Ukitunga story uwe unakumbuka tangu mwanzo. So ur'demu umemuacha,mana kuzaa tu mliachana akarudi,right ?na kwa hodi uliyoanzia ni mtoto,coz hauko tayari,ila mama'ko ndo anamtaka isnt? So ameongeza siku za kuishi na anauhakika after ndoa na mtoto ndo atamuona then ndo afe ? Uwiii, LM 'big' A OfF! Hahahahah ..
I love the 'pannel scene'! Ready 4action!
Ushauri Tengeneza Kitabu
Kudos dude.....maana hata celewi bora umenisaidia
hahahaaaaa JIPAAAANGEEEE...after this scene...anzisha thread 'AFTER 1YEAR,My PANNEL SHY VIRGIN GIRL IS EXPECTING TWINS":spy::spy::spy:nimeshakujua wewe ni mtu wa hivi hivi.so haunipi shida kuanzia thread ya kwanza ulikua wa hivihivi,mtu akikuuliza wewe ni nani mwambie wewe ni mtu wa hiv hiv
WALA HUJAKOSEA LAKINI HATUKUSHINIKIZWA na wazazi wetu,wala hatukuoana kwa pressure ya kupata watoto
mwaya tumeshafungishwa ndoa huku na mzee wa kupelekwa kwenye rum ya watu kibao ili amkute mke!ahahahhahahhahahhhhahahhahahahhahahhahah
basi humo ndani ni vituko,maana wote mnatumia vichwa kufugia nywele baada ya kutumia vichwa kufikiri,anyway nani mke kati yenu?
weee jamaa, mara kikazi mara upo shuleni unasoma? mmmhQQ. Lakini Hongera sana kwa kujinyakulia kitu cha mkatabaarusha 2 dom nilitumia usafiri binafsi(cruser) though siyo wangu,the same from dom 2 mwanza,ila nilipata udhuru ya kikaz nikarud arusha so nilitoka arusha kuja Dar kwa usafiri wa basi.
si ulisema we ni mwanafunzi?Au nimekufananishaarusha 2 dom nilitumia usafiri binafsi(cruser) though siyo wangu,the same from dom 2 mwanza,ila nilipata udhuru ya kikaz nikarud arusha so nilitoka arusha kuja Dar kwa usafiri wa basi.
i'm not a movies fan,jesus once said "if i tell you ,you will not understand and if you understand you will not believe"
Madam hapo kwa aircraft investigation kha...unaweza usipande ndege kwa kwel!umeona ile ya Tenarife disaster?ile ya KLM na PanAm I guess!au ile ya Pilot alowaita watoto wake kwa Cabin n then akawaacha wacontrol ndege then...!
unanisemesha kizungu kigumu mno, kwani hata nimekuelewa??
and now you are jesus? And you are speaking in parables? Sikuwezi!