Watanzania walio usingizini utawajua tu..! VIVA CHADEMA, "A Luta Continua"Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
Sidhani kuwa Gamba ni tatizo,kipendacho roho ni Dawa,naangalia mwelekeo wa siasa namna ulivyo kwa sababu wewe ni mmoja wapo ambaye unashdidia mambo kwa sababu tu eti wewe ni CDM!!!!!!!!!kwa taarifa yako kuna watu ni cdm lakini siku zote wanasimamia ukweli na si ushbiki.
Mawazo kama yako ndiyo hatari zaidi. Kwa nini iwe noma kwa CDM au vyama vingine kuwa na media wakati CCM wana uhuru na mzalendo na uhuru radio fm. Kwa maoni yako basi wizara ifikirie upya kuhusu vyombo hivi vya habari vya CCM. Vinginevyo nakuona kamas wale wanaoamini kuwa kila jambo la wapinzani ni vurugu tu, ila kumbuka inaweza tokea siku moja na nyie mkawa wapinzani sijui mtaishije kama dhana kama yako zikiachiwa kuendelea. Hongereni CDM kwa hatua hii maana hata TBC sasa wana miliki CCM.Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
Ohh no, moja ya mawazo ya hasara ni CDM kuwa na redio. Yani CDM kuwa na redio na CDM kuwa na gazeti ni mawazo ya kale sana
Itakuwa kama radio uhuru tu.
ofcourse shirika la posta na simu duniani , kwa hapa tz TTCL na POSTA ndiyo wanaomiliki mawimbi-sumaku umeme (electromagnetic waves)Habari zilizonifikia na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku lease spaces za transmission ya mawimbi yao.
TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease spaces kwa ajili ya transmission.
HONGERENI CHADEMA!
nadhani wengi tulishauri hili liwepo, tupongeze usikivu huu na zaidi target iwe tv; tusaidie jinsi ya kuboresha vipindi
Umeona eehradio has greater access than tv
Sidhani kuwa kuna ukweli kwani TTCL hawahusiki kabisa na hilo! Wanaohusika ni TCRA! Kama CDM wameingia mkataba na TTCL wametapeliwa!!Habari zilizonifikia na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku lease spaces za transmission ya mawimbi yao.
TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease spaces kwa ajili ya transmission.
HONGERENI CHADEMA!
Mkuu wewe mbona uko na Negative thinking tu?Kwa hiyo unamaanisha kwamba CDM wanaanzisha ili kujibu mapigo,au nao kuanzisha propaganda za kijinga hizo unazozisema??!Na unamaanisha kwamba mwanao akikutukana na wewe unamtukana?????!!!!!
Mkuu wewe mbona uko na Negative thinking tu?
Kwa nini uko hivi?
Mkuu acha roho ya korosho.
Hoja hapa ni CHADEMA wako mbioni kuanzisha Media zao, kwa malengo mazuri kabisa, badala ya kupongeza na kutoa ushauri bora, wewe unatoa maoni ya vyombo hivi kufungiwa!!
Ndugu yangu acha roho mbaya.