Nyie wapuuzi mmeshashindwa kabla ya uchaguzi!
Hapo nimetoa mfano tu! Si mnamuita LOWASSA mgonjwa na kumtukana kila aina ya matusi? mbona bado yupo?
Na hao mnawaona kuwa ni wazima ndio wanatangulia mbele ya haki! Jifunzeni hili wapuuzi nyie! vinginevyo mtamtafuta mchawi na msimpate!
Thread ya kinafiki
duu! inafurahisha mnajipiga dole nyinyi wenyewe kwenye makalio afu mnanusa eti linanukia nin?npo tunduma na kwenye mkutano nilikuwepo na alizungumza mkutana haukuahirishwa! tafuten propaganda nyingine hii imedoda! na pia haya ni matumiz mabaya ya bando za lumumba!
Thread ya kinafiki
Ocampo four tafadhali sana wanaJF wanasubiri kwa hamu kuona picha ya mainjinia wa Ukawa wakiwa 'site' hapo Tunduma kuhakikisha vipaza na vinasa sauti vinafanya kazi asubuhi ya leo ili mgombea wenu atoe japo salamu tu.
Mr Chin pia tusaidie kupata picha hii kama inawezekana.
Kwahiyo? Mmekamatwa pabaya sana!Toka zako hapa ni lowasa hakuweza kufanya tendo la kuongea. He better go home your babu.
Hivi leo maduka hayajafungwa?Mwaka huu CCM, mna kazi ya ziada. Poleni sana, tumeshaaamua LOWASSA awe Rais wetu, hila zozote za kuzuia hili kusudi la MUNGU, hazitafanikiwa!!!
Ocampo four tafadhali sana wanaJF wanasubiri kwa hamu kuona picha ya mainjinia wa Ukawa wakiwa 'site' hapo Tunduma kuhakikisha vipaza na vinasa sauti vinafanya kazi asubuhi ya leo ili mgombea wenu atoe japo salamu tu.
Mr Chin pia tusaidie kupata picha hii kama inawezekana.