Amesema kuwa Report haijakabidhiwa kwa nani? Na alisema hayo lini? Sijaribu kumtetea Zitto hapa kwani yeye mwenyewe huwa yuko hapa kujieleza. Ninaelewa kitu kimoja though, ni vigumu sana kwa Zitto kuongelewa hii report kama Kikwete hajaamua kuitoa kwa wananchi.
Kuhusu Zitto kuwa hapa US, nadhani inajulikana kabisa kuwa Zitto yupo hapa kufanya nini na kwa mwaliko wa nani. Hata hivyo kwa yale anayoweza kusema, Zitto ameongelea mengi kwa kiasi kikubwa katika settings kidogo alizopata kukutana na watanzania hapa kuhusu mambo ya madini.
Kuhusu Zitto kuwa your own, hilo nitakuacha mkuu ufanye your own call!