Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,506
Hakuna uzushi hata ukikasirika lakini kaa ukijua Dr Slaa bado anayo kadi ya CCM.
Kama anayo sie inatuhusu nini?
Hakuna uzushi hata ukikasirika lakini kaa ukijua Dr Slaa bado anayo kadi ya CCM.
Ndiyo slaa ni active member na analipia ada zote za wamachama huko anazuga tuuu kwa ushahidi njooni mjengoni mpewe data zote.na c slaa tu lipumba,hamad,zito,mbowe wote ni wanaccm
Kwa mtu anayependa kupigiwa makofi na wapumbavu kama Nape na wewe mkuu, huo mnauona ni ushindi wa kisiasa. Lakini kwa wenye akili wanaona msingi wa uongo, na upotoshaji.Dr. Slaa anatupa wakati mgumu kuamini kuwa anayo hekima ya kawaida kabisa ambayo ingemtaka arudishe kadi ya CCM kama yeye anavopokea kadi za CCM toka kwa wanachama walioasi CCM. Utasemaje unaichukia CCM ila uanipenda card yake? It is indeed strange, kwa sababu Slaa anatakiwa ajue kuwa anadeal na Watanzania wa kawaida tu ambao wanaamini kuwa ukiwa na card ya chama fulani basi wewe ni mwanachama wake. So Nape has won a political round and it is time for Slaa kurekebisha mambo aliyoharibu. Na pia aache kuropoka ovyo
Mimi nimesikia kwa macho yangu na kumwona kwa masikio yangu akiimba KIDUMU CHAMA CHA MAPUNDUZI!!!!!kwa hiyo CCM inamuhesabu kama ni mwanaccm,yaani ni kati ya wale milioni 5!
Wewe ndumila kutatu(wala siyo kuwili tena!)nimeipitia kadi yangu ya ccm,haisemi ukiacha uanachama unatakiwa uirudishe kadi kokote.kwa hiyo si lazima kuirudisha