofuatilia vyombo vya habari na kusikiliza maoni ya watu ya kisiasa, bila shaka unastahili kuandikwa bolded zaidi, na kwa font kubwa zaidi, angalau kuliko mistari yote iliyowahi kuandikwa siku ya nyuma...
 
Kama kawa mpaka kieleweke, huku alipo mkweree lazima ajinyee! Nchi yetu hii!
 
Jeshi la polisi limeisha yapiga marufuku nchi nzima, nenda kaandamane sasa uone cha mtema kuni !

Hebu zijue haki zako ndugu yangu!
una haki hata ya kuing'oa serkali iliyo madarakani.
Hivi ukitaka kujamba mwenzako akuzibe na dole gumba utasikia raha weye!
kama vipi nawe usiandamane tu tatizo nini!
 
Sio hasira THINK TWICE, watu wanataka sheria zifuatwe kwa kila mtu sio kuchagua. Kwani Mbowe hakudhaminiwa hadi akamatwe kama jambazi sugu? Mtu akidhaminiwa mdhamini wake anaambiwa amtafute mtu wake ampeleke mahakamani na sio kutoa amri kwa jeshi la polisi kumkamata mtuhumiwa, au dhamana inachukuliwa (forfeited- ( Wanasheria mtanisahihisha).

Hii inaonyesha ilipangwa tu, kesho utakamatwa wewe usije ukalalamika. Bila kuwa shabiki wa chama chochote mimi naona nguvu imetumika bure. Jeshi letu lingetumia nguvu hivi wananchi tusingekufa kwa ujambazi au kuibiwa kila siku. Mbona raia hatulindwi hivi?
 
Mwenyekiti wa chadema ameshaachiwa na sasa watu wamembeba juu juu Arusha

Serikali imetumia rasilimali nyingi katika suala la Mbowe, ndege ya JWTZ (Haitumii maji kuruka), askari wengi kuliko maelezo. Mbowe kafika Arusha na kupata dhamana, sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kumkamata na kumsafirisha kwa gharama zote hizi huku mambo ya msingi ya kitaifa yanakuwa disturbed?
Kikwete anatakiwa kutoa maelezo kuhusu rasilimali zinavyotumika bila busara. Pamoja na kwamba haya mambo yanaipandisha chati CHADEMA, lakini serikali haikuwa na umuhimu wowote wa kufanya hayo yote.

CCM ilianza na santuri ya UKABILA.....ikadoda, UKANDA.....ikadoda, UDINI....ikadoda, UMWAGAJI DAMU.....ikadoda na sasa wamekuja na kamatakamata......guess what! nayo ITADODA.
 
sio kwata ni gwaride kabisa, wanalijua, wanajua wanalicheza bt hakuna jinsi, NGUVU YA UMMA ITASHINDA, CHADEMA NDIO IMANI YETU!
 
Hongera Chadema kwa kutumia vyema nafasi yenu, maana bila kujua CCM imeingia kwenye 'Trap' ya kisiasa ambayo mwisho imeshindwa.
Chadema walijua toka mwanzo kuwa wanahitaji kuungwa mkono na wananchi ili kufanikisha kuwa budget hii inakidhi matakwa ya wananchi lakini kutokana na kuwa na wabunge wachache wakahofu kuwa hoja zao zitazimwa. Hivyo wakaona ni vema wakatumia 'people power' ili kupata nguvu, so wakadraw attention ya Umma wa Tanzania kwa Kumtoa Mh. Mbowe ili aende polisi kujisalimisha bila kujua CCM wakaona hii ndio nafasi ya kutumia kudhoofisha upinzani.
Chadema wakaweza kupata support ya umma kama walivyokusudia na kuondoa attention ya watu juu ya budget. Umma ukabaki kutafuta njia ya kumtetea Mh. Mbowe kwa kuona ndio mtatuzi na mtetezi wa maisha yao.
Leo dhamana imetolewa kama walivyopanga chadema na kesho wabunge wote watakuwa Dodoma.
Chadema wameweza kuwainfluence wananchi hivyo kila kitu ambacho mbunge wa chadema atakachosema kitakuwa na support ya wananchi, hivyo tunaomba wabunge wote wa Upinzani kutumia nafasi hii kwa dhati kuwatetea wananchi, kwani sote watanzania tunategemea sana wao kututetea kwa maendeleo ya nchi na wananchi.

Duh, wewe kweli hujui ku analyse mambo, hiyo ni kinyume chake sasa ! Jamaa wamemdhalilisha sana na hata wabunge wenyewe wamesema. N aelewa kuwa suala la bajeti ni suala la bunge sio la mbowe, sasa hapo pipoz powa inahusika vp?. Jamaa wamemkamata kama ndege, wameenda kumlaza sakafuni, wamemsafirisha usiku hakupata usingizi huoni heshima imepungua?. Na isitoshe hili ni suala la kisheria wala CCM haihusiki hata chembe, wenzake wao walienda mahakamani wakamdanganya mwenzao amedhalilika sana .
 
Strategists wa ccm (kama kweli wapo) ni mufilisi wa kufikiri. Leo tumeamka na headlines mbili kubwa:
Moja ni hii ya Mbowe kukamatwa na nyingine ni Rais Kikwete analalamika viongozi wa dini wanajihusisha na madawa wa kulevya!. Where is ccm in all these? No publicity is bad publicity, CHADEMA nadhani wamelijua hili na ndio maana kila mara ccm wakija na porojo zao basi chadema wanageuza to thier advantage. Sasa Kikwete atarudi dar na kupokelewa na hasira za umma baada ya kumkamata Mbowe, at the same time aanze mkakati wa ku-deal na maaskofu maana kesha-wachefua kwa kuwaita washirki wa biashara ya unga.

Hapo sijaongelea budget, na kwa wale waliosoma wanabidii Dr.Kingwangallah analalamika kamati ya bunge ya afya imeburuzwa kupitisha budget ya wizara ya afya, pia analalamika wabunge wengi wa ccm hawapewi nafasi ya kuongea bungeni!!!. Then tukienda Lumumba tunaambiwa barua za mapacha watatu zimekwama, na mapacha wenyewe wameguka mbogo. Na kwa masikitiko makubwa yule mzee wetu wa 'ramli' hatunaye tena kwa hiyo inabidi kikwete atafute mwenyekiti mwingine wa kamati ya 'ulinzi'.

Niseme hii yote inatokana na nchi kuongozwa kwa 'mazoea' badala ya kufuata sheria sasa chadema wameanza kuwasomea vifungu vya sheria watu wanahamaki. mambo bado- mambo bado-mambo badooo...magoma motomoto ya Nairobi, mambo bado... jamani mnaukumbuka huo wimbo?
CCM Strategists ni waganga wa kienyeji
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Huyu mbunge wangu bana nakumbuka mwaka 1995 anagombea halafu akashindwa na alitimiza kile alichoahidi pasipo hata kuwa mbunge at that time!mbowe anatabia za uongozi huwa anaonyesha njia nini kifanyike.tumekukabidhi Hai tunahitaji kuona maendeleo endelevu!
 
wee unapimaje umaarufu,mbona alikua rumande sasa amepiganiaje hiyo haki,na kama ni hivyo kuwekwa rumande ndio umaarufu basi mch. mtikila ndie jembe zaidi kuliko yoyote tanzani.
 
sio kwata ni gwaride kabisa, wanalijua, wanajua wanalicheza bt hakuna jinsi, NGUVU YA UMMA ITASHINDA, CHADEMA NDIO IMANI YETU!

Nguvu ya ilikuwa wapi sasa? mie nilitegemea wakati yuko pale central ndio tungeona nguvu ya umma. Ila jamaa walimwagia maji washa washa wote wakakimbia aisee
 
Strategists wa ccm (kama kweli wapo) ni mufilisi wa kufikiri. Leo tumeamka na headlines mbili kubwa:
Moja ni hii ya Mbowe kukamatwa na nyingine ni Rais Kikwete analalamika viongozi wa dini wanajihusisha na madawa wa kulevya!. Where is ccm in all these? No publicity is bad publicity, CHADEMA nadhani wamelijua hili na ndio maana kila mara ccm wakija na porojo zao basi chadema wanageuza to thier advantage. Sasa Kikwete atarudi dar na kupokelewa na hasira za umma baada ya kumkamata Mbowe, at the same time aanze mkakati wa ku-deal na maaskofu maana kesha-wachefua kwa kuwaita washirki wa biashara ya unga.

Hapo sijaongelea budget, na kwa wale waliosoma wanabidii Dr.Kingwangallah analalamika kamati ya bunge ya afya imeburuzwa kupitisha budget ya wizara ya afya, pia analalamika wabunge wengi wa ccm hawapewi nafasi ya kuongea bungeni!!!. Then tukienda Lumumba tunaambiwa barua za mapacha watatu zimekwama, na mapacha wenyewe wameguka mbogo. Na kwa masikitiko makubwa yule mzee wetu wa 'ramli' hatunaye tena kwa hiyo inabidi kikwete atafute mwenyekiti mwingine wa kamati ya 'ulinzi'.

Niseme hii yote inatokana na nchi kuongozwa kwa 'mazoea' badala ya kufuata sheria sasa chadema wameanza kuwasomea vifungu vya sheria watu wanahamaki. mambo bado- mambo bado-mambo badooo...magoma motomoto ya Nairobi, mambo bado... jamani mnaukumbuka huo wimbo?

Kwa kweli JK sasa ndo ameishiwa kabisa: kuwatuhumu viongozi wa dini kwa kujihusisha na madawa ya kulevya? ingekuwa bora kama angewataja wahusika badala ya ku genralize. hivi, inawezekana Yule mpiga ramli wake amefufuka na kumwambia upuuzi huo. Huu ni wakati mgumu sana kwa JK.

Mapambano bado yanaendelea. Lazima hatimaye kieleweke!
 
Pia nadhani kuna tatizo la ufahamu wa taratibu ndani ya jeshi la polisi. RPC wa Mwanza labda ndiye anayefaa kuwa IGP.
 
Ni bora Dk Slaa angeapishwa kuwa rais maana tangu "washinde" uchaguzi mwaka jana JK na administration yake hawajawahi kuiongoza hii nchi wamebakia tu kucheza ngoma za CDM. Mshikemshike mwanza, mauaji arusha, walk out bungeni, katiba mpya, maandamano, kupigwa mawe nyamongo, kukamatwa Lissu, kukamatwa Mbowe. Movie zote hizi good guy - CDM, bad guy - CCM. Ukizingatia ni miezi sita tu....

Waweza tu kumuapisha akawa rais wa familia yenu ubaya upo wapi kwani , ila yule wa watanzania aliisha apishwa !
 
Back
Top Bottom