Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Kikwete anajiweka kwenye nafasi ya kushitakiwa kutimiza kazi zake akiwa kama amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa Tanzania.

Kama haya madini sio ulinzi na usalama wa Tanzania, then sijui nini tena kinafit hiyo tafsiri!
Kwa tafsiri nyingine mh Rais ameshindwa kazi?kazi ya kulitumikia taifa,kuzilinda rasilimali na wananchi wake?
 
Kwa tafsiri nyingine mh Rais ameshindwa kazi?kazi ya kulitumikia taifa,kuzilinda rasilimali na wananchi wake?

Wakati mwingine Kikwete anasahau kuwa yeye ni amirijeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao hapo Tanzania.

Emphasis iko kwenye both raia na mali zao!
 
Hapo hapoooooo!!!

muda unayoyoma na Kikwete anadhani watu watasahau! JF bado iko macho na hii report au matokeo ya hii tume/kamati/wherever the name vinasubiriwa hapa JF
 
Hapo hapoooooo!!!

muda unayoyoma na Kikwete anadhani watu watasahau! JF bado iko macho na hii report au matokeo ya hii tume/kamati/wherever the name vinasubiriwa hapa JF

Tunasubiri kwa hamu tupate copy yetu hapa JF maana madini siku hizi ndo uti wa mgongo wa Mtanzania tujue kulikoni.
 
ukweli ni kuwa rais mwenyewe kashindwa kazi, coz ameshindwa kuwadhibiti mafisadi na wala rushwa wakubwa hapa nchini.

na pia hata jeshi nalo limejidhalilisha japo kwa kushindwa hata kukemea vitendo viovu ambavyo kila kukicha vinazidi kuhalalishwa hapa nchini. kwani hawajui kuwa kuna mchanga ambao haujasafishwa husafirishwa kila kukicha kuelekea kusikojulikana?
 
Watanzania jamani! Hii Kamati iliyoundwa ni Kamati ya Rais na si ya Bunge. Hivyo, kina Zitto na wenzake hawawezi kusema lolote hadi wampatie Rais ripoti hiyo. Na Rais halazimiki kuiweka hadharani (kama alivyofanya ya EPA) hivyo msitegemee kuiona hadharani hivi karibuni, ila mapendekezo yake yataangaliwa na kufanyiwa kazi. La maana ni wananchi kuendelea kusubiri kwani "subira yavuta kheri" kama alivyosema mtani wangu juzi.

Asanteni.

kama hiyo kamati aliiunda kwa ajili ya vikao vya harusi ya ridhwani basi ataikalia ripoti na hatutamdai, ila kama kamati ilihusiana na swala la madini ambayo ni mali ya watanzania basi ataitoa tu na tutaiona, na kama ataifanyia usanii tutajua tu.
 
kama hiyo kamati aliiunda kwa ajili ya vikao vya harusi ya ridhwani basi ataikalia ripoti na hatutamdai, ila kama kamati ilihusiana na swala la madini ambayo ni mali ya watanzania basi ataitoa tu na tutaiona, na kama ataifanyia usanii tutajua tu.

Na hasipoitoa si unajua JF tutaidai usiku na mchana na tutakuwa wa kwanza kuiweka hapa aje aseme sio yenyewe.
 
tuache kuwapa wasanii URAIS..hana haya anawaweka mafisadi maaruf kama MARIA KEJO.. Chenge's former DIRECTOR OF International Law, legal Contracts etc. kama chenge ana 25 billion basi huyu mama ana at least 8-10 Billion... Loliondogate, IPTL,Buzwagi, Richmond, kazaa na Lowassa na ni marafiki wazuri tu.. so Richmond nayo siajabu yuko.. WELCOME TO tanzania... the land of KILIMANJARO AND WASANII.
 
Kama mnaona hawa jamaa hawawasikilizi basi washitakini kwenye mahakama za Kimataifa ,najua Kikwete yupo bize katika kujenmga maisha bora kwa kila Mtanzania sasa walioko chini yake ndio wenye majukumu.
 
Waungwana

Hivi karibuni JK alipokuwa nje ya nchi kama sikosei China, ilitanngazwa na vyombo vya habari kwamba ripoti ya kamati ya madini imekamilika na wanamsubiri arudi ili akabidhiwe. Mbona amesharudi lakini hatusikii chchote kuhusu kukabidhiwa kwa ripoti hiyo? au usanii unaendelea kama ilivyokuwa kwenye ripoti ya BoT ambayo ilibidi ifanyiwe 'mchakato' na CAG kwa zaidi ya wiki saba?
 
Zitto nasikia yuko Marikani..na ripoti sijui ni kwanini haitolewi kwa wananchi!!
 
Zitto nasikia yuko Marikani..na ripoti sijui ni kwanini haitolewi kwa wananchi!!

Jmushi,

hii report ilishatoka mikononi mwa kina zitto kwa kadri ya nyeti toka ikulu na iko mikononi mwa JK mwenyewe. Labda ataitoa mwisho wa mwezi.

Kama kawaida ya JF, we will be waiting for Kikwete ajifunge magoli ama afanye the right thing...

tik tak tik tak tik tak.......
 
Mwafrika wa Kike,

Kamati walikuwa wanajiandaa kumkabidhi JK baada ya kutoka USA, je wamemkabidhi? Sijaona popote wakimkabidhi hiyo report.
 
Jmushi,

hii report ilishatoka mikononi mwa kina zitto kwa kadri ya nyeti toka ikulu na iko mikononi mwa JK mwenyewe. Labda ataitoa mwisho wa mwezi.

Kama kawaida ya JF, we will be waiting for Kikwete ajifunge magoli ama afanye the right thing...

tik tak tik tak tik tak.......
Mimi huwa somtimes nasikitishwa sana na jinsi wabongo tunavyodili na issue nyeti!
Wakati wa kuunda kamati everything was clear and open!Sasa wakati wa kutoa ripoti..inakuwa hakuna clear information!Sasa ni tetesi tu!sijui kipi cha kuamini..kwamba iko ikulu ama?when was it handed over?
I dont know about you..i remain resiliant..iam on it..just can't wait!
 
Mwafrika wa Kike,

Kamati walikuwa wanajiandaa kumkabidhi JK baada ya kutoka USA, je wamemkabidhi? Sijaona popote wakimkabidhi hiyo report.

JK knows what is going on. Kamati ilimaliza kazi yake rasmi mwisho mwa mwezi wa tatu. Hii report imekuwa inakwenda na kurudi toka ikulu kuanzia first week of April.

Mengine yote ni usanii tu mkuu
 
JK knows what is going on. Kamati ilimaliza kazi yake rasmi mwisho mwa mwezi wa tatu. Hii report imekuwa inakwenda na kurudi toka ikulu kuanzia first week of April.

Mengine yote ni usanii tu mkuu
Shukran kwa info Mwafrika wa Kike..but i still have questions
1)Ni kwanini hiyo ripoti ilikuwa inakwenda back and forth from ikulu?does it mean Mh hakuridhishwa nayo mara zote hizo?
3)Je rais atatoa matokeo ya ripoti hiyo?
4)Je Zitto anabanwa na ujadili ama utoaji wowote wa taarifa za kamati hiyo?
 
Shukran kwa info Mwafrika wa Kike..but i still have questions
1)Ni kwanini hiyo ripoti ilikuwa inakwenda back and forth from ikulu?does it mean Mh hakuridishwa nayo mara zote hizo?
3)Je rais atatoa matokeo ya ripoti hiyo?
4)Je Zitto anabanwa na ujadili ama utoaji wowote wa taarifa za kamati hiyo?

Upande wa kina zitto ulishamaliza kazi yao kadri ninavyoelewa mimi. Kinachoendelea sasa hivi ni usanii wa Vasco Da Gama kama ilivyo kawaida yake.

Umesahau kilichofanyika report ya EPA?
 
Upande wa kina zitto ulishamaliza kazi yao kadri ninavyoelewa mimi. Kinachoendelea sasa hivi ni usanii wa Vasco Da Gama kama ilivyo kawaida yake.

Umesahau kilichofanyika report ya EPA?
Je Zitto ambaye alikuwa mwakilishi wetu sisi vijana na wananchi wa kawaida huko kamatini..na ambaye ndiye nguzo kuu ya uundwaji wa kamati hii amebanwa kwa namna yoyote ile kwenye kuhusu kuruhusiwa kujadili na wananchi kuhusu ripoti hiyo?Je anaruhusiwa kujadili kabla rais hajaitoa hadharani?
 
Je Zitto ambaye alikuwa mwakilishi wetu sisi vijana na wananchi wa kawaida huko kamatini..na ambaye ndiye nguzo kuu ya uundwaji wa kamati hii amebanwa kwa namna yoyote ile kwenye kuhusu kuruhusiwa kujadili na wananchi kuhusu ripoti hiyo?Je anaruhusiwa kujadili kabla rais hajaitoa hadharani?

Katika hili la Zitto,

tusubiri tuone hiyo report itakapotoka then tujue mchango wake ulikuwa kiasi gani. NInajua kuwa anazuiwa kuongelea report hiyo kabla haijatoka rasmi na ndio maana mimi naelekeza mashambulizi kwa yule anayeshikiria hiyo report.
 
Mhh,

bado report inasubiriwa hapa JF na Tanzania nzima.

What a shame, mikiki mikiki yote ya kuunda kamati na hotuba ya masaa matatu kwenye mkutano wa ccm kuwa kamati itaundwa lakini when it comes to matokeo, mambo yote yanafanyika behind the curtain.

Leteni report guys!
 
Back
Top Bottom