Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,363
- 1,135
Mushi
Sina tabia ya kupotosha na wala sijapotosha JF lolote kuhusu ripoti maana sina motovation ya kupotosha. Nipotoshe ili iweje? Nilisema ripoti tumemaliza na tusubiri Rais atupe siku ya kuwasilisha. Siku yenyewe ikawa leo na tumewasilisha.
Hata Mwafrika wa Kike hakupotosha kitu. Nadhani hakuna tuja katika mjadala unaotaka kuuleta. Jambo la msingi hivi sasa ni content ya ripoti. Kuna nini? Mapendekekezo ni yepi? Je kuna jipya? sidhani mjadala wa mwafrika wa kike alisema hivi au vile una maana hapa hasa ukizingatia kuwa hatukusema tumeshakabidhi ripoti
It was good clarification! Sasa tusubiri contents!