Km kweli unampenda Mungu ambaye anajua yako yote ya Rohoni,eleza ukweli wa mambo na cyo kupindisha hoja ili uonekane ni mkweli. Vifaa vilibuma wakati Lowasa anataka kuhutubia au wakati Masha anataka kuhutubia? Kwakuwa umesema unampenda Mungu na hupendi kumdanganya,SEMA UKWELI
Mbowe katumia mic hizo hizo kusema vipaza sauti vimeharibika, na alisikika vizuri. Kazi ipo wiki hii...
Some time ukiwa mjinga kuelewa kazi sana mwambieni Lowasa kunavitu huwezi kuvificha mungu huweka wazi tu.Mi sijaelewa hata unazungumzia nini naona umeandikia mwenyewe na kujijadili mwenyewe!
Sent from my BlackBerry 10 using JamiiForums
By HALELUYA MOSHI:
Sio kweli jaman!
Lowasa kahutubia na kashasepa! Idawa alikuwa anawavuta akili tangu asubuh hapa ili jioni awavunje moyo! HALELUYA MOSHI njoo huku,
Mzee yuko poa kabisa!
Hivi kwa nini Mbowe hakumkabidhi mgombea zile microphone alizotumia kuahirisha mkutano ili aongee na wapiga kura?
So,what?
Jamila omari hapa ch10 kaelezea vizuri sana na nyomi ni la kufa mtu. Mitambo imeletwa mara 2 yote ikagoma. Mkutano unarudiwa kesho saa 3 asbh na wanatunduma wamekubaliana vizuri tu
Acha Upumbavu ,hv Ww Unaish Dunia Gani,unaebisha Kuwa Kahu2bia,kwa Kifupi Hajahutubia Ka Xababu Tajwa Hapo,na Mm Nilkuwepo,mara Baada Ya Kutua,kwenye Uwanja Mdogo(nyuma Ya Highclass Hotel,majengo),alisafirishwa Kwa Gar Kabla Hata Hajafka Eneo La Jukwa Mitambo Ilizma,na Wakat Inazma Bahati Bukuku Na Flora Mbasha Ndo Walikuwa Wametoka Kushuka Jukwaani,kwa Upande Wangu Cjajua Nn Kpo Nyuma Ya Pazia,nna Wasiwasi Kama Wenzangu,,maana Tangu Asubh Vyombo Havikusumbua Hata Chembe,mpaka Wasanii Wote Wametoa Yao,why Wakati Wake?
Ch10 Wamepotosha Umma Kama Wamesema Hata Mitambo Ilyoletwa Mara Ya Pili Iligoma,sio Kweli,ya Pil Ilikuwa Haina Uwezo Wa Kuwafanya Watu Wasikie Na Ndo Ilyotumiwa Na Mbowe Kuahrisha Mkutano,hadi Naondoka,mitambo Hyo Ilkuwa Iktusindkza Kwa Muziki,kwa Uwezo Wake,gari Hlo La Matangazo Lililobeba System Hyo Limeandikwa "lakitumishi"