Naomba usipige kelele na usipotoshe.
Dr Slaa hakuomba kugombea urais, aliombwa. Kwa hiyo, kusema kwamba alishinikiza ni uwongo na upotoshaji. Dr Slaa alishachukua fomu ya kugombea ubunge mwaka 2010 kama unakumbuka. Sisi viongozi wa chama ndo tulimwomba huku akiwa na uhakika wa kuwa mbunge wa Karatu.
Pili, Dr Slaa analipwa pesa kidogo sana kulinganisha pesa wanazolipwa Makamba,Mkama na Kinana. Kama ubisha leta ushahidi.
Tatu, mapato ya Dr Slaa ni kidogo sana ukilinganisha na Mbunge mwenye vikao vingi vyenye marupu rupu mengi.
Kiujumla mkuu hapa unapotosha.
[MENTION]Kwa kuongeza,
Kama ukiwa mwanachadema huku una kadi mfu ya ccm kama Dr Slaa unakuwa na ujasiri wa kuwataja mafisadi hadharani akiwepo Rais. Basi mimi jimboni kwangu nawahitaji wanaccm watakaojiunga na Chadema ambao nitawaachia kadi za ccm halafu wafanye kazi kama Dr Slaa.
Naomba usipige kelele na usipotoshe.
Dr Slaa hakuomba kugombea urais, aliombwa. Kwa hiyo, kusema kwamba alishinikiza ni uwongo na upotoshaji. Dr Slaa alishachukua fomu ya kugombea ubunge mwaka 2010 kama unakumbuka. Sisi viongozi wa chama ndo tulimwomba huku akiwa na uhakika wa kuwa mbunge wa Karatu.
Pili, Dr Slaa analipwa pesa kidogo sana kulinganisha pesa wanazolipwa Makamba,Mkama na Kinana. Kama ubisha leta ushahidi.
Tatu, mapato ya Dr Slaa ni kidogo sana ukilinganisha na Mbunge mwenye vikao vingi vyenye marupu rupu mengi.
Kiujumla mkuu hapa unapotosha.
Hivi ukienzi kaburi, maana yake, aliyezikwa humo ndani badi yu hai? Au ukienzi picha ya marehemu inaama huyo mtu bado yu hai?
Masharti ya uachama wa CCM yamo kwenye katiba, and I dont even understand CCM watatibiwa na dawa gani ili wawe wanasoma? Na kama wanashindwa kusoma mistari michache inayohusu uanachama, kwanini tuwaamini kwenye ku-sign mikataba?
Elizabeth Dominic Kadi ndilo jambo muhimu kulikoni yote.........................ndiyo mlango wa uzalendo na kuaminika..................kama Dr. Slaa bado ni ccm sasa khali ya cdm imekaaje? Pili kwanini hafuati sheria ya kuwa chama kimoja tu?
FJM labda muulize kibosile wenu anamaanisha nini kuienzi kadi ya ccm kama siyo kuilipia michango kimyakimya...................na hivyo kuamini yote ambayo ccm inayaamini...........
mamliki hauna sababu ya msingi wa kubaki na hiyo kadi,maji ya kijani yanawasumbua.Nami nina kadi ya CCM ambayo niliinunua kwa kulazimishwa enzi zile za chama kimoja. Hiyo kadi ni mali yangu kwa vile niliuziwa, japokuwa siyo mwanachama wa CCM. Nimeiweka kama "MEMORABILIA" kuonesha watoto na wajukuu KADI ya CHAMA KANDAMIZI na CHAMA cha MAFISADI Tanzania.
FJM labda muulize kibosile wenu anamaanisha nini kuienzi kadi ya ccm kama siyo kuilipia michango kimyakimya...................na hivyo kuamini yote ambayo ccm inayaamini...........
Dr Slaa sasa kadi ya CCM unakaa nayo ya nini wakati wewe upo Chadema. Mbona wale wanarudisha kadi kwenye mikutano yako uambii wakae nazo kama kumbukumbu.
7. (1) Mtu akikubali kuwa Mwanachama itabidi atekeleze haya yafuatayo:-(a) Atatoa kiingilio cha Uanachama(2) Viwango vya kiingilio, ada na michango vitawekwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.
(b) Atalipa ada ya Uanachama kila mwezi isipokuwa kama akipenda anaweza kulipa ada ya mwaka mzima mara moja.
(c) Atatoa michango yoyote itakayoamuliwa
(3) Uanachama wa mwanachama utakwisha kwa:-(a)Kufariki.
(b)Kujiuzulu mwenyewe.
(c)Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.
(d)Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.
(e)Kutotimiza masharti ya uanachama.
(f)Kujiunga na Chama kingine chochote cha siasa.
(4) Mwanachama ambaye uanachama wake unakwisha kwa sababu yoyote ile hatarudishiwa kiingilio alichokitoa, ada aliyotoa wala michango yoyote aliyoitoa.
Naomba usipige kelele na usipotoshe.
Dr Slaa hakuomba kugombea urais, aliombwa. Kwa hiyo, kusema kwamba alishinikiza ni uwongo na upotoshaji. Dr Slaa alishachukua fomu ya kugombea ubunge mwaka 2010 kama unakumbuka. Sisi viongozi wa chama ndo tulimwomba huku akiwa na uhakika wa kuwa mbunge wa Karatu.
Pili, Dr Slaa analipwa pesa kidogo sana kulinganisha pesa wanazolipwa Makamba,Mkama na Kinana. Kama ubisha leta ushahidi.
Tatu, mapato ya Dr Slaa ni kidogo sana ukilinganisha na Mbunge mwenye vikao vingi vyenye marupu rupu mengi.
Kiujumla mkuu hapa unapotosha.
[MENTION]Kwani sisi watanzania tunamaanisha nini tunapoenzi yale majengo yaliyotumika wakati wa biashara ya utumwa enzi za ukoloni pamoja na njia zake? Kwa mujibu wa maelezo yako unataka kusema tunapenda kurudisha biashara ya utumwa?
Je, wajua tofauti ya kubisha, kujenga hoja makini na kupiga kelele?
Majibu ya Dr. Slaa ni yepi mbona kama anajiuliza na kujijibu mwenyewe huyu mtoa hoja!? Au sijaelewa alichokiandika!?