Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Kumbuka ulivyo mdhalilisha yule dogo uliyekuwa naye ktk nyakati ngumu kisa ulimpata huyo boss kabla ya kumuombea mabaya.
 
Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Kwakuwa wewe ni mhuni basi unaweza kuchora ramani na kuotoa kwa wahuni wenzio ili wamfanyie uhuni mwanamke mwenzio ambaye huenda hata hajui kama mlikuwa mkifyonza kwa kutumia mrija mmoja.
 
Sijaelewa
Mean ulikuw date mate wa boss, bado wew n kporo cha boss tulia kzn
 
Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Unataka mungu ajibu roho yako mbaya ya husuda na chuki dhidi ya huyo boss wako??punguza uchawi mbona wanaume wapo wengi tu ukiachwa achika simple tu
 
Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Kama ni mkristo, mungu wa namna hii hayupo upande wa wakristo labda ujaribu imani nyingine maana tumeambiwa tusamehe 7X70.
Je, maandiko yanasemaje kabla ya kuoana? Ufanye ngono kabla ya ndoa ambayo ni dhambi kisha umuombe Mungu akusikilize.
Mungu wa wakristo siyo wa kulipiza kisasi. Utakuja kuumbuka na kuabika mpaka ushangae.
Kukushari tu, Muombe Mungu akupe uwezo wa kutofanya dhambi ya uasherati na akupe mume wako maana tayari wameshafunga ndoa na andiko linasema ndoa iheshimiwe na watu wote.
 
Unavojibu comments za watu hata mimi ningekua huyo boss nisingekuoa
 
Sawaa Mungu mtu ambaye ambae hata tarehe ya kifo chako hujui na hujui kesho yako
Kazi kuongelea watu ambao huwajui
Kwanini unamuombea mabaya huyo dada pamoja na huyo boss wako?. Maamuzi ya kuoa aliyafanya huyo mwanaume au boss wako?.

Kwanini usiliache lipite, waombee baraka na uzidi kumuomba Mungu akupe yule utayefanana naye?. Kumbuka inawezekana hata huyo dada naye alikuwa akiomba aolewe, na leo majibu yake yametimia.

Samehe endelea na safari. Msamaha ni faida kwako, na sio wale unao wasamehe. Kumbuka anayekosa amani kwa sasa sio huyo dada aliyeolewa au boss wako, bali ni wewe. Wewe ndo unahitaji kusamehe kwa sasa kuliko wakati wowote kwa amani ya moyo wako.
 
Kanipotezea muda
Sasa nimeanzisha mahusiano na mdogo wake mpaka kieleweke
Inaonyesha ni jinsi gani wewe ni mwanamke wa hovyo, una degree ya kutongoza wanaume maana boss ulimuanza wewe aka kwambia anamahusiano, ukajilazimishia kama chaja mbovu, sasa umemuanza mdogo wa boss, una mkomoa boss ambaye yuko na mkewe, anaye chapika ni wewe.
Yata kushinda utajirudisha kwa boss maana unampenda utakuwa mchepuko wa kudumu.
Na mdogo wa boss ataendelea kuku chapa.
Mdogo wa boss hata kuoa, akili zikija kuku rudia una anza kumsumbua Mwamposa aku ombee upate mume, nakusema wanaume wote ni mbuzi ukisahau hata baba yako naye ni mwanaume.
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Aliyeolewa yawezekana alikuwa anaweka viongo kwenye 'kitumbua' chake, halafu hukuwahi kutumia viungo kwenye 'cha kwako.'
Kwani alikuambia angekuoa?
Na kama 'k' ndio ilikuwa kigezo cha good performance, jiandae kuondoka!
Kama ndoa ina changamoto kwa nini unalalama.
Hapo, unaposema 'unajikaza' una maanisha nini hasa?!
Hivi kweli wewe ulikuwa 'huchezei' "kirungu" cha huyo Bwana Harusi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom