Mikael P Aweda Pole sana.......................kwa kutetea unga wako.....lakini mwanadamua haishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo kwenye kinywa cha Muumba...................na neno tajwa ni pamoja na kuwa mkweli..................................kumuomba Dr. Slaa ndiyo demokrasia ya wapi......................................wapi ile kitu kidogo mnayoiita.........................."people's power?".........................au ni wimbo tu wa majukwaani?
sababu yako ya pili hata siijibu maana husemi ukweli................nipe takwimu za mishahara tajwa na tuone ya ccm na wa huyu Dr. Slaa tofauti zake ziko wapi................................takwimu please...............
la tatu hizo ni hadithi za kufikirika............kwa Dr. Slaa ambaye jana kwa kinwa chake kadai anaienzi kadi ya ccm si pia na imani ya sita ya ccm?.................................:
"cheo ni dhamana na sitakitumia cheo changu kwa manufaa yangu?"
suala hapa siyo marupurupu ambayo mimi sijayataja.......................suala kwa nini utofautiane na wenzio kimshahara kama lengo kweli ni kuwahudumia wananchi?