mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
ni kweli nimetoka mahakamani sasa hivi, ilikuwa uzushi tu
Kichwa panzi huyo.....Mwita ni sheria ipi inatamka hayo mkuu
Maana naamini Jerry hakuwa guilty of the offence
Angepatikana na hatia hapo hata hivyo akifungwa akirudi bado ni raia wa kawaida na ana haki kama raia wengine ikiwemo ya ajira
naomba hiyo sheria mkuu inayosema ukipatikana na hatia huruhusiwi kuajiriwa tena
ni kweli nimetoka mahakamani sasa hivi, ilikuwa uzushi tu
Mkuu hii ni kwa mujibu wa sheria gani? Wanatakiwa washitakiwe hao manake kwa mujibu wa ELRA mtuhumiwa hatakiwi kukatwa mshahara anatakiwa alipwe wote hadi atakapopatikana na hatia. Na kama hatapatikana na hatia basi anarudishwa kazini na kuendelea na kazi hili suala la kukatwa mshahara ama kutolipwa halipo hata kidogo!
Sasa unapata ujasiri wapi wa kumhukumu Jery Muro kuwa alikuwa anachezea watu wasio chezewa hapa TZ? na wewe ni mmoja wao???Hamna aliye juu ya sheria Maria. Watu wanajua kucheza tu na sheria. Issue ya Jerry Muro ni obvious kila mtu alikuwa anaifahamu. Mahakama imeshaamua, hatuwezi tena kumuhukumu hapa JF
Mwita ni sheria ipi inatamka hayo mkuu
Maana naamini Jerry hakuwa guilty of the offence
Angepatikana na hatia hapo hata hivyo akifungwa akirudi bado ni raia wa kawaida na ana haki kama raia wengine ikiwemo ya ajira
naomba hiyo sheria mkuu inayosema ukipatikana na hatia huruhusiwi kuajiriwa tena
ndio maana nasema wewe ni comedianSheria za nchi zinasema ukishashtakiwa mahakamani hutakiwi kuajiriwa tena na kampuni yoyote ile. Huyu Jerry Murro imekula kwake moja kwa moja.
Ile rushwa aliiomba. Nchi hii vyombo vya dola vyote vimeoza. Polisi, hakimu wote kama Muro.Hahaha... Sio mipasho bht ni ukweli halisi, afu kuna watu wanakerwa j muro kuachiwa lol, shame on them. Ndio kaachiwa sasa wajinyweshe tu 'vyumu'
Hahaha... Sio mipasho bht ni ukweli halisi, afu kuna watu wanakerwa j muro kuachiwa lol, shame on them. Ndio kaachiwa sasa wajinyweshe tu 'vyumu'
Kaka hiyo sheria nenda kaisome upya, mie ninavyojua ni kwamba ukishitakiwa na mwisho wa kesi ukapatikana na hatia hapo ndipo unayoyasema yanakuwa sahihi, lakini pia angalia Mh Chenge na yule mbunge wa Mbeya wote walihukumiwa na wakatoa faini, sasa nashindwa kuelewa kwani wao sio waajiliwa?Sheria za nchi zinasema ukishashtakiwa mahakamani hutakiwi kuajiriwa tena na kampuni yoyote ile. Huyu Jerry Murro imekula kwake moja kwa moja.
Mia....walio achiwa ni jerry muro, deogratias na edwin kapama. ni kwamba wameonekana hawana hatia katika kesi ya rushwa ya sh 10,000,000/-. Jerry kasema mapambano bado yanaendelea. kawashukuru viongozi wa dini zote. anasema kawasamehe wote walio panga kumuangamiza wakiwemo viongozi wake, polisi, serikali na wote walioshiriki katika kumuangamiza. anasema yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Kasema sasa kilichobaki ni kuchapa kazi kwa bidii na mapambano yanaendelea.source ITV. Mia
Obama alikuwa na jibu moja tu kwa wale ambao hawakuamini kuwa Osama amekufa. Obama alisema ' you will never see Osama walking on this planet again'. Mimi nasema ' you will never see Jerry Muro employed again'
Naukumbuka sana ule mjadala wa pingu, ukachagizwa na zile Picha za 'pingu za Sikonge'......Hawakuwa na kesi; toka mwanzo wengine tulibeza kesi nzima na kile kilichoitwa 'ushahidi' wa 'pingu'! waste of people's resources kwa kweli. grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr keep fighting!
Mbona kuna baadhi ya wabunge walishtakiwa na wakaendelea kula hela ya walipa kodi?hiyo sheria ipo kwa baadhi ya watu tu?Sheria za nchi zinasema ukishashtakiwa mahakamani hutakiwi kuajiriwa tena na kampuni yoyote ile. Huyu Jerry Murro imekula kwake moja kwa moja.
Mwanzo mzuri kitaeleweka tu aende zake hapo TBC wakamlipe mshara wake waliomdhulum