Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Ndo kashaolewa sasa huyo !! na ukizingua huyo dada anakutwanga !! maana boss kashamwambia kuna kidada kazini kinamtaka kwa nguvu 🤣🤣
Wanaume wakifika level ya kuoa huwa wanatafuta mke atakayempa amani ya moyo !! hatukatai una tako , na sura nzuri na huenda ni fundi ila sasa wewe ni muelewa, unasikiliza ! au kiburi na majivuno ? ndoa ni zaidi ya uzuri
 
Ndo kashaolewa sasa huyo !! na ukizingua huyo dada anakutwanga !! maana boss kashamwambia kuna kidada kazini kinamtaka kwa nguvu 🤣🤣
Wanaume wakifika level ya kuoa huwa wanatafuta mke atakayempa amani ya moyo !! hatukatai una tako , na sura nzuri na huenda ni fundi ila sasa wewe ni muelewa, unasikiliza ! au kiburi na majivuno ? ndoa ni zaidi ya uzuri
Ndiyo ukweli
 
Uzuri wetu sisi bhana,tunajua madhaifu ya mwanamke,Ila tunafanya maamuzi kimyakimya bila hata kumjulisha na ikiwezekana anabaki mchepuko tu,kuoa tunaoa wengine wenye madhaifu yanayovumilika.
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Mungu asaidie kuwa hukuwa na shobo na nyodo kwa co workers wengine kwa sababu ya penzi la Boss!!
 
Cheka , furahia Ona kama masihara lakini I’m a Mungu yasikukute
Anyway matatizo huwa yanazungukaga
Ww jifanye kujiona mwerevu hapa duniani
haha dua la kuku uwa halimpati mwewe.

Usisahau tokea mwanzo ulianza kuleta story huku, unadhani tumesahau?? Mtu ashakwambia ana mtu wake, bado ukamng’ang’ania. Leo useme kakupotezea muda? Unaumwa wewe
 
Uzuri wetu sisi bhana,tunajua madhaifu ya mwanamke,Ila tunafanya maamuzi kimyakimya bila hata kumjulisha na ikiwezekana anabaki mchepuko tu,kuoa tunaoa wengine wenye madhaifu yanayovumilika.

Mbn kwenye hizo ndoa hamtuliagi Sasa Bado mnahangaika
Nini shida yenu ????
Kama sio nyie wakala wa LUCIFER na Bado
Izo dude zenu zitawapeleka motoni kilazima
 
haha dua la kuku uwa halimpati mwewe.

Usisahau tokea mwanzo ulianza kuleta story huku, unadhani tumesahau?? Mtu ashakwambia ana mtu wake, bado ukamng’ang’ania. Leo useme kakupotezea muda? Unaumwa wewe

Sawa dada mwerevu jamii forum
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom