Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

waachwe waanzishe tu.ndo damocrasia.cha msingi tu watangaza ki staarabu kama redio Uhuru.
Nani kakwambia redio Uhuru ni wastaraabu, ikishafika kwenye kutangaza mambo ya siasa huwa wanatapika ugolo mchafu sana.
I hate radio Uhuru.
 
Anza kutoa pendekezo lako hapa
Mkuu ningependekeza iitwe
1/CHADEMA Radio
2/UKOMBOZI Radio
3/MAGEUZI Radio
4/DEMOKRASIA Radio
5/MAENDELEO Radio
6/MTANZANIA Radio
7/TAIFA Radio
8/HARAKATI Radio
9/MABADILIKO Radio
10/HOJA Radio
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
Mbona hujawahi kuyaoongea hayo wakati radio Uhuru na tawi lake la TBC, kwa miaka ypte hii vilipokuwa vikitangaza propaganda mbaya kabisa hata kwa kutaka kuliangamiza Taifa! lakini wao wakidhani ndiyo mbinu sahihi ya kuimaliza Chadema!Sasa CDN wanataka kuanzisha media, magamba mnaanza kuweweseka! Kwa hiyo kama CDM wameamua kuanzisha media zake, it is a big step to victory, in year 2015, Bravo Chadema!
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........

Mbona hujawahi kulalamika kwa CCM kumilik radio Uhuru na TBC1 kwa mlango wa nyuma????
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
naona unazungumzia uzoefu wa radio uhuru.
 
Mkuu ningependekeza iitwe
1/CHADEMA Radio
2/UKOMBOZI Radio
3/MAGEUZI Radio
4/DEMOKRASIA Radio
5/MAENDELEO Radio
6/MTANZANIA Radio
7/TAIFA Radio
8/HARAKATI Radio
9/MABADILIKO Radio
10/HOJA Radio

Napendekeza iitwe Demokrasia Radio.
 
Kama ni kweli jambo jema, ila wasiwasi wangu je serikali ya magamba itatoa kibali?
 
tunahiitaji sana kama maji yanavyohitajika kwa ajiri ya uhai wa mtu.
 
Nani kakwambia redio Uhuru ni wastaraabu, ikishafika kwenye kutangaza mambo ya siasa huwa wanatapika ugolo mchafu sana.
I hate radio Uhuru.
redio uhuru sanasana wanaisifia ccm na kuachia magoma.hawana ga uchochezi
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
Kama wakiitisha mkutano, au wakiandamana mnawaua kwa kutumia polisi, huoni kama kuwa na chombo cha habari ndiyo njia pekee ya kuwawezesha kufikisha ujumbe wao kwa jamii ambayo imeshindikana kuifikia kwa mikutano? Kwenye nchi za wenzetu unakuta wana redio zaidi ya 200 na hakuna huo uvunjifu wa amani, itakuwa hizi redio za vyama ambavyo havifiki hata hamsini? Kikubwa hapa ni vyombo hivyo kufuata sheria za nchi zinazohusiana na mambo ya utangazaji ili kwa namna yoyote wasichochee vurugu. Kama kuwa na vyombo vya habari ni hatari basi redio uhuru ingeshakuwa ilihatarisha amani siku nyingi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom