The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,280
The guy was dead on his feet and drowsy.
Lawama ziende kwa doctor wake.
Hiyo ya kusema kuna matatizo ya vyombo vya sauti ni danganya toto ya kulazimisha watu wazima!
Mwenezi hujambo?
The guy was dead on his feet and drowsy.
Lawama ziende kwa doctor wake.
Hiyo ya kusema kuna matatizo ya vyombo vya sauti ni danganya toto ya kulazimisha watu wazima!
Yaani Ukawa wanakosa vyombo lakini wanataka nchi? total collapsion, hata hapo walipo wamekosa maduka ama mafundi wa kufanya matengenezo? vipi mic na jukwaa havikuleta shida Leo? Ukiwa wameliwa sana aisee ..walidhani ngoma ya wakubwa inachezwa na watoto, ona sasa.
Mtu atakayekubali kuwa tatizo ni vyombo inabidi apimwe akili..! Mikutano takribani kumi inashindikana eti tatizo vyombo...! Waaache, maana mficha maradhi...!The guy was dead on his feet and drowsy.
Lawama ziende kwa doctor wake.
Hiyo ya kusema kuna matatizo ya vyombo vya sauti ni danganya toto ya kulazimisha watu wazima!
Kahutubia kasemaje, kabla ya yeye nani alihutubia?By HALELUYA MOSHI:
Sio kweli jaman!
Lowasa kahutubia na kashasepa! Idawa alikuwa anawavuta akili tangu asubuh hapa ili jioni awavunje moyo! HALELUYA MOSHI njoo huku,
Mzee yuko poa kabisa!
Yaani Ukawa wanakosa vyombo lakini wanataka nchi? total collapsion, hata hapo walipo wamekosa maduka ama mafundi wa kufanya matengenezo? vipi mic na jukwaa havikuleta shida Leo? Ukiwa wameliwa sana aisee ..walidhani ngoma ya wakubwa inachezwa na watoto, ona sasa.
Mtu atakayekubali kuwa tatizo ni vyombo inabidi apimwe akili..! Mikutano takribani kumi inashindikana eti tatizo vyombo...! Waaache, maana mficha maradhi...!The guy was dead on his feet and drowsy.
Lawama ziende kwa doctor wake.
Hiyo ya kusema kuna matatizo ya vyombo vya sauti ni danganya toto ya kulazimisha watu wazima!
Lowassa ameshindwa kuhutubia leo Tunduma kisa Vyombo vinasumbua.
Katika team yake ya kampeni hakuna aliepanda jukwaani zaidi ya Mbowe kwa dakika moja kuwaeleza wananchi kuwa tatizo ni vyombo.
..collapsion?!
can you tell me the meaning plz..
..collapsion?!
can you tell me the meaning plz..
Ilibidi ujaji usahihi wa habari kuliko heading.Ukiona heading ya topic: "hatimaye" ni kama vile mleta mada alikuwa anasubiria kile kilichokuwa kichwani mwake kwamba hatimaye mgombea atashindwa kusimama jukwaani. Hii ni wishful thinking kama vile fisi alivyokuwa anasubiri mkono wa binadamu uanguke apate kitoweo kiurahisi.
Jamila omari hapa ch10 kaelezea vizuri sana na nyomi ni la kufa mtu. Mitambo imeletwa mara 2 yote ikagoma. Mkutano unarudiwa kesho saa 3 asbh na wanatunduma wamekubaliana vizuri tu
Wakiambiwa mgombea wao mpaka wa kuanika juani hawataki pengine jua leo halikuwaka Tunduma.