jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
- Thread starter
- #301
Sikujua kama wananchi hamna hiyo report! ulichonacho wewe ni nini mkuu?
Mimi na wananchi wengine hatuna kile wewe,Kikwete pamoja na wanakamati wa madini mnacho...!Ripoti amabayo findings zake ziko miaka na miaka kwenye mafail ya ccm!
Kamati yenyewe ilikuwa usanii tu na hivyo hiyo ripoti ilikuwa haina manufaa kwetu!
Hakuna mapendekezo ccm wasiyoyajua..NI UFUJAJI WA PESA ZA WANANCHI!
Na sasa SINCLAIR HUYO HUYO ALIAMBIWA MADINI YATAISHA 2028 NA SERIKALI YETU ILIYOKUWA IKIYAJUA HAYO KITAMBO SANA ILA HAIWAAMBII WANANCHI KWANI WENGI WAO WANA ELIMU YA MSINGI TU!
CCM MAJANGILI!