Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Of all pple Mushi siwezi kukubrush off wewe! Ninapinga hoja zako ingawa tumekuwa tunakubaliana mengi hapa kwa muda mrefu. Tegemea upinzani kama huu katika maisha ya sera na siasa!
Naomba na wewe utegemee the same!
Kwasababu mimi nina sifa ya uvumilivu na kusimamia hoja bila kutetereka wala kuwa na jazba!
 
Naomba na wewe utegemee the same!
Kwasababu mimi nina sifa ya uvumilivu na kusimamia hoja bila kutetereka wala kuwa na jazba!

Nilipoanzisha debate nawe kwenye hili ilikuwa ni part ya process.

bado nasubiria maswali yako "makini"

Swalil la kwanza..........
 
Ok sasa naomba nikuulize swali!
Kikwete keshasema ni lini ataitoa ripoti?
Na je kama taarifa zikiwa zimepindishwa..Zitto atatutonya?
Mwafrika wa Kike mbona sasa unafanya hivi?
Yani mpaka niamue kuji qoute mwenyewe kukukumbushia kuwa nishauliza haya maswali mpaka inachosha?
We huoni Marwa wa Mara kaanzisha thread huko inasema hongera jmushi kwa kufikisha posts 1000?
 
Nilipoanzisha debate nawe kwenye hili ilikuwa ni part ya process.

bado nasSwalil la kwanza..ubiria maswali yako "makini"

........
1)Kwanini umuamini Mh Rais kuwa atatoa ripoti na wakati hakuna ushahidi kuwa atafanya hivyo?
Siyo tu ushahidi..Bali hata historia haionyeshi hivyo!
NB:Usije ukaendelea kurudia rudia kuwa maswali yakwapi!
Maana umeshindwa kuona how many times nimejaribu hilo!
Ahsante!
 
1)Kwanini umuamini Mh Rais kuwa atatoa ripoti na wakati hakuna ushahidi kuwa atafanya hivyo?
Siyo tu ushahidi..Bali hata historia haionyeshi hivyo!
NB:Usije ukaendelea kurudia rudia kuwa maswali yakwapi!
Maana umeshindwa kuona how many times nimejaribu hilo!
Ahsante!

Nimempa Kikwete muda afanye the right thing. Kama atafanya au asifanye hii ni juu yake na wala sio swala la imani zangu/yangu kwake.

Swali la pili......
 
JE NI KWELI BUZWAGI NI KAMLADI KA JK NA MAMA, KAMA VILE KA KIWILA KANAVYO MILIKIWA NA BEN NA ANNA.

Hili ni swali zuri sana ambalo bado wachunguzi wa JF wanafuatilia....

Urafiki wa Kikwete na Sinclair unatisha lakini itahitaji muda kidogo kabla ya kufikia kwenye hii conclusion.
 
Lete Points Sasa Instead Of Kubangaiza Jf Wewe Mzee Mzima Naye Lazima Ajiandae Kwa 2010, Finace Is Gun ,politics Is Knowing When To Pull Trigger,lisemwalo Lipo Marwa
 
Back
Top Bottom