Mpaka aibu.
Sio aibu kuugua. Ila ni aibu kubwa kumchagua mgonjwa wa kias kile kuwa amiri jeshi mkuu wa nchi hii.
Huyu apumzike.
Matatizo ya nchi hii si tu yanataka rais msafi, mwenye nia na uwezo wa kutatua matatizo yetu lakini pia yanataka rais mwenye afya njema.
Anatakiwa rais ambaye yuko fit kuweza kusafir huku na huko akijionea mwenyewe mambo ya kimaendeleo yanavyo kwenda nchini
Apumzike tu. Urais hata uweza.
Sio aibu kuugua. Ila ni aibu kubwa kumchagua mgonjwa wa kias kile kuwa amiri jeshi mkuu wa nchi hii.
Huyu apumzike.
Matatizo ya nchi hii si tu yanataka rais msafi, mwenye nia na uwezo wa kutatua matatizo yetu lakini pia yanataka rais mwenye afya njema.
Anatakiwa rais ambaye yuko fit kuweza kusafir huku na huko akijionea mwenyewe mambo ya kimaendeleo yanavyo kwenda nchini
Apumzike tu. Urais hata uweza.