Hatimae jamii forum yanipa mke mwenye sifa zote

Hatimae jamii forum yanipa mke mwenye sifa zote

........atakuwa hana kazi ya kufanya kama wewe vile ambaye unaangaika kusafiri kwaajili ya mademu wa mkataba. Halafu kibaya zaidi hujijui kuwa wewe ni mwanaume ambaye umefikia wakati wa kuwa na mtoto au la! hadi ulazimishwe na Bi mkubwa lol!!. Aha ha ha ha! wewe kweli kichekesho

"majorbuyoya" kweli jina lako linaeleza we ni mtu wa aina gan,kweli we ni "major boya" na sitegemei kupata point kutoka kwa boya
 
bangi inavyokukaza unadhani kila mtu anakazwa kama wewe, balehe plus cha arusha lazima ufantasize chezea majani wewe...jasusi, student jason bourne

ukipata mume utatulia tu,najua unahasira kwa kumamaliza mwaka mzima bila kutongozwa,maskin pole sana
 
ukipata mume utatulia tu,najua unahasira kwa kumamaliza mwaka mzima bila kutongozwa,maskin pole sana

hahahaha jasusi pole sana unadhani kila mtu ana ukame kama wewe mpaka unafantasize? Hahahahahaaaaaa pole sana jasone bourne, aka rambo the jasusi hahahahhaaaaaaaaaaaaaaaa daydreams mbaya
 
"majorbuyoya" kweli jina lako linaeleza we ni mtu wa aina gan,kweli we ni "major boya" na sitegemei kupata point kutoka kwa boya
Aha ha ha ha!! kumbe hata kusoma hujui na kila msg utakayoiona lazima ujibu doooh kazi unayo mdogo wetu. Hutaki point kutoka kwangu lakini nia yako umekuja humu ili upate point, umekosea kijana nenda facebook utawapata wehu wenzio kibao kule na hadithi zako za kitoto
 
Aha ha ha ha!! kumbe hata kusoma hujui na kila msg utakayoiona lazima ujibu doooh kazi unayo mdogo wetu. Hutaki point kutoka kwangu lakini nia yako umekuja humu ili upate point, umekosea kijana nenda facebook utawapata wehu wenzio kibao kule na hadithi zako za kitoto

siyo kila aliyeko jf ni great thinker wengine ni vilaza kama wewe

siyo kila kilichoandikwa fb ni ujinga,coz kuna mada na michango ya maana kuliko hapa,mf makundi kama ITV,DW SWAHILI,THE DOCTORS,NK kuna mada na mawazo mazur,tatizo umekarir na kufata mkumbo,jf haina interview ya kusema mtu anatakiwa kuwa na sifa flan ili ajiunge,ndo maana hata mabwege kama wewe wamo,unashangaa nini?
 
your brain is too old 4 this not ur age!! Bora nikue akili kuliko mwili
Pole sana dogo, unategema akili zitakuwa zaidi ya hizo za kushikiwa na Bi. mkubwa?. Inabidi umshukuru sana Bi. mkubwa amekusoma vizuri na kutambua ugumu ulio nao unaweza kusababisha uwe mwehu ndo maana akakushauri utafute kicheche cha kukupunguzia stress. Bora utoke hapa, unaboa mno!
 
Pole sana dogo, unategema akili zitakuwa zaidi ya hizo za kushikiwa na Bi. mkubwa?. Inabidi umshukuru sana Bi. mkubwa amekusoma vizuri na kutambua ugumu ulio nao unaweza kusababisha uwe mwehu ndo maana akakushauri utafute kicheche cha kukupunguzia stress. Bora utoke hapa, unaboa mno!

lazima nikuboe coz mimi siyo mume wako,kuanzia umeanza kuchangia huwa unaandika kejeli upuuz unategemea ujibiwe busara,jipange
 
lazima nikuboe coz mimi siyo mume wako,kuanzia umeanza kuchangia huwa unaandika kejeli upuuz unategemea ujibiwe busara,jipange
Kwani mume ndio hamboi mtu? wee dogo akili zako cjui zikoje, ndo maana tunasema za kushikiwa na Bi.Mkubwa wako.
 
Back
Top Bottom