Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 529
- 123
Kaoge ulale
Mapema hivi nikalale, Haaa haaa!
Kaoge ulale
Kwani unatakaje ndugu, umeshajibiwa hapo juu, kipaumbele cha kwanza ccm... Hivi toka muanze hizo propaganda zenu imesaidia chochote.
Wewe si gamba Lowassa anakuhusu nini sasa. Mpigie kura Magufuli Lowassa tuachie malofa Na wagonjwa wenzake
Tunajua hakuweza kuongea , alichoka sana, rais anayechoka kwenye kampeni hatumchagua, anashindwa na mamaa wa ACT!! Hapana chadema mmechemka, tena pale kulikuwa na wazambia hawakuwaelewa!
Mi sijaelewa hata unazungumzia nini naona umeandikia mwenyewe na kujijadili mwenyewe!
Sent from my BlackBerry 10 using JamiiForums
Mzee kawakimbia Tunduma...
Huyu mtoa mada sijampata kabisaa! Analalamikia nini? Maana kichwa cha habari anasema tujadiliane lakini mwisho wa siku anacomment mwenyewe! Shule bana!
Huyu mtoa mada sijampata kabisaa! Analalamikia nini? Maana kichwa cha habari anasema tujadiliane lakini mwisho wa siku anacomment mwenyewe! Shule bana!
Jana tunduma vipaza sauti viligoma ila wananchi walijulishwa kupitia vipaza hivyo hivyo vilivyogoma....ukawa hamsomeki.
kura yangu kwa lowasa hata iwe vipi