Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

Kirumo usidanganye umma hapa
TCRA ni licence provider
TTCL ni access/network provider kwenye facility yao to mean telecommunication network.
kwa Tanzania na duniani kwa ujumla huwa vyombo vya habari na mawasiliano wanashea network ambayo
mara nyingi inakuwa owned na state hapa namaanisha TTCL kwa Tanzania.Its not easy kwa kila kampuni kujenga
network yao sheria za ushindani haziko hivo.

Sidhani kuwa kuna ukweli kwani TTCL hawahusiki kabisa na hilo! Wanaohusika ni TCRA! Kama CDM wameingia mkataba na TTCL wametapeliwa!!
 
swali siyo kuwa nayo; swali ni je wasikilizaji/watazamaji wataunga mkono wadhamini na kuwa tayari kulipia gharama ya kuendesha? Maana kama mashirika makubwa yatajikuta hayawezi kutangaza biashara zao humo media ya aina hiyo inaweza kujikuta inakufa kifo cha kutegewa.
 
Kwa hili ni sawa lakini sijui wamejipanga vipi na ukiritimba wa serikali ya CCM dhidi ya kufungia vyombo vya habari vinavyojaribu kutoa na kuandika habari za ukweli na uwazi? Bado kazi ipo inabidi wajipange kisawasawa wasijekaa hewani kwa sekunde.
 
swali siyo kuwa nayo; swali ni je wasikilizaji/watazamaji wataunga mkono wadhamini na kuwa tayari kulipia gharama ya kuendesha? Maana kama mashirika makubwa yatajikuta hayawezi kutangaza biashara zao humo media ya aina hiyo inaweza kujikuta inakufa kifo cha kutegewa.
Mkuu hapo kwenye red huitwa boiling strategy. Serikali inaweza kweli kufanya mchezo wa namna hiyo?? Sidhani....
 
Tunawatakia kila la heri cdm, tunataka usawa katika demokrasia tanzania kama ccm wana redio uhuru, nao cdm wawe nayo ya kwao ili watanzania waamue siku ya mwisho nani wa kumpa uongozi wa taifa letu! Ila katika hili watimize wasilete danadana kama ccm!
 
sijui walikuwa wapi muda wote huu

Nadhani si hekima kuuliza walikuwa wapi, kwani suala zima la kuanzisha chombo cha habari, ni suala linalohitaji fedha nyingi! Naamini ukata wa fedha katika vyama vya siasa unaeleweka, hapa cha kupongeza pengine ni M4C campaign!
 
Kama ni propaganda hawa ndio wakongwe...TBC, Habarileo, Uhuru n.k mbona hukutoa angalizo?
kwani vyombo ulivyovitaja hapo juu vimefanya nini?au ndo kale kautaratibu ka kupinga serikali na vyombo vyake bila sababu za msingi na kutaka kuwaaminisha watu wasiojielewa kwamba serikali ni chombo cha kuwanyonya na kuwakandamiza?
 
Tunawatakia kila la heri cdm, tunataka usawa katika demokrasia tanzania kama ccm wana redio uhuru, nao cdm wawe nayo ya kwao ili watanzania waamue siku ya mwisho nani wa kumpa uongozi wa taifa letu! Ila katika hili watimize wasilete danadana kama ccm!
ccm wameleta danadana gani?
 
Kwa hili ni sawa lakini sijui wamejipanga vipi na ukiritimba wa serikali ya CCM dhidi ya kufungia vyombo vya habari vinavyojaribu kutoa na kuandika habari za ukweli na uwazi? Bado kazi ipo inabidi wajipange kisawasawa wasijekaa hewani kwa sekunde.
hivi kumbe vinavyofungiwa ni vile vinavyoandika habari za ukweli ee! kama lile gazeti lililoandika "waziri anaswa akiwanga" Au lile lililoandika "Njama za kumpindua kikwete zagundulika;mpango kuongozwa na ridhiwani". hakika yeyote atakayekuwa anatoa taarifa za kipuuzi kama hizi serikali isipomfungia itakuwa imefanya dhambi kubwa mno!

 
kwani vyombo ulivyovitaja hapo juu vimefanya nini?au ndo kale kautaratibu ka kupinga serikali na vyombo vyake bila sababu za msingi na kutaka kuwaaminisha watu wasiojielewa kwamba serikali ni chombo cha kuwanyonya na kuwakandamiza?
Mkuu wewe upo dunia ipi?
Ugolo mchafu uliooza umekuwa ukitapikwa sana na hivyo vyombo vya CCM na Serikali.

*Vyombo hivyo vimekuwa mstari wa mbele kutotangaza habari muhimu mbaya kwa CCM na serikali, kutoa Coverage ya juu kwa CCM, kuchakachua habari na kueneza propaganda chafu.

*Infact ninaichukia sana CCM na serikali yake kwa namna ilivyowaharibu watanzania katika kufikiri kupitia media hizo.
 
Mkuu wewe upo dunia ipi?
Ugolo mchafu uliooza umekuwa ukitapikwa sana na hivyo vyombo vya CCM na Serikali.

*Vyombo hivyo vimekuwa mstari wa mbele kutotangaza habari muhimu mbaya kwa CCM na serikali, kutoa Coverage ya juu kwa CCM, kuchakachua habari na kueneza propaganda chafu.

*Infact ninaichukia sana CCM na serikali yake kwa namna ilivyowaharibu watanzania katika kufikiri kupitia media hizo.
ukikichukia kitu hatimae utakuwa ukifanya unfair judgement.hebu toa mfano tukio ambalo TBC walieneza propaganda chafu.
 
Mkuu mbona unajihami sana????!!!,ningetoaje angalizo kama hoja hiyo ilikuwa haijatolewa????!!!

Alikuwa anaamanisha kwa nini hujaziongelea media za vyama vingine ambazo zinafanya kazi mpaka sasa? Hizo za chadema tu ndo zitakuja kuvuruga amani? Ndo hapo ulipoonekana kama una upande unaegemea hata kama labda sivyo ulivyo!
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........

Yale yale mawazo kandamizi kwa mwavuli wa kuwagawa waTZ na kuvunja amani. Acha kukariri bila kufikiri mkuu. Ni mtu anayeona karibu tu ndiyo haoni mgawanyiko ndani ya waTz lakini si mgawanyiko aling the lines hatarishi kama za kikabila kidini au kiukoo bali mgawanyiko along the lines za itikadi sahii za kuiletea nchi maendeleo.

Kunzisha vyombo vingi ni sawa tu na unapokwenda hotelini unaletewa menu yenye vyakula vingi unaamua kipi kinakufaa BASI!!!!. Kwa hiyo waTZ wana akili ya kuamua kusikiliza kipi kuacha kipi na si kweli kwamba wanagawanywa. Mbona CCM ina redio uhuru na haijawagawa WATZ.

Media inawahelimisha waTZ wengi zaidi kuliko hata mikutano na maandamano ambayo serikali ina uwezo wa kuyadhibiti ila kinachorushwa na media ni elimu inayowaingia waTZ ambayo siyo rahisi kudhibitiwa na polisi wala serikali.
 
Sidhani kuwa Gamba ni tatizo,kipendacho roho ni Dawa,naangalia mwelekeo wa siasa namna ulivyo kwa sababu wewe ni mmoja wapo ambaye unashdidia mambo kwa sababu tu eti wewe ni CDM!!!!!!!!!kwa taarifa yako kuna watu ni cdm lakini siku zote wanasimamia ukweli na si ushbiki.


Wabhejasana: Likes Received 40 while those given 101.

Hizo takwimu hapo juu 40:101 zina-represent something, on whether mhusika ni mzuri katika suala zima la kushabikia issues or not.
 
Kirumo usidanganye umma hapa
TCRA ni licence provider
TTCL ni access/network provider kwenye facility yao to mean telecommunication network.
kwa Tanzania na duniani kwa ujumla huwa vyombo vya habari na mawasiliano wanashea network ambayo
mara nyingi inakuwa owned na state hapa namaanisha TTCL kwa Tanzania.Its not easy kwa kila kampuni kujenga
network yao sheria za ushindani haziko hivo.
Sipendi kuendelea kubishania hilo kwa kuwa utaratibu wa nani ni nani na hatua zipi za kufanya ili mtu amiliki radio au tv ni moja ya kazi zangu za kila siku. Nina hakika na ninachosema 100%. Tusubiri tutaona matokeo ya kupata umiliki wa electronic media kupitia TTCL. Hao wanaomiliki hakuna hata mmoja aliyepitia njia hiyo!!
 
Back
Top Bottom