Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

By HALELUYA MOSHI:
Sio kweli jaman!
Lowasa kahutubia na kashasepa! Idawa alikuwa anawavuta akili tangu asubuh hapa ili jioni awavunje moyo! HALELUYA MOSHI njoo huku,

Mzee yuko poa kabisa!

tukuamini wewe au ITV TV?
 
Last edited by a moderator:
hawa wenzentu wa cdm wanadanganywa kijinga sana.

Ndio maana Mzee Ben aliwabatiza majina mapya.
 
chief, sisi wote tumetambua what you're trying to drive at.

listen, chief, and listen good. priority ya kwanza kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni kuiondoa CCM madarakani. priority ya pili ni hiyo hiyo. na ya tatu, ya nne, nk, nk.

whether UKAWA na mgombea wao watafaa kama mbadala ama la, that's only a side show to the bigger picture of kicking the monster off the corridors of power. period.

If wishes were horses...
Hapa ni kazi tu!
 
Usitake kudanganya watu mimi nilikuwepo na nimechukua na picha , mitambo ya kwanza ilianza kugoma kabla hata mheshimiwa hajatua chini Mpaka anaingia uwanjani haifanyi kazi makamanda wakaenda kukodi gari jingine limefika nalo likagoma pia, Mpaka hapo nimeamini kuwa Ccm mnatumia nguvu za giza kabisaaaaaaa
Hapa niko guest nasubilia kesho Saa 3

Sio kila anayechangia humu ni ccm, sasa mbowe alivyoongea alitumia nini?
 
Mwenye Uzi huu , ndo wale wale ambao elimu , elimu , elimu viweze kuwafumbua fikra zao , nyambafu unadhani electronic inaendeshwa kwa nini ? Ni mwendo wa logic gate ,'kama ni ON iwe hivo na sio OFF
 
Mbona mnamponda sana Lowasa?nani ambae hajawahi kuumwa?tuwe wastaarabu kidogo mmeambiwa vyombo tatizo mpaka kesho,subirini hiyo kesho mtaambiwa nini ndio mpayuke
 
Tumia akili kidogo, hivi kuharibika kwa vifaa unashangaa?? Mbona chopa ilisababisha vifo vya wapenzi watu aina Deo na wenzake ilikuwa nzima kabisa wakati inaondoka kisha ila ikapata hitilafu na kusababisha maafa??

Wakat mkutano unahailishwa mbowe aliongelea nini hivi?
 
Mimi sipigii kura UKAWA eti kwa sababu namtaka Lowassa. Nitaipigia kura UKAWA kwa sababu ndio muungano pekee wenye fursa ya kuing'oa CCM madarakani kwenye uchaguzi huu. Hivyo hata kama Lowassa akizimia kuanzia sasa na asizinduke mpaka siku ya uchaguz, bado ntampa kura yangu.

Ninataka kuona nchi yangu inapata katiba mpya yenye kuwapa raia wake uhuru wa kisiasa na kimaendeleo. Nataka kuona taifa la Tanganyika na lile la Zanzibar yanarejea kwenye hadhi zao na uhuru kamili. Nataka kuona mfumo wa kifisadi uliopandikizwa ndani ya CCM wa kuwalea na kuwalinda mafisadi waliopo ndani ya chama unang'olewa wote. Nataka kuona nchi yangu inang'atuka kwenye hatari kubwa ya usultani inayopandikizwa na viongozi wa sasa wa CCM kuanzia ukoo wa Mwinyi mpaka wa Kikwete. Nataka kuona marais mafisadi waliotangulia (Mkapa, Kikwete) hawapati nafasi ya kuweka vibaraka wao kwa ajili ya kuwalinda na mkono wa sheria dhidi ya ubadilifu wao wakati wakiwa madarakani na ubadhirifu unaoendelezwa nao baada ya kutoka madarakani.
 
Leo watamlaza kwenye chaji usiku kucha ili asubuhi awe na moto wa kutosha. Kwa nini wasimnunulie power bank????

Hawana vyombo ndio wapate power bank? Nasikia umeme kuzimwa ni janja ya serikali maana madawa ya Lowassa yanahitaji 24 hours fridgeration na kwa umeme huu, jamaa hatoboi
 
Back
Top Bottom