wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
mbowe mwongooo kwani angesema mgombea anajisikia vibaya ni dhambi?
Mimi sipigii kura UKAWA eti kwa sababu namtaka Lowassa. Nitaipigia kura UKAWA kwa sababu ndio muungano pekee wenye fursa ya kuing'oa CCM madarakani kwenye uchaguzi huu. Hivyo hata kama Lowassa akizimia kuanzia sasa na asizinduke mpaka siku ya uchaguz, bado ntampa kura yangu.
Ninataka kuona nchi yangu inapata katiba mpya yenye kuwapa raia wake uhuru wa kisiasa na kimaendeleo. Nataka kuona taifa la Tanganyika na lile la Zanzibar yanarejea kwenye hadhi zao na uhuru kamili. Nataka kuona mfumo wa kifisadi uliopandikizwa ndani ya CCM wa kuwalea na kuwalinda mafisadi waliopo ndani ya chama unang'olewa wote. Nataka kuona nchi yangu inang'atuka kwenye hatari kubwa ya usultani inayopandikizwa na viongozi wa sasa wa CCM kuanzia ukoo wa Mwinyi mpaka wa Kikwete. Nataka kuona marais mafisadi waliotangulia (Mkapa, Kikwete) hawapati nafasi ya kuweka vibaraka wao kwa ajili ya kuwalinda na mkono wa sheria dhidi ya ubadilifu wao wakati wakiwa madarakani na ubadhirifu unaoendelezwa nao baada ya kutoka madarakani.
duu! inafurahisha mnajipiga dole nyinyi wenyewe kwenye makalio afu mnanusa eti linanukia nin?npo tunduma na kwenye mkutano nilikuwepo na alizungumza mkutana haukuahirishwa! tafuten propaganda nyingine hii imedoda! na pia haya ni matumiz mabaya ya bando za lumumba!
Lakin mitambo hiyohiyo wasanii wameimba na kuongea vizuri, ugonjwa sio aibu, ni suala tu la kutaarifu kuwa mgombea hajisikii vizuri.
Usitake kudanganya watu mimi nilikuwepo na nimechukua na picha , mitambo ya kwanza ilianza kugoma kabla hata mheshimiwa hajatua chini Mpaka anaingia uwanjani haifanyi kazi makamanda wakaenda kukodi gari jingine limefika nalo likagoma pia, Mpaka hapo nimeamini kuwa Ccm mnatumia nguvu za giza kabisaaaaaaa
Hapa niko guest nasubilia kesho Saa 3
Sawa mwache yeye aache UPUMBAVU ila wewe uuchukue UPUMBAVU! Wa kuamini kuamini kuwa mitambo ilizimwa kwa makusudi. Tukutane jumapili ijayo saa nne usiku..
Yaweza Kuwa Upo Sahihi,maana Nlipokuwa Pale,kuna Muda Alipelekwa Kwenye Nyumba Jirani,sikujua Xababu Ya Yeye Kuingia Mule Ndani,nliona Akisindikzwa,!Lakin Labda Tusubri Leo Nijua Kitu.
Kama Hujui Kusoma Nikusaidie,hakuna Hata Sehemu Nlyoxema Mitambo Imezimwa,bali Imezma,jiheshimu Mwenyewe
Mzee alikuwa anaumwa wakaona anaweza kujinyea
Acha Upumbavu ,hv Ww Unaish Dunia Gani,unaebisha Kuwa Kahu2bia,kwa Kifupi Hajahutubia Ka Xababu Tajwa Hapo,na Mm Nilkuwepo,mara Baada Ya Kutua,kwenye Uwanja Mdogo(nyuma Ya Highclass Hotel,majengo),alisafirishwa Kwa Gar Kabla Hata Hajafka Eneo La Jukwa Mitambo Ilizma,na Wakat Inazma Bahati Bukuku Na Flora Mbasha Ndo Walikuwa Wametoka Kushuka Jukwaani,kwa Upande Wangu Cjajua Nn Kpo Nyuma Ya Pazia,nna Wasiwasi Kama Wenzangu,,maana Tangu Asubh Vyombo Havikusumbua Hata Chembe,mpaka Wasanii Wote Wametoa Yao,why Wakati Wake?
Tatizo inawezekana ilikuwa ni microphones, speakers, mixer au amplifier kwa hiyo sauti ilikuwa haitoshi kulingana na mahitaji yaliyokuwapo kwenye eneo la tuko.Kwa hiyo tusiseme microphone tu kishabiki, na ilikuwa ni lugha lahisi kwa wananchi kuwaambia microphones zimegoma kuliko kuwaambia mixer imehalibika.Mic ni kifaa maarufu saana na wananchi wengi wanakitambua, kwa hiyo ni rahisi kuwaambia na wakakuelewa.
Hii ya Mwanza imewaumbua sana!Sasa ya kutengeneza ni ipi Kati ya hizo?
View attachment 300082