khaaaaaa! huu ni uongo uliobase kwny empty assumptions and factless basis on the ground.Kwani hujui kuwa Jerry Muro alikuwa anawafanyia kazi CIA? Hukumbuki kipindi cha ziara ya Bush alivyokuwa busy kuzunguka na camera nchi nzima? Wakulu walipoanza kuona mambo yanageuka wakamzushia zengwe ili wampunguze kasi.
Wewe nawe....tumia akili kidogo.....
Unamaanisha natumia akili sana kwahiyo nianze kutumia kiasi kidogo tu cha akili yangu? Nitazingatia ushauri wako.
Inaonekana imekuuma sana mzee, pole sana mkuu ni ngumu kumeza but ndio ukweli huo kuwa kijana yuko huru. Yaonekana unachuki binafsi juu ya huyu kijana, ni mmoja kati ya aliowalipua? Shame on you na ufisadi wenu..hana tena mvuto..baada ya kufukuzwa TBC alijiunga na Tumaini university..kuna mwalimu alimfukuza kama paka! Kila mtu tumaini alikuwa anamuona kichefuchefu.
Juzi juz hapa nimekutana naye maeneo ya Calabash na GX 100 yake, maskini kachooka. Nikamblock kwanza! Nilikuwa nasubiri alianzishe bahati nzur akawa mpoleee
Una matatizo wewe,nina wasiwasi na huko upstairs kwako,Again Jerry im so happy for you,sasa maisha ndo yanaanza na watajibebaHe has recently got married just in case you are not aware of.
khaaaaaa! huu ni uongo uliobase kwny empty assumptions and factless basis on the ground.
stop ths cheap comments of urs ,ni ushauri tu kwasababu unauza utu wako tu hapa.
Wapi Champaigne ni furaha kwa kwenda mbele,SIKU HAZIGANDIMe too FL......!
yaani unamaanisha mafisadi tuwaache tu wale nchi kwa kuogopa kufungwa? acha hizo mtoto wa kiumeDah! Pole sana Jerry..Karibu tena uraiani. Lakini naamini utakuwa umeshapata fundisho. Siyo kila mtu ni wa kuchezea ndani ya TZ hii
Wapi Champaigne ni furaha kwa kwenda mbele,SIKU HAZIGANDI
Makubwa,ulemavu wa fikra ni mbaya sanaha ha ha -- atapata siti ya kusimama cha msingi afike tu.
kwa nini unakereka jamani?mimi nimefurahi kwa kweli ,JERRY MUNGU NI MWEMA ,hakika leo unaanza newchapter.Hivi nyie vipi mnashangalia kuachiwa kwa mume wa mwenzenu?