Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

Wakuu hapa jf,habari zenu na heri ya sikukuu ya christmas. Kama mjuavyo Chadema ni chama kikuu cha upinzani katika taifa letu,ccm kwa kulitambua hilo wameanza kuhodhi media mbali zilizopo nchini kama Tbc,star Tv na hata Itv. Pia ccm wameanzisha vipindi vya kuonyesha utekelezaji wa ilani ya chama chao kupitia Tv na redio. Na kuna taarifa zisizo rasmi za kuhujumu CHADEMA kwa kuinyima muda wa hewani(airtime) kwenye vyombo vya habari kama tv na hata redio. Vilevile kwa mfano inaaminika kwamba mmiliki wa star Tv, ndugu Diallo ametoa marufuku kwa Tv hiyo kurusha habari yeyote inayohusu mbunge wa Illemela ndugu Kiwia ya kimaendeleo. Hapa jf wadau wengi wapenda mabadiliko katika taifa letu wameishauri Chadema kuanzisha media mbalimbali kama redio,TV na hata gazeti. Na wadau wapo tayari kuchangia. Lakini kuna kigugumizi ndani ya cdm. Je wadau kweli cdm wana nia ya dhati ya kuharakisha ukombozi? Na nini kinasababisha kigugumizi hicho? Karibuni wadau!
 
Mi naona iko poa sna, coz itaongeza kipato kwa watakao pata nafas za kaz, go go go Cdm..
 
Habari zilizonifikia na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku lease spaces za transmission ya mawimbi yao.

TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease spaces kwa ajili ya transmission.

HONGERENI CHADEMA!

UPDATES
Ukweli halisi wa habari hii baada ya kufuatilia kwa kina ni kuwa Bwana Mbowe kupitia kwa Mke wake Bi Lilian Mtei ndio wanaoanzisha redio yao na kwamba media yao itaitwa Kilimanjaro Media Group. Michakato ya kwenda TCRA na TTCL imeshafanyika tayari.


Ni Redio ya CDM ama ya Mbowe kama ni ya CDM nawapongeza pia kama ya Mbowe nampongeza vilevile ila nitamlaumu kama kiongozi wa CDM atashindwa kupeleka wazo la kuanzisha radio ya chama napo ndio tunakuja kwenye mjadala wa kutenganisha biashara na siasa
 
habari njema,haraka tuitishe arambee kuchangia hilo,watu wa Arusha tuwe wa kwanza kuonyesha njia.
 
UPDATES Ukweli halisi wa habari hii baada ya
kufuatilia kwa kina ni kuwa Bwana Mbowe
kupitia kwa Mke wake Bi Lilian Mtei ndio
wanaoanzisha redio yao na kwamba media
yao itaitwa Kilimanjaro Media Group.
Michakato ya kwenda TCRA na TTCL imeshafanyika tayari.
 
Litakuwa jambo jema kama tutapata media yetu, mungu ibariki cdm mungu ibariki tanzania!
 
Habari zilizonifikia na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku lease spaces za transmission ya mawimbi yao.

TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease spaces kwa ajili ya transmission.

HONGERENI CHADEMA!

UPDATES
Ukweli halisi wa habari hii baada ya kufuatilia kwa kina ni kuwa Bwana Mbowe kupitia kwa Mke wake Bi Lilian Mtei ndio wanaoanzisha redio yao na kwamba media yao itaitwa Kilimanjaro Media Group. Michakato ya kwenda TCRA na TTCL imeshafanyika tayari.




Imekuaje tena Hii Radio itaanzishwa lini
 
It is a good move. Hata hivyo kwa Chama kikubwa kama hiki ingekuwa busara zaidi waanzishe TV hata kabla ya Radio.Naamini kusikiliza na wakati huohuo unaona kunaleta impact kubwa katika kuelewa na kuamini kuliko kusikiliza Radio tu. Hata hivyo nawapongeza hata kwa hilo la uanzishwaji wa Radio.
 
It is a good move. Hata hivyo kwa Chama kikubwa kama hiki ingekuwa busara zaidi waanzishe TV hata kabla ya Radio.Naamini kusikiliza na wakati huohuo unaona kunaleta impact kubwa katika kuelewa na kuamini kuliko kusikiliza Radio tu. Hata hivyo nawapongeza hata kwa hilo la uanzishwaji wa Radio.

Lakini mkuu kumbuka tv's zinaonekana mijini tu palipo na umeme,lakini radio zinasikika hata vijijini intiria kabisa wengine hata kwa kutumia simu zao za mchina wanaweza sikiliza.mi nadhani radio itakuwa bora zaidi kuanza nayo.CDM 4VER.
 
mwaka umeisha hamna cha chombo cha habari,ruzuku yote inaenda wapi?
 
VIVA CHADEMA. Nasubiri kwa hamu sana.

Uwozo mtupu, mnachoogopa ni Zitto kupata umaarufu katika vyombo vya habari. Sasa kwa vyombo vya habari vilivyopo CHADEMA hapatoshi.

Jina la TV: CHAGA TV

Radio: Machame fm

Gazeti: Moshi Leo.

Kila la heri Wachaga.
 
UPDATES
Ukweli halisi wa habari hii baada ya kufuatilia kwa kina ni kuwa Bwana Mbowe kupitia kwa Mke wake Bi Lilian Mtei ndio wanaoanzisha redio yao na kwamba media yao itaitwa Kilimanjaro Media Group. Michakato ya kwenda TCRA na TTCL imeshafanyika tayari.




Sijaelewa Radio itakuwa ya chama au kampuni ya Bi Lilian Mtei?
 
- Si walikuwa na Media tayari haitoshi? Mwananchi, MWanahalisi, Tanzania Daima yote hayo haijatosha?

Le Mutuz!!

Le Mutuzi Bwana!! tangu lini Uhuru ikaandika mema ya CDM.Nakushangaa kusema Mwananchi na mengine uliyotaja ni media za CDM wakati wanaitangaza vema CCM.Uoe mke wa tano ili akushauri vema hao wanne ulionao watakufanya upate kiarusi.
 
Habari zilizonifikia na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku lease spaces za transmission ya mawimbi yao.

TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease spaces kwa ajili ya transmission.

HONGERENI CHADEMA!

UPDATES
Ukweli halisi wa habari hii baada ya kufuatilia kwa kina ni kuwa Bwana Mbowe kupitia kwa Mke wake Bi Lilian Mtei ndio wanaoanzisha redio yao na kwamba media yao itaitwa Kilimanjaro Media Group. Michakato ya kwenda TCRA na TTCL imeshafanyika tayari.




Kwani Freemedia inayomiliki Tanzania daima ni ya nani?
 
Back
Top Bottom