dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,425
Mkuu wewe mbona uko na Negative thinking tu?
Kwa nini uko hivi?
Mkuu acha roho ya korosho.
Hoja hapa ni CHADEMA wako mbioni kuanzisha Media zao, kwa malengo mazuri kabisa, badala ya kupongeza na kutoa ushauri bora, wewe unatoa maoni ya vyombo hivi kufungiwa!!
Ndugu yangu acha roho mbaya.
Mkuu mbona "unabembeleza"? Gamba hukemewa kwa nguvu zote wala halibembelezwi. Acha ku-negotiate na gamba ndugu yangu; umaskini ulio nao ni matokeo ya magamba; wazee wetu wanaoteseka vijijini na mijini ni matokeo ya sera zao; wana na mabinti zetu wasio na mbele wala nyuma ni sera na mfumo wao mbovu. Acha ku-argue na gamba Mkuu.