Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Mushi

Sina tabia ya kupotosha na wala sijapotosha JF lolote kuhusu ripoti maana sina motovation ya kupotosha. Nipotoshe ili iweje? Nilisema ripoti tumemaliza na tusubiri Rais atupe siku ya kuwasilisha. Siku yenyewe ikawa leo na tumewasilisha.
Hata Mwafrika wa Kike hakupotosha kitu. Nadhani hakuna tuja katika mjadala unaotaka kuuleta. Jambo la msingi hivi sasa ni content ya ripoti. Kuna nini? Mapendekekezo ni yepi? Je kuna jipya? sidhani mjadala wa mwafrika wa kike alisema hivi au vile una maana hapa hasa ukizingatia kuwa hatukusema tumeshakabidhi ripoti

It was good clarification! Sasa tusubiri contents!
 
Mkulu Jmushi,

Nadhani inafahamika hapa for a while kuwa report ilishakabidhiwa kwa JK. Ndio maana nimekuuliza swali kuwa Zitto alimaanisha kuwa report haijakabidhiwa kwa nani? - kwa wananchi au kwa JK?

Kama alimaanisha kuwa haijakabidhiwa kwa JK basi hiyo inazua utata mkubwa sana. Kama alimaanisha kuwa haijakabidhiwa kwa watanzania (haijatolewa?) basi huo ni ukweli kuwa hii report haijatolewa hadharani kwa watanzania ingawa sources za JF zinayo hii report in full.

Kauli ya mwafrika wa kike alipokuwa akikutetea hapa Mh Zitto ni hapo juu!
Na pia alisema kuwa kama ulimaanisha haijawahi kukabidhiwa then inazua utata mkubwa sana!
 
Bado tu tukiendelea kubishana na MWK..

Quote:
Originally Posted by mwafrika wa kike
Jmushi,

Kama kina Zitto wameshakabidhi report kwa Jakaya Kikwete naye ameamuaa kuikalia kama vile alivyofanya kwenye EPA, je kuna haja ya kumlaumu Zitto katika hili?

Mimi bado ninampa Kikwete siku 30 za bashing free posts ili nione kama kweli anaipenda hii nchi kama anavyodai au ni usanii tu kama ambavyo imekuwa inaonekana so far!


Where should i stand Mwafrika wa Kike?
 
So naona makosa yalikuwa kwa Mwafrika wa kike!
Sasa mbona haya mambo ya siasa yako hivi?
Wananchi wataacha kuchoshwa kweli?
 
sidhani kama JK ana tabia ya kukalia ripoti! uko nyuma ameshaunda kamati nyingi tu, na karibu ripoti zote (kama sio zote) ziliwekwa hadharani kwa namna moja ama nyingine. Tukianzia na ripoti ya mauaji ya wafanyabiashara wawili wa Ulanga, ... So, i'm sure na hii itakuwa hadharani pia, tumpe wiki tatu; aisome, aielewe, aikubali!
 
Bado tu tukiendelea kubishana na MWK..

Quote:
Originally Posted by mwafrika wa kike
Jmushi,

Kama kina Zitto wameshakabidhi report kwa Jakaya Kikwete naye ameamuaa kuikalia kama vile alivyofanya kwenye EPA, je kuna haja ya kumlaumu Zitto katika hili?

Mimi bado ninampa Kikwete siku 30 za bashing free posts ili nione kama kweli anaipenda hii nchi kama anavyodai au ni usanii tu kama ambavyo imekuwa inaonekana so far!


Where should i stand Mwafrika wa Kike?

Mushi

Ni vema kujua taratibu za utendaji kazi serikalini.

Mkimaliza kazi kama yetu, mnatoa taarifa kuwa tumemaliza kazi na tunaomba siku ya kukabidhi rasmi. Katika taarifa yenu mnapeleka executive summery ya taarifa ili mkabidhiwa awe na cha kusema baada ya mwenyekiti wa kamati kusema kitu na kukabidhi ripoti.

Tulipeleka taarifa toka Aprili na tumepewa nafasi leo. Mwafrika wa Kike hakukosea lolote na wala hakuna tija kujadili hilo
 
Haya sasa mkuu Zitto madhali ripoti imeshatolewa...Ni lini sisi wananchi tutapata taarifa?
Ama countdown inaanza upya tena?
 
Haya sasa mkuu Zitto madhali ripoti imeshatolewa...Ni lini sisi wananchi tutapata taarifa?
Ama countdown inaanza upya tena?

Tumekabidhi report. Sisi wajumbe tumemaliza kazi yetu. Tusubiri Rais anafanya nini. Kumbuka kuna Bunge soon.
 
Mkuu Rais unahitaji muda mzuri wa kusoma na kutueleza sisi kama Taifa nini umepata .I hope utatumia muda wa mwaka na nusu kutuelezea huu ukiwa ni muda mfupi zaidi .
 
Haya mambo ya kusubiri subiri mnayotuambia tumsubiri Rais ndiyo yaliyopelekea Ballali akafa akiwa huru huku tukiendelea kumsubiri Rais...
Kwa tafsiri kamili ni kuwa TUENDELEE KUSUBIRI HAKI YA MTANZANIA IENDELEE KUCHEZEWA KAMA KICHWA CHA MWENDAWAZIMU!
 
mwafrika wa kike said:
...basi huo ni ukweli kuwa hii report haijatolewa hadharani kwa watanzania ingawa sources za JF zinayo hii report in full.
MwK, why JF-sources have this time decided to mute while in possession of committee report?
- is it because the committee involves Mh. Zitto?!
- is it wrong to say JK has strategically win pipos mind including JF-sources and members?
 
Huu mjadala naona sasa umeanza upya!
Chonde chonde watu wengine waliohusishwa humo kwenye ripoti waisije kufa wakiwa huru!
 
Jmushi
Ngoja tusubiri maana watanzania tumezoea kusubiri. Lakini kwa upande mwingine JMK si kama BWM yule fisadi. Yeye kwa sehemu kubwa tumekuwa tukipata ripoti za kamati anazounda hadharani, lakini yule fisadi alikalia ripoti nyingi na kuzifanya ni mali ya ikulu. Nadhani alipomaliza kipindi chake alikwenda nazo na anazo kwake.
 
reportleoikulu12ag2.jpg


JK akizungumza na waheshimiwa John Cheyo, Jaji Bomani, Iddi Simba na Zitto Kabwe mara baada ya kukabidhi Ripoti ya Madini ikulu leo jijini Dar es Salaam.

Picha na Geofrey Baluah wa Ikulu
 
reportleoikulu12ag2.jpg


JK akizungumza na waheshimiwa John Cheyo, Jaji Bomani, Iddi Simba na Zitto Kabwe mara baada ya kukabidhi Ripoti ya Madini ikulu leo jijini Dar es Salaam.

Picha na Geofrey Baluah wa Ikulu

Mzee wa mapesa na yeye naona amekamatia Glass ya Whisky kama sikosei!
HAO NDIO MIONGONI MWA WAZITTO WETU WENYE KUJUA SIRI AMBAZO WANANCHI HAWATAKIWI KUZIJUA!
Ngoja na mimi nikamate glass yangu hapa maana naona kulikuwa na katafrija kakupongezana kwa kazi nzito!
 
Tumekabidhi report. Sisi wajumbe tumemaliza kazi yetu. Tusubiri Rais anafanya nini. Kumbuka kuna Bunge soon.

Inabidi ifanyiwe 'mchakato' kwanza kama ile ya EPA ambao unaweza kuchukua miezi miwili au mitatu wakati huo kikao cha Bunge kimekwisha na mafisadi watakuwa wametufunga goli lingine Watanzania. Uzuri ni kwamba Watanzania sasa tumeamua mpaka kieleweke siyo kama ilivyokuwa mwaka 47.
 
JK akiikalia hii report atajishushia hadhi.
Huko nyuma, reports zoote za madini hazijawahi kuwa hewani. Ila hii tunaitaka tuisikie. Akiikalia, itume hapa kwenye JF tuwasomee wananchi. Na kama hiyo report haija include mgodi wa Kiwira na Buzwagi basi itakuwa ni batili kabisa. Tunaunda tume nyingine.

Ajishushie hadhi mara ngapi tena? Hadhi mbona imeshashuka siku nyingi!!! Amepata opportunities chungu nzima to raise to the occasion na kurudisha credibility yake kwa wananchi lakini kila mara kwa sababu ambazo hazieleweki hakufanya chochote. Inawezekana naye ana madhambi yake chungu nzima ya kifisadi ambayo yanamfanya anakuwa mzito kufanya maamuzi ya kutetea maslahi ya Watanzania. Utaweza kweli kuwakamata na kuwafungulia mashtaka mafisadi wakati wewe mwenyewe ni fisadi? Ni vigumu mno!!!
 
Mkuu Rais unahitaji muda mzuri wa kusoma na kutueleza sisi kama Taifa nini umepata .I hope utatumia muda wa mwaka na nusu kutuelezea huu ukiwa ni muda mfupi zaidi .

Lunyungu unakumbuka mgogoro wetu pale niliposema Kikwete akataa Ballali asiletwe na ukanipiga vita sana....Sasa naona kweli hii imani yenu ya kusema tumsubiri Kikwete huku watuhumiwa wakifa huru...Then ndio pale UTATA unapokolea!
 
Ni kweli kwasababu eti sasa hivi ndio BUNGE linatajwa wakati WENGI WETU tulikuwa tukilitaja BUNGE kabla ya kamati ya madini kuundwa ili lipewe nafasi ya kuunda kamati teule watu walikuwa kimya ama hawakuona umuhimu huo...Sasa Rais keshaiunda na sasa BUNGE ndio linatajwa tena...Yani ni kama vile cycle ya ki maniac maniac vile.
 
Back
Top Bottom