Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hatimaye Mbowe apewa dhamana

You have to think twice before you spat your rubbish!Kama hujui kufa tazama kaburi! Uliza nini kimetokea huko Tunisia,Misri,Libya,Yemen,Saudia n.k.

Upumbaf,ujinga na unyanyasaji wa Wabunge na Viongozi wa Kambi ya Upinzani wanaoufanya Polisi na Mahakama kwa kujifanya ni VIJIBWA wanaotumwa na serikali ya CHAMA CHA MAGAMBA,MAJAMBAZI na MAFISADI utakuja watokea puani this time.

Hawana risasi za kuwaua mamilioni ya Watanzania waloko nyuma ya CHADEMA.

Kila jambo huwa lina mwanzo na mwisho. Sasa Serikali ya Rais Kiwete tunaiambia hivi huu ni MWANZO MWISHO.Tunajua Kiwete anahusika moja kwa moja na kamata kamata ya viongozi na Wabunge wa upinzani ni ya makusudi ili kutaka kuvuruga nguvu ya Upinzani kwenye Bajeti inayokuja ya 2011/2012.

Hatukubaliani na upuuzi huu.

Mbona na uwingi wenu hamkwenda sasa kumsaidia pale Central Polisi alipokuwa amelazwa sakafuni ? FFU unaambiwa walikuwa 70 ila ni balaa, mlitishwa kidogo tu na maji ya kuwasha mkasambaa wote
 
If i may ask.. hivi naomba kujuzwa wanajamvi, sijajua Freeman kaachiwa kwa dhamana mpya au anaendelea na dhamana ya ile kesi ya zamani.. anayejua naomba kujuzwa tafadhali ili tuweze kuiangalia hii ishu kivingine
 
Viongozi wa CHADEMA kwa uelewa wao wa sheria na nafasi yao katika Nchi na jamii hawapaswi ku-behave hivi. Wanatukatisha tamaa.

Behave how? be clear please, you sound ambiguous.
 
Baada ya aibu wanachadema wanajitutumua!!kweli nimewakubali
 
nimegundua chadema wa jf wote pumbafu kabisa.

nchi haitakalika peoples power huku wanajfungia majumbani kwao.
wanaancha maskini wakaandamane na kupigwa bakora kama wanafunzi.

wamemuacha mwenyekiti anakunya kwenye ndoo siku mbili.

kasafirishwa kama kibaka kwenda arusha. eti arusha haitakalika.

sasa hapa mmepata nini. bora angeheshimu dhamana ya mahakama.

kuna watu hapa bora waingie choo cha kike tu ni waoga hao

Don't talk shit this is a serious forum! If doesn't suite you hit the freeways
 
acha kutisha watu wewe, katishie wanao na mkeo kwaqni kufa ninini ;
Nenda kaandamane tukufanye kitu kibaya ambacho utajutia hata wazazi wako kukuzaa ! si umeona wakina Mbowe, Lissu nk tulivyowafanya, bado wewe sasa . Na sio kwamba tunakutisha
 
HTML:

Hivi yale magari ya washawasha yako mangapi nchi nzima? maana ukiyalipua hayo, polisi hawana nguvu tena (just thinking twice)

Yapo kila Wilaya , na maji yake yanawasha balaa, ukimwagiwa yale maji hakuna la zaidi ya kukimbia tu. Na sio maji tu, jamaa wana silaha za kijeshi pia full masinonda kwa lolote. Hiyo ndio dola sasa
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Wakuu poleni na starehe za week end.

Wakuu ebu tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja badala ya viroja nina maswali kadhaa naomba kujuzwa.

Kuna sababu gani za msingi zilizomfanya mwenyekiti wa CHADEMA asihudhurie mahakamani ?.Ni ubabe,dharau au ulimbukeni.Nasema hivyo kwasababu Mbowe,Dr Slaa,Lema na viongozi kadhaa wa CHADEMA wameshitakiwa kwenye mahakama hiyo hiyo na mashitaka hayo hayo ajabu iweje wenzake Dr Slaa na Lema watii na kuheshimu mahakama kwa Mbowe iwe tofauti !.Mheshimiwa Mbowe ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani [ukipenda chama mbadala],ni kiongozi mkuu wa upinzani.Chama kinachotarajiwa kuchukua dola lazima kionyeshe mfano bora wa kutii sheria na kufuata taratibu.jambo kama hili lingetokea nchi za wenzetu wenye kufuata misingi ya utawala bora hakika ingekuwa ni sababu tosha za kuachia madarakani ya uongozi ndani ya CHADEMA.


Mbowe ni sawa na waziri mkuu (kiongozi wa upinzani) ndani ya bunge kwa sababu hiyo kwanza kumkamata bila kufuata taratibu ilikuwa ni kosa kikatiba achilia mbali majukumu yake tuu kama mbunge. taratibu halali ilikuwa kuwazuia tu pale kwa muda na baadae kuomba kibali cha bunge kama kulikuwa na haja sana ya kuwakamata kwa makosa yale. Tuna mbunge ambae ameshiriki kuandaa mauaji ya Dr. Chageni na ametajwa na kuandikwa magazetini mbona bado hajakamatwa hadi sasa. Hiyo ndio ilitumika hata kwa Chenge. INAKUAWAJE DOUBLE STANDARDS. Nasema Baba wa bunge Samwel Sitta atoe somo ITV ijumaa hii ili mkosa shule Makinda ajifunze.Ameshindwa kulinda heshima ya Bunge na wabunge.
 
acha kutisha watu wewe, katishie wanao na mkeo kwaqni kufa ninini ;

Kufa nn, wewe mbona kwenye hayo maandamano huendi zaidi ya kuhamasisha kwenye keyboard tu ! na ww ndio waonyesha ni laini sana kuzidi hata nyanya ya masalo
 
Waaaaaaooohhh Peoplesssssss.................................. walipotoka kumshika Mbowe aibu kubwa na fedheha wameipata. Chakushangaza zaidi ni huyo spika amekua domo zege hata kuongea hawezi anachoona muhimu kwake ni kufunga njia afanye ujenzi wake
 
"Ili mtuhumiwa akamatwe sheria iko wazi, notisi zilitakiwa kutolewa kwa mdhamini wake na pia kwa wakili, lakini kwa Mbowe haikuwa hivyo na hiyo inaonyesha ni agizo kutoka mahali Fulani," alidai. Dr Slaa
 
Haya Mandela nae alidhalilishwa tena kwa miaka na sio siku....look at him now!!Kuna alichopungukiwa zaidi ya kuheshimiwa ulimwenguni kote???!

Wanaodhalilika ni wale wanaodhani kumweka Mbowe jela ni kumkomoa...mwisho wa siku yeye ndo anaepewa mikono mtaani wakati mzee mzima J wa K anakuna kichwa kama hana akili nzuri.

Umekosea pa kulinganishia. Mbowe kadharau mahakama,ivi umesikia na Mandela alifungwa kwa kudharau mahakama? Chukua picha ya Mbowe na ya Mandela ziweke pamoja kisha waangalie usoni utaona utofauti wao katika hilo unaloshabikia
 
Amekaa jela Mandela hadi anazeeka ndo iwe Mbowe siku mbili... Acha hisia zako za kidini wewe
Hisisa za kidini unazo wewe mwenyewe. wewe unawataja wengine kukaa rumande je wewe mwenyewe ungependa ukakae rumande siku ngapi
Acha akili za ubwete, ivi kudharau mahakama ni udini? haya kama ni udini niambie ile mahakama ya arusha ni ya dini gani? acha uzuzu
 
Aibu ya Magamba!
Kamanda Mbowe pamoja sana na kesho kutwa mjengoni kama kawa!
Lakini kachunguze afya yako maana hawa Magamba ni mafia sana
 
Yote mnayasema baada ya Mbowe kulala rumande?? kupelekwa Arusha kisha kaachiwa!!! kuna limitation ya uwezo wenu jamani, tunasisitiza akili kwanza miguvu baadaye.

Muulizeni Mbowe kimemtokea nini alivyolala rumande!!!

Mimi sina la wala le! ninaangalia picha loote

mahakama wababe, at least nimejua sasa!

What is destructing your thinking capacity Waberoya? I remember one time you were somehow wise...
 
Back
Top Bottom