Bhbm
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 714
- 210
Kweli sasa nimeamini kuwa ile media company ya wahaya imejaa vilaza na wenye majungu, na inaonyesha pia kuwa sera yao ya kuajili lazima uwe na roho, tabia, na ukatili wa kimagamba. Shame on you.Obama alikuwa na jibu moja tu kwa wale ambao hawakuamini kuwa Osama amekufa. Obama alisema ' you will never see Osama walking on this planet again'. Mimi nasema ' you will never see Jerry Muro employed again'