Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

CHADEMA,nice step.Tuko nyuma yenu kwa hali na mali.Acha CCM watape tape,sisi tusonge mbele.
 
Good newz itaanza lini kuwa hewani mkuu KABWELA
 
CHADEMA,nice step.Tuko nyuma yenu kwa hali na mali.Acha CCM watape tape,sisi tusonge mbele.
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
usiongee kama limbukeni! kwani si kuna sheria zinazosimamia vyombo vya habari? wewe unafikiri ni kutangaza kiholela??
 
Chanzo tafadhali.
Otherwise ni jambo jema
Tumekuwa tukilisubiri kwa hamu
 
Mkuu mbona unajihami sana????!!!,ningetoaje angalizo kama hoja hiyo ilikuwa haijatolewa????!!!

vyombo vya serikali (TBCcm)+ redio uhuru, vyote ni against chadema. Kuna chombo cha serikali 2010 kilisema, 'katu Dr. Slaa hawezi kuwa rais' kabla ya uchaguzi
 
Nadhani lugha za akina Kova, 'kitu chenye ncha kali' zitaisha
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
Kama ni propaganda hawa ndio wakongwe...TBC, Habarileo, Uhuru n.k mbona hukutoa angalizo?
 
Tbccm imevunja amani mara ngapi!!!

Hiyo TBCCM unaijua wewe na hapa ndipo inapofika mahali napata mashaka na wewe pamoja na kundi lako kwa sababu ni wajinga sana wa kupika maneno,hapo tayari umeshatengeneza neno na wajingawajinga kama wewe wataliona na kuamini!shauri yako.


Hiyo unaijua wewe!!!!!

Mbona redio uhuru ipo na ujasema kama itavunja amani, tumia kichwa chako vizuri kufikiri yasije yakakukuta ya wabunge wa dar na meya wa jiji

Tatizo inaonekana hujanielewa,ninachomaanisha hapa ni kwamba kama wanaanzisha kwa ajili ya kazi yake halisi sawa,wala hata sina mashaka na hakuna ninachiogopa,lakini kama wanaanzisha kwa sababu tu CCM ina vyombo vyake hapo ndipo mashaka yangu yanakuja,tatizo lako akili yako ya kufikiri ina ukungu ndio maana unawaza juujuu.Think Possitive.

Magamba juzi walisema wako mbioni kuanzisha na TV station yao mkakaa kimya, kwa Chadema iwe nongwa. Tunataka wananchi wengi zaidi wajue uovu wa serikali ya magamba, lazima watanzania ujinga unaotumiwa na magamba kupata kura uwatoke kupitia Chadema media.

Sijui kama walisema hivyo kwa sababu kwa sababu masikio yangu hayakusikia,wala macho yangu hayakuona,na kwa bahati mbaya sikuiona humu,lakini yote kwa yote hata wao kama wanataka kuanzisha kwa ajenda tofauti na maudhui halisi,nao ni tatizo na inaweza kuwa janga la kitaifa kwa sababu ninachokiona ni kwamba kila mmoja baada ya kuonekana kushindwa katika kushawishi kwa njia ya Demokrasia asa wnatka kutumia njia ya ubakaji katika siasa!!!!!!,yangu macho lakini kile ninachokihisi kinaweza kuja tokea hapo baadaye na comment zangu hizi zikkumbukwa.Let us wait the time will tell.

kwa hiyo UKWELI ni mafisadi Kuwa na media na si wapinzani?,city redio its ok, TBCCM its ok,iki anza ya chadema ndo shaka na amani inakushuka....,shutuma zingine mwajitakia.SIKU ZOTE MUOGOPA MWAGA HUPENDA GIZA,NA WASWAHILI * HUSEMA MDUDU MBAYA HUPENDA GIZA,unaona sasa unako kwenda....! kuwa makini kijana

Hayo ni mawazo yako mkuu mimi huko siko nilikuwa napita tu.

waachwe waanzishe tu.ndo damocrasia.cha msingi tu watangaza ki staarabu kama redio Uhuru.

Hilo nalo neno Mkuu!!!!!!!
 
Ni taarifa nzuri weekend hii,lakini radio ya CHADEMA iwe tofauti na radio uhuru kwa kuzingatia weledi wa utangazaji na uandishi wa habari
 
vyombo vya serikali (TBCcm)+ redio uhuru, vyote ni against chadema. Kuna chombo cha serikali 2010 kilisema, 'katu Dr. Slaa hawezi kuwa rais' kabla ya uchaguzi

Kwa hiyo unamaanisha kwamba CDM wanaanzisha ili kujibu mapigo,au nao kuanzisha propaganda za kijinga hizo unazozisema??!Na unamaanisha kwamba mwanao akikutukana na wewe unamtukana?????!!!!!
 
Chanzo tafadhali.
Otherwise ni jambo jema
Tumekuwa tukilisubiri kwa hamu

Kwamba wameingia mkataba na TTCL ku lease space kwa ajili ya redio hilo nakuhakikishia 100%. Vinginevyo ungemwona Makene kashakanusha
 
usiongee kama limbukeni! kwani si kuna sheria zinazosimamia vyombo vya habari? wewe unafikiri ni kutangaza kiholela??

Seikali ya kichwa chako ndo kimekutuma hivyo mimi siko huko!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Kama wakiitisha mkutano, au wakiandamana mnawaua kwa kutumia polisi, huoni kama kuwa na chombo cha habari ndiyo njia pekee ya kuwawezesha kufikisha ujumbe wao kwa jamii ambayo imeshindikana kuifikia kwa mikutano? Kwenye nchi za wenzetu unakuta wana redio zaidi ya 200 na hakuna huo uvunjifu wa amani, itakuwa hizi redio za vyama ambavyo havifiki hata hamsini? Kikubwa hapa ni vyombo hivyo kufuata sheria za nchi zinazohusiana na mambo ya utangazaji ili kwa namna yoyote wasichochee vurugu. Kama kuwa na vyombo vya habari ni hatari basi redio uhuru ingeshakuwa ilihatarisha amani siku nyingi sana.

AHSANTE MKUU KWA USHAURI ACHANA NA WALE WANAODHANI KILA KITU NI KUSHABIKIA.Big up!!!!!!!!!!!!
 
...na mimi nitakuwa ripota wao, nitaripoti bure, na sasa hasira zetu hazitaishia vijiweni,zitapaa angani na kumfikia mkoloni CCM moja kwa moja, pamoko CDM, get ready to amplify hasira zangu
 
i guess híi radio itapendwa na kusikilizwa na mamilioni ya watu, inabidi uwahi kuamka saa kumi usiku ku itune ili upate frequency, vinginevyo utaambiwa radio station is busy so keep retuning until overload is reduced....ha haaa nawatakia maandalizi mema ya christmass all jf members.

Kama tunavyopata shida kumshika mkono Dr.Slaa mkono anapokuja mavijijini
 
Back
Top Bottom