Hatimaye CHADEMA kuanzisha media zake

Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........

Tbccm imevunja amani mara ngapi!!!
 
Ni vema tena ni haki kwa CHADEMA kuwa na vyombo vya habari kama redio, tv na magazeti. Lengo sio biashara bali siasa na mustakabali wa nchi hii kwa sasa na miaka ijayo.
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........

Mbona redio uhuru ipo na ujasema kama itavunja amani, tumia kichwa chako vizuri kufikiri yasije yakakukuta ya wabunge wa dar na meya wa jiji
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
Magamba juzi walisema wako mbioni kuanzisha na TV station yao mkakaa kimya, kwa Chadema iwe nongwa. Tunataka wananchi wengi zaidi wajue uovu wa serikali ya magamba, lazima watanzania ujinga unaotumiwa na magamba kupata kura uwatoke kupitia Chadema media.
 
Sidhani kuwa Gamba ni tatizo,kipendacho roho ni Dawa,naangalia mwelekeo wa siasa namna ulivyo kwa sababu wewe ni mmoja wapo ambaye unashdidia mambo kwa sababu tu eti wewe ni CDM!!!!!!!!!kwa taarifa yako kuna watu ni cdm lakini siku zote wanasimamia ukweli na si ushbiki.


kwa hiyo UKWELI ni mafisadi Kuwa na media na si wapinzani?,city redio its ok, TBCCM its ok,iki anza ya chadema ndo shaka na amani inakushuka....,shutuma zingine mwajitakia.SIKU ZOTE MUOGOPA MWAGA HUPENDA GIZA,NA WASWAHILI * HUSEMA MDUDU MBAYA HUPENDA GIZA,unaona sasa unako kwenda....! kuwa makini kijana
 
Habari zilizonifikia
na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya
habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na
Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku
lease spaces za transmission ya mawimbi yao.

TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo
Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease
spaces kwa ajili ya transmission.

HONGERENI CHADEMA!

i guess híi radio itapendwa na kusikilizwa na mamilioni ya watu, inabidi uwahi kuamka saa kumi usiku ku itune ili upate frequency, vinginevyo utaambiwa radio station is busy so keep retuning until overload is reduced....ha haaa nawatakia maandalizi mema ya christmass all jf members.
 
Na kwa kuonyesha uzalendo ningewashauri vituo vya redio na tv vya chadema viitwe kwa majina ya kiswahili kuonyesha tunadhamini kiswahili chetu.

Mpaka kituo cha taifa kinaitwa kwa majina ya kigeni kwani sisis ni waingereza?
 
Hongereni sana CHADEMA..., hii ni habari njema kwa wote wapenda maendeleo ya nchi hii
 
Habari zilizonifikia na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku lease spaces za transmission ya mawimbi yao.

TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease spaces kwa ajili ya transmission.

HONGERENI CHADEMA!

Siku zote hicho ndicho kimekuwa kilio chetu. Big up CDM.
 
Na kwa kuonyesha uzalendo ningewashauri vituo vya redio na tv vya chadema viitwe kwa majina ya kiswahili kuonyesha tunadhamini kiswahili chetu.

Mpaka kituo cha taifa kinaitwa kwa majina ya kigeni kwani sisis ni waingereza?

Anza kutoa pendekezo lako hapa
 
Sijui itakuwaje kwa sababu ninachokiona kama kila chama kitaanzisha chombo chake cha habri maana yake ni kwamba propaganda zitakuwa ni za kuwamga badala ya ukweli halisi,hapa lazima kuna kuhamasishana kuvunja amani.Wizara ya habari angalieni hili vinginevyo>>>>>>>>>>>>..........
waachwe waanzishe tu.ndo damocrasia.cha msingi tu watangaza ki staarabu kama redio Uhuru.
 
Twanga kotekote, mpaka magamba wakimbie hii nchi.
Tungependa 2013 ikifika tu, hiyo redio iwe hewani.

VIVA CHADEMA
 
Habari zilizonifikia na za kuaminika ni kuwa Mchakato wa Cdm kuanzisha vyombo vyake vya habari uko kwenye hatua nzuri.
Vyombo hivyo vitakavyojulikana kama Chadema media kwa kuanza wataanza na Radio na tayari CDM wameshasainishana mkataba na kampuni ya TTCL ili ku lease spaces za transmission ya mawimbi yao.

TTCL ndio kampuni pekee tanzania yenye facility za nsmna hiyo ambapo Radio karibu zote nchini za serikali, vyama na watu binafsi hu lease spaces kwa ajili ya transmission.

HONGERENI CHADEMA!

Natumai CCM watawawekea "KAUZIBE"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom