Hatimaye Dr. Slaa amjibu Nape, aingizwa 'King'?

Hatimaye Dr. Slaa amjibu Nape, aingizwa 'King'?

[/QUOTE FJM, kama nitakuwa nimemuelewa vema Rutashubanyuma, nadhani hoja si kuwa Dr Slaa ni mwanachama wa CCM au la. Hoja ni Dr Slaa kukubali kuingizwa kwenye mjadala wa kipuuzi na Nape. Kama kuna mtu atakuwa anaamini kuwa Dr Slaa bado ni mwanachama wa CCM, basi huyo atakuwa na aina nyingine ya matatizo


hiyo ndiyo hoja ya leo..............................kesho nitamwongelea Sinde Warioba na tume yake babaishi.................keep on reading this space..........JS
 
Bado siamin kama kweli Dk Slaa amekiri hvyo, mana CCM wana mtambo wa kutengeneza sms, labda Slaa ajitokeze mwenyewe akil hadharan, Nape sio mtu wa kumuamin.!!

Chiya Chibi....................hadhi ya Dr. Slaa imeteremka sana...........he is a very cheap politician, anatoka wapi na punguani Nape?
 
Last edited by a moderator:
Hivi na wewe unajiita great thinker?
Ninavyowajua mlivyo wanafiki si mngeweka hizo risiti za malipo ya kadi za uanachama hapa JF ili tuone kwamba ni kweli hao ni wanachama hai! Wekeni ushahidi kama alivyoweka Rostam kwa Mtikila, baada ya kuchukua milioni tatu na kuzikana.
[MENTION]
Idimi[/MENTION]......wape mbovu zao wakishindwa kuzimeza wakazitapike..........
 
Afadhali umeliona hilo, nimshauri mleta mada afanyie uhariri kichwa cha habari ameuchuna, amebaki kubishana na wachangiaji wengine.
Kichwa chake cha habari ni kama Magazeti ya Udaku tu, hakina uhusiano na hoja yake.
[MENTION]
Wimana[/MENTION]..................................ongea na ma-mods...wao mawerekebisha kichwa changu cha awali...................wape ushauri nasaha...........udaku nazo si khabari?
 
Hapo kwenye red tuko pamoja kuhusu kadi ya Slaa.
Kadi hiyo, maana yake miaka michache ijayo Dr Slaa atakaa na watoto wake na wajukuu zake ili awaambie alikuwa ccm na ushahidi anao, akajiunga Chadema na ushahidi anao.
Tatizo, wewe unabisha Slaa kuwa na hiyo kadi ya kumbu kumbu. Huku unakubali serikali kutumia fedha kwenye maeneo yalikofanyika biashara mbaya ya utumwa.
Watz wanachukia biashara ya utumwa huku tunagharimia maeneo yalikofanyika.
Mandela anachukia kisiwa kile alichoka miaka 27 lakini waafirika kusini wanatumia fedha nyingi kuitunza - sasa imekuwa utalii.
Dr Slaa anaichukia sana ccm lakini ana kadi yake kwa ajili ya kumbu kumbu yakewajukuu wake. alikotoka na alikoishia. full stop.

Mikael P Aweda mshauri bosi wako kwanza awarudishie wana-cdm waliomkabidhi kadi zao za ccm nao wayafaidi matunda ya kuienzi ccm kwa vitendo siyo kwa ghiliba kama za Dr. Slaa..............
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo slaa ni active member na analipia ada zote za wamachama huko anazuga tuuu kwa ushahidi njooni mjengoni mpewe data zote.na c slaa tu lipumba,hamad,zito,mbowe wote ni wanaccm

Kama unazungumzia hapa jamvini unashindwa nini kuanika huo uharo? Hata hivyo hizo kadi zinawapa ahueni ipi kwa hivi mlivyo mahututi?

Mwisho hakuna asiye na bei kama, na ninyi ni mabingwa wa kununua watu na haki zao, iwapo mnamtaka Dr. Slaa akinusuru chama chenu na mnajua ni mchumia tumbo mpeni ngawira ya kutosha mjithibitishie kuwa ninyi na hao wengine wapuuzi
 
Chiya Chibi....................hadhi ya Dr. Slaa imeteremka sana...........he is a very cheap politician, anatoka wapi na punguani Nape?

Changamoto hapa ni kama kweli Slaa alitoa kauli hiyo au magazeti yetu ya udaku na ya kccm yalimlisha maneno. Kabla hatujahitimisha, hiyo ndo hofu yangu kwa sababu sijamsikia ktk redio au TV live.
 
Changamoto hapa ni kama kweli Slaa alitoa kauli hiyo au magazeti yetu ya udaku na ya kccm yalimlisha maneno. Kabla hatujahitimisha, hiyo ndo hofu yangu kwa sababu sijamsikia ktk redio au TV live.

[MENTION]Mikael P Awenda[/MENTION] video yake itabandikwa na baada ya hapo utakiri kuwa punguani nape kamwingiza mkenge?
 
Dr Slaa sasa kadi ya CCM unakaa nayo ya nini wakati wewe upo Chadema. Mbona wale wanarudisha kadi kwenye mikutano yako uambii wakae nazo kama kumbukumbu.
ningeshangaa kama nawe ungekaa kimya kwenye hii mada mkuu!
 
mbona mkuu wewe unalazimisha watu waamini unayoamini... Unaweza kutupa ushahidi hapa wa slaa kutokulipia kadi yake? Au wewe ndio unamtunzia?hoja hapa ni kwamba slaa ana kadi ya ccm hayo mengine hayana umuhimu kwa sasa

Na kwa jinsi CCM walivyo wakora; wanaweza hata kutengeneza risiti kuwa Dr Slaa bado ni mwanachama hai wa CCM!
Nashangaa jinsi CCM wanavyomshupalia na kumuogopa Dk Slaa, kana kwamba ndio mpinzani pekee na yeye ndie CDM na CDM ni Dk Slaa.
 
Chiya Chibi....................hadhi ya Dr. Slaa imeteremka sana...........he is a very cheap politician, anatoka wapi na punguani Nape?

A liar, hadhi iliyopungua ni ya JK, tena kwa mujibu wa matokeo ya utafiti yaliyotolewa hivi karibuni.
 
Last edited by a moderator:
Kukaa na kadi kunaathiri nn hata kama ANAILIPIA?. KUMBE WEWE NI MBUMBUMBU HUJUI KURUDISHA NI HIARI?
 
Kumbe wanammaindi sana Dr!! Wanaona ni sifa kubwa ya kuringia kuwa Dr Slaa ana kadi yao, Duhh!!
 
FJM PM me for some beer/wine or soda money.....lets rise above all this petty talk guys
 
Last edited by a moderator:
Soma Katiba ya CCM toleo la mwaka 2010. Ibara ya 13. kufungu (1). Inahusu WANACHAMA NA VIONGOZI.

Uanachama utakwisha kwa:
(a) Kufariki.
(b) Kujiuzulu mwenyewe.
(c) Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.
(d) Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.
(e) Kutotimiza masharti ya uanachama.
(f) Kujiunga na Chama kingine chochote cha siasa.
(2) Mwanachama ambaye uanachama wake unakwisha kwa sababu yoyote ile hatarudishiwa kiingilio alichokitoa, ada aliyotoa wala michango yoyote
aliyoitoa.

Dr Slaa alijiunga na chama kingine cha siasa zaidi ya miaka 15 iliyopita (Nape alikuwa hajamaliza hata darasa la saba), amekuwa mbunge - wa kuchaguliwa- kupitia chama kingine cha siasa (CHADEMA) wa miongo kadhaa. Leo hii Nape & co wanauliza kadi yake ya CCM?


1. Nape na wenzake wanaijua vema katiba ya CCM? wanaelewa masharti ya uanachama?

2. Ni kifungu gani cha katiba ya CCM kinachosema kuwa ili uanachama wa CCM ukome sharti mhusika arudishe kadi?

3. Kwa zaidi ya 15 ambaye Dr Slaa amekuwa mwanachama wa chama kingine cha siasa, CCM walikuwa wapi? Why now?

You don't need to think very hard kujua kuwa CCM wanamhofia Dr Slaa. Wanajua anakubalika kwa wananchi na sasa wanachofanya ni kujaribua kumshambulia yeye (Dr Slaa) binafsi.

CCM wanafanya kosa sana kujikita kwenye hizi siasa za maji taka. Wanatakiwa wawaambie wananchi kwa nini elimu imeshuka, kwanini watu hawana maji, kwanini umeme bado ni kitendawili, kwanini hakuna dawa hospitalini, kwanini deni la taifa linaongezeka huku umaskini unamaliza watanzania? Wanatakiwa waeleze utekelezaji wa Ilani yao ya uchaguzi. Ilani yao inasema nini, na wamefanya nini?

Kuendelea kuimba Dr Slaa kila siku ni kielelezo tosha cha kufilisika hoja. Watu wamekosa majibu kwa maswali ya msingi na sasa wanakwepa kwa kuleta siasa za maji taka. Ni madharau kwa wapiga kura.


THREAD CLOSED!!!!!!
 
Tatizo la siasa uchwara! huyu nape bado sana. Anakidharirisha chama na atakipigiza kwenye mtaro muda si mrefu
 
Kwani ukibaki na kadi na ukafutwa kwenye list ya wananchama bado unahesabika kama mwanachama kwa kuwa una kadi bado?
 
Back
Top Bottom