Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Lumumba Fc jamaa kwanza mzee hakuvaa nguo hzo na pia unachotaka wew ni sawa na uwanja wa taifa kuwa na speaker moja na hyo speaker ndo itumke kwa watu wote ukweli speaker za ile system zilikuwa znasikika mbele tu coz raia weng mno
 
Mbowe kaongea kwa chombo gani? pia dakika alizoongea mbowe...Lowassa zisingemtosha?

Kwani unatakaje ndugu, umeshajibiwa hapo juu, kipaumbele cha kwanza ccm... Hivi toka muanze hizo propaganda zenu imesaidia chochote.

Wewe si gamba Lowassa anakuhusu nini sasa. Mpigie kura Magufuli Lowassa tuachie malofa Na wagonjwa wenzake
 
chief, sisi wote tumetambua what you're trying to drive at.

listen, chief, and listen good. priority ya kwanza kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni kuiondoa CCM madarakani. priority ya pili ni hiyo hiyo. na ya tatu, ya nne, nk, nk.

whether UKAWA na mgombea wao watafaa kama mbadala ama la, that's only a side show to the bigger picture of kicking the monster off the corridors of power. period.

well said safi sana
 
Inasemekana hata Mbalizi na Kyela hataenda hali yake siyo nzuri
 
Tunajua hakuweza kuongea , alichoka sana, rais anayechoka kwenye kampeni hatumchagua, anashindwa na mamaa wa ACT!! Hapana chadema mmechemka, tena pale kulikuwa na wazambia hawakuwaelewa!
 
Kama aliyeanguka kabisa jukwaani Mwanza na Jangwani-Dsm wakati wa kampeni ameweza kumaliza miaka 10 tena amehitimisha kwa kibwagizo cha 'Tezi Me' embuse huyu anayeshindwa kuhutubia kwa mitambo kukorofisha...! Hata kama alishindwa kuhutubia haiwezi kufikia rekodi ya mtu kutua na kisogo mara mbili na usheee.......
 
We mwehu huwezi kukurupuka yu eti umampa aongee tatzo elimu protocol haziko hivyo we uende usiende si tushaamua saa tatu tutakuwa hapo na utaona kama sikusikia

Haaaa Haaaa! saa nne sasa, mkutano vip mkuu?
 
Hii siyo mara ya kwanza, hata katavi walisingizia vyombo, kiukweli asipopigwa sindano yake, hawezi ongea! Tusidanganyane hapa! Vyombo vyombo, inamaana mnataka nchi hamna hata mipangoo!!
 
Madhara ya commission haya unaishia chukua vyombo substandard.
 
Guest? Unalala Guest house ili kutengeneza Mafuriko na kuvunja rekodi!!

Mkiambiwa mnasafirisha Watu mnakataa haya sasa mmejiumbua wenyewe Aibu

Haaaa! Haaaa! ni shida sana kua sehem kimahaba, IQ ndogo sana kwa mashabiki weng wa ukiwa.
 
Chombo kuharibika ni suala la kiufundi na ni la kawaida sababu lowasa si fundi.
Mbona nyie mnakufa kwa michopa yenu mibovu kwani huo ni udhaifu kwa ccm au ni jambo la ufundi!? Fikilia kwa kutumia kichwa siyo unafikiri kwa kutumia mnduku

Jibu swali hili Mbowe aliongea kwa miti au? eti mnduku wewe hauna kwani?
 
Back
Top Bottom