Kuugua ni jambo la kawaida, lakini kuficha unachougua ni si jambo la hekima
Nakubaliana na ww mkuu na hilo ndilo kosa wafanyalk hawa wa Mahaba Niue tena nahis hakuwepo Tunduma ila ni hasira zake tu...ukweli vipaza saut vilianza kugoma alipopanda LAWRENCE MASHA hata kabla Lowasa hajaingia uwanjani
Ila hiyo hibadili ukweli kuwa yule mzee ni mgonjwa na kwa maana ya kazi ya URAIS zilivyo ngumu hara fikra na afya vyapaswa kuwa vizur
KWA NINI TUJARIBU KWENYE JAMBO NYETI KAMA HILO??