Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Kubabeki..
 
Mpe ushauri mwenzio sio kila Siku kunisagia kunguni mm
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tena wewe nilipofikia ni pa kukutandika vibao, haki vile.

Kunguni nishasaga sana, naona sifanikiwi kukuzindua akili!
Ila nimechekaaa, kumbe vinakuingiaga vichambo enh?
Ila hii ya mwisho hakiii imeniuma kiukweli!!
Usipeleke dogo kule Tena bana, yule ujue ni kichaa?
We haya
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Lengo lakuwa na mahusiano na boss wako lilikuwa nn?, uheshimike kazin au upate mseleleko? Kama malengo yalikuwa ni hayo basi angalia kama yametimia au laa

Tatizo wanawake wengi wanajirahisisha saana makazin kutokana na uvivu wao na kutaka makubwa,

Anyway vumilia na jifunze kupitia hayo, tafadhali usijaribu kuwaza kuharibu ndoa ya mtu.. tulia uanze upya

Usirudie kosa tafadhali,
 
Lengo lakuwa na mahusiano na boss wako lilikuwa nn?, uheshimike kazin au upate mseleleko? Kama malengo yalikuwa ni hayo basi angalia kama yametimia au laa

Tatizo wanawake wengi wanajirahisisha saana makazin kutokana na uvivu wao na kutaka makubwa,

Anyway vumilia na jifunze kupitia hayo, tafadhali usijaribu kuwaza kuharibu ndoa ya mtu.. tulia uanze upya

Usirudie kosa tafadhali,

I loved him foreal
 
Sawa ila punguza jazba huyo hata kama angekuoa huenda ndoa ingevunjika tu pengine wewe au yeye kaepushwa na jambo ambalo lingetokea pindi mngekuwa kwenye maisha ya ndoa kwahiyo kuwa muelewa endelea na maisha Yako , kama kuchezewa hapo mmechezeana na ukisema kakupotezea muda hapana wote mmepotezeana muda , kwani huyo boss kaondoka na mbususu Yako? Wewe punguza hasira, Tunza mbususu Yako na utulie jitunze Wacha papara utaolewa tu na utaenjoy na kusahau yaliyopita , PENGINE hata hapahapa unaweza pata mume kwahiyo hata kauli zako zichunge sana ndo zinakutambulisha kuwa wewe ni WA namna gani
 
Us
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma i
 
Usijali sana ,njoo ujitwalie mimi,ataendelea kukunyandua Kwa kuwa ulijisimplify kwake.jambo la msingi jifunze kujithamini kwanza ,kumfungulia mtu mapaja Huwa hakuleti mahusiano ya ndoa.ndoa na ngono ni mambo mawili tofauti kabisa.Tupo kwenye ndoa yet hatupati hiyo ngono wakati wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom