Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,843
- 7,250
Vp akiwa kama kaka yake?Simkomoi ila atleast Yy Ndio ananicomfort
Na ananipenda
Vp akiwa kama kaka yake?Simkomoi ila atleast Yy Ndio ananicomfort
Na ananipenda
Watakutumia wakuache wote mwisho was siku aibu unapata wewe,Kanipotezea muda
Sasa nimeanzisha mahusiano na mdogo wake mpaka kieleweke
The best revenge ni wewe kutokuwa na mpenzi ama uwe naye ila Kwa Siri sanaKanipotezea muda
Sasa nimeanzisha mahusiano na mdogo wake mpaka kieleweke
Hadi Nini?Nilimpa kila kitu
Lakini kaamua kunifanyia ushenzi
Sasa ataulipa huo ushenzi
Nimeanza mahusiano na mdogo wake
Kubabeki..Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mpe ushauri mwenzio sio kila Siku kunisagia kunguni mm![]()
Aiseeeh kalale mpk na marehemu babake!!Nilimpa kila kitu
Lakini kaamua kunifanyia ushenzi
Sasa ataulipa huo ushenzi
Nimeanza mahusiano na mdogo wake
Bosi amekuzalisha?Nyie wanaume mnavovitombesha ovyo na kuwazalisha wanawake ovyo mnadhani nani victim mkubwa hapo ni mwanamke
Ndio maana maisha yenu Bado mnahangaika tu na Bado mpaka kua lishuke liwafikie utosini
Lengo lakuwa na mahusiano na boss wako lilikuwa nn?, uheshimike kazin au upate mseleleko? Kama malengo yalikuwa ni hayo basi angalia kama yametimia au laaHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
Bosi amekuzalisha?
Aiseeeh kalale mpk na marehemu babake!!
Wewe ni obsessed as f***k
Vp akiwa kama kaka yake?
Lengo lakuwa na mahusiano na boss wako lilikuwa nn?, uheshimike kazin au upate mseleleko? Kama malengo yalikuwa ni hayo basi angalia kama yametimia au laa
Tatizo wanawake wengi wanajirahisisha saana makazin kutokana na uvivu wao na kutaka makubwa,
Anyway vumilia na jifunze kupitia hayo, tafadhali usijaribu kuwaza kuharibu ndoa ya mtu.. tulia uanze upya
Usirudie kosa tafadhali,
Hadi Nini?
Boss hanuniwi
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma i
Aah...punguza kupenda...binadamu hatuna jemaNikimuona kazini natamani nimhug ila najizuia japo kaniudhi kupita maelezo