Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

Hatimaye Jerry Muro ashinda kesi yake

Kwani wewe hujui kuwa wabunge wameajiriwa na wananchi?kwanza naona hapa nabishana na mtu sie kabisaaa.Nisije pata hasira za bure na ikala kwangu...kwaherii

Mbunge anachaguliwa na wananchi haajiriwi na wananchi. Sheria za nchi zinasema mtu yeyote aliyewahi kushtakiwa mahakamani, hata kama atashinda kesi, atakuwa amepoteza haki yake ya msingi ya kuajiriwa na taasisi yoyote ile. Mimi nina mifano ya watu wengi tu ambao walikuwa waajiriwa na wamejikuta juu ya mawe baada ya kushtakiwa mahakamani.
 
Nakusubiri harakisha usije ukanikasirisha na wewe....
Hahahahaa.dadito umeanza kuchakachua sredi ya kusherehekea freedom ya muro.Haya mamaaaa,nimesikia na saa usiyodhani nitatua hapo kwako.
 
hongera Muro. unaonesha kuwa ulikuwa kweli unafanya kazi yako kiusahihi
 
Kuna ile imani kuwa wanawake wengine ni nuksi, ukioa tu umekwisha! Kwa maana hiyo huyu aliyeolewa na Muro kaleta baraka. Kama ndivyo basi hongereni ma-SHE wote! Naomba niulize, Gerry tutamuona tena TBC au ndo niaje hatima yake kazini?



Huyo Gerry waweza kumuona TBC, lakini Jerry Muro sidhan kama atakwepo tena Tbc.
 
Hahahaaa Pole Mr. Man....chungu kumeza, jitahidi.
hana tena mvuto..baada ya kufukuzwa TBC alijiunga na Tumaini university..kuna mwalimu alimfukuza kama paka! Kila mtu tumaini alikuwa anamuona kichefuchefu.
Juzi juz hapa nimekutana naye maeneo ya Calabash na GX 100 yake, maskini kachooka. Nikamblock kwanza! Nilikuwa nasubiri alianzishe bahati nzur akawa mpoleee
 
Tutasikia mengi leo hapa mwayego....
Lakini cha muhimu Jerry yu huru, uhuru mtamu SL bana....

Ajira ajira, siku zote hizi alikuwa anaishije tangu ashtakiwe?
Hivi kila mtu lazima aajiriwe?
Nashangaa!!!


Mbona mimi na wewe tumejiajiri twauza mabumunda na ngubiti na maisha bado yanasonga??
 
Sasa hivi itabidi tu awe anafanya kazi za back office. Kuuza sura kwenye TV sasa noo!

Hapo unatoa ushauri au unaagiza? Wewe kama nani? halafu acha kudharau kazi za watu kabisa, watu wanakuwa kazini wewe unasema eti wanauza sura! na kamanda naye kila mwisho wa mwezi utasema anauza sura? wakati anatujuvya wanakaya wake kaya iko vipi. Sometimes ni heri unyamaze watu watadhani unahekima, hiyo yatosha, kuliko kutuletea point zilizo-bust! Take care.
 
Mbunge anachaguliwa na wananchi haajiriwi na wananchi. Sheria za nchi zinasema mtu yeyote aliyewahi kushtakiwa mahakamani, hata kama atashinda kesi, atakuwa amepoteza haki yake ya msingi ya kuajiriwa na taasisi yoyote ile. Mimi nina mifano ya watu wengi tu ambao walikuwa waajiriwa na wamejikuta juu ya mawe baada ya kushtakiwa mahakamani.
Waajiri wanatumia "udikteta" wao. Mara nyingi wanawaachisha kazi watu kama hawa kwa visingizio kuwa nafasi zao zimejazwa na watu wengine. Muro atapata kazi. Huoni anavoshangiliwa humu!
 
Mbunge anachaguliwa na wananchi haajiriwi na wananchi. Sheria za nchi zinasema mtu yeyote aliyewahi kushtakiwa mahakamani, hata kama atashinda kesi, atakuwa amepoteza haki yake ya msingi ya kuajiriwa na taasisi yoyote ile. Mimi nina mifano ya watu wengi tu ambao walikuwa waajiriwa na wamejikuta juu ya mawe baada ya kushtakiwa mahakamani.

Labda uitaje hiyo sheria. Maana haki ya Kikatiba ya mtu kupata ujira wa haki itakuwa imevunjwa. Kwani kushtakiwa ndio kunaondoa haki ya mtu kufanya kazi halali? Tuambie ni sheria ipi inasema hivyo isije kuwa ni yale yale ya JK kudai kuwa "anafuata Katiba" bila kusema ni kifungu gani cha Katiba anachokifuata kwenye mchakato wa Katiba mpya.
 
Mbunge anachaguliwa na wananchi haajiriwi na wananchi. Sheria za nchi zinasema mtu yeyote aliyewahi kushtakiwa mahakamani, hata kama atashinda kesi, atakuwa amepoteza haki yake ya msingi ya kuajiriwa na taasisi yoyote ile. Mimi nina mifano ya watu wengi tu ambao walikuwa waajiriwa na wamejikuta juu ya mawe baada ya kushtakiwa mahakamani.
Weka sheria husika hapa bana...huwezi ng'ang'ana kwa maelezo meeeengi kisha irrelevant...
Cite the authority and we stop arguing.
 
Back
Top Bottom