Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Mi lyk it!basi humo ndani ni vituko,maana wote mnatumia vichwa kufugia nywele baada ya kutumia vichwa kufikiri,anyway nani mke kati yenu?
Mi lyk it!basi humo ndani ni vituko,maana wote mnatumia vichwa kufugia nywele baada ya kutumia vichwa kufikiri,anyway nani mke kati yenu?
lazima utakua mwanamke na kama ni mwanaume utakua huna kaz ya kufanya.
hapo kwenye red ndo uliponiacha hoi dogo!
kwikwikwiii,kwa hiyo ni kwamba alipiga canabis afu akaanza kufantasize ikampeleka dom,mara mwanza,arusha then dar,kufungua mlango anakutana na panel imeandaliwaa huh! Lmao!hahahahahahahahahahahahahah
jasusi nakubali mie sina kazi ya kufanya ila wewe una kazi ya kufanya ndo maana unafantasize ujinga,
balehe tu inakusumbua ukikua utaacha.....
Hahahahahhaaaaa halafu uzi zako pumba heri za Natalia....
Hhahahahaahahahahaaa balehe ukichanganya na majani unapata Kidotulotokordwak.....
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaa baleheeeeeeeeeeee majaniiiiiiiiiiiiiii = jasusi the student hahahahahahaaa
kwikwikwiii,kwa hiyo ni kwamba alipiga canabis afu akaanza kufantasize ikampeleka dom,mara mwanza,arusha then dar,kufungua mlango anakutana na panel imeandaliwaa huh! Lmao!
Hongera zako Mkuu, JF ni kila kitu, ila ndugu yangu kwa vile umepewa muda wa kutosha mwaka mmoja kama ulivyo dokeza, nakuomba kama unajipenda na maisha yako mazuri ya baadae, tafadhari mshirikishe Mungu kwa nafasi kubwa ya mipango yako!!!! Nakuomba fanya upate muda mzuri wa maombi, kama hujui au si mshirika wa maombi tafuta mtu atakaye kuongoza katika hilo wako watumishi wengi wazuri ambao sio matapeli wahusishe!!! Kwa vile imekuchukua muda mwingi kufanya reserch naona nia yako ni nzuri tafadhari shirikisha Mungu jambo hilo, Ubarikiwe!!!Kwanza kabisa poleni na majukumu ya kila siku hasa kwa mnaofanya kaz mpaka mwisho wa wiki.
Nianza na thread yenye kichwa "natafuta mwanamke wakunizalia mtoto kwa mkataba"ambapo nilipata e-mail 3 nilizoziona zinafaa na nikazileta kwenu kupitia kicha hiki"ni mkataba upi unafaa kumpata mtoto wa mkataba kutoka kwa wanawake hawa" hapa pia mlinishaur vizuz.Nilianza kuzifanyia kaz e-mail hiz kama ifuatavyo
1.safari yangu ya kwanza ilikua dodoma ambapo kwenyd majira ya saa tano nilionana na mgeni wangu hotelini,alikua ni bint mrembo aliyevalia suti nyeus na miwani ya jua akiambatana na mwanasheria wake,alinipokea vizur na baada ya kupata kifungua kinywa tulianza mazungumzo yetu
Tliongea mambo meng katika mkataba wetu na hata ivyo tulishindwa kukubaliana katika baadh ya mambo kama
-mimi kuacha kaz idara niliyopo
-mimi kuhamia dodoma kwasababu yeye hawez kuhama
-kufunga ndoa baada ya miez 6 kitu ambacho ni kigumu kwangu kwa mda huo na mambo mengind meng ambayo sintoweza kuyaandika yote.
Napenda kutumia fursa hii kukushukuru m**a**a kwa muda wako na ninaheshimu uamuz wako but hatutoweza kuwa pamoja
2.safar yangu ya pili ilikua katika jiji la mwanza (THE ROCK CITY),na mpaka kufikia majira ya saa moja jioni nilikutana na bint huyo mrembo kiumbo kuliko yule wa kwanza,ila kitu kimoja kilinifanya nisimpende kwasababu alikua amevaa ka-bucta kafupi mfano wa boxer tunazovaa wanaume hivyo kufanya sehemu kubwa ya mwili wake kuwa wazi,viatu alivaa high hills,alijipaka lipbam kwenye kope na lips,kucha za bandia mikononi n.k
kiujumla wanawake kama hawa kwangu binafsi huwa hawanivutii kwani na waona wanaonekana kama pepo/jini.(utanisamehe kwa kutumia neno hilo)
Tulikubaliana kila kitu na alikubali tuwe na mtoto bila malipo na alinielewa kuhusu mkataba wangu katika idara husika niliyokwisha kuielezea.Ni mtoto kutoka katika familia yenye uwezo na alisema anataka ndoa baada ya kujifungua ili aish na mwanamme anayezalisha,alisema anaweza kuudumi ujauzito na hatonitegemea kifedha
pamoja na mambo yote tuliyokubaliana lakini sikuona kama mwil wangu umeonyesha hisia zozote kwake hasa ni kutokana na mavaz yake japo ni bint mrembo,
natumia fursa hii kukushukuru kwa muda wako ila hatutoweza kuwa pamoja *e*m*
3.safari yangu ya tatu ni katika jiji la Dar es salaam na niliingia usiku ilipofika majira ya saa 12 mchana huu nilionana na mgeni wangu kwa mara ya kwanza na pind tulipogonganisha macho wote tulijikuta tukitabasam,kiukwel hisia zangu zilijionyesha kwa bint huyu kwani mnyama wangu alisimama ghafla hivyo niliingia maliwato/msalani kwaajili ya kumtuliza hasa ukitegemea nilikua nimevaa suruali ya kitambaa
Bint huyu alinipeleka mpaka kwenye chumba cha mkutano ndipo nilipo shtuka baada ya kuufungua mlango kwani nilikuta watu wamekaa kwenye meza kubwa mfumo wa pannel kama unapoingia kwenye interview tofaut na nilipokua nikizungumza na wale wengine.
Utambulisho ulianza na kulikua na mwanasheria,mchungaji,sister,kaka wa bint,boss wa bint na mfanyakaz mwenzake.
Katika mazungumzo yetu yaliyochukua saa 1 na nusu,walikubali niwe na bint huyu kama mchumba kabla ya kufunga nae ndoa baada ya mwaka mmoja(walinipa mda huu kwaajili ya kujipanga) na mambo yote yalikua kimaandishi,wakakagua vitambulisho vyangu vyote kuanzia pass ya kusafiria,ID ya chuo,kitambulisho cha kaz na vyote vikaambatanishwa kwenye mkataba,kiukwel hawa jamaa walikua sirious kama mimi nilivyokua.
Baada ya kusainishana nilibaki na bint kwa mda wa nusu saa tukiwa peke yetu na hapa ndipo nilipogundua uzur wa mwanadada huyu mda wote alikua akiangalia chini na kama akiniangalia aliachia tabasam ambalo lilitapakaa kwenye uso wake wote usiopakwa mkorogo kama yule wa mwanza,acha niwe waz blood pressure kwenye mnyama wangu ilikua kubwa sana so mda wote nilikunja nne kuuficha kwa wanaume mnafaham mtu ukivaa suruali ya kitambaa alafu jamaa aamke uone msala wake
Huyu ndio mwanamke atakaekua my one and only,ni kweli kua mke mwema anatoka kwa mungu ila hujui mtakutana nae wap,wengine msikitin,kanisani,chuoni,shuleni,mjini(posta),gengeni n.k ila mimi wa kwangu nimekutana nae kupitia jamii forum.
Boss wa mke wangu mtarajiwa kanipa cd yenye wimbo huu ambao mpaka sasa ndiyo ringtone kwenye cm Yangu
MUNGU IBARIKI JAMII FORUM,MUNGU WABARIKI WANA JAMII FORUM.
Ahsanteni
Kama kituo chako ni Arusha kwa nini usiwe na face to face interaction ili kuwe na mazungumzo mazuri zaidi, si tutafutane Mkuu!!!!arusha 2 dom nilitumia usafiri binafsi(cruser) though siyo wangu,the same from dom 2 mwanza,ila nilipata udhuru ya kikaz nikarud arusha so nilitoka arusha kuja Dar kwa usafiri wa basi.
Watu Mkuu wanaona ugumu kuamini, ila kwa ARusha tuna mifano mizuri tuu Bwana Kimeyi atakupa ukweli!!! Mimi sina wasi wasi na mipango yako ila mtangulize Bwana Mungu wetu aliye hai!!!this is non fiction
Jamani tena vipi mbona mnakwenda mbali, tulizana muwe na akili za kiutu uzima huo ni utoto, kama hukubaliani naye basi tumieni lugha ya staha kujibizana!!!Holla holla nikka in the first place shit was a street lingua for something but what u wrote is a real shit hope u gotta 'em toilet papers otherwise you stink.... watch out mama's boy!
time will tell coz mi ndo nnaish nae siyo wewe
huyo mtoto wako wa miaka 7 unanifananisha nae?kwel umenidharau,ameridh akili zako,unafikiri kama mtoto kazaliwa na clown unategemea awe na akili,
Unajua hii makitu usipofuata vigezo na mashartihahahahahahahahahahahahahah
jasusi nakubali mie sina kazi ya kufanya ila wewe una kazi ya kufanya ndo maana unafantasize ujinga,
balehe tu inakusumbua ukikua utaacha.....
Hahahahahhaaaaa halafu uzi zako pumba heri za Natalia....
Hhahahahaahahahahaaa balehe ukichanganya na majani unapata Kidotulotokordwak.....
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaa baleheeeeeeeeeeee majaniiiiiiiiiiiiiii = jasusi the student hahahahahahaaa
Una utani na Jaffarai na Sugu? Yani haujali hata hata kidogoooo we mtu hivi hivi.
Hongera zako Mkuu, JF ni kila kitu, ila ndugu yangu kwa vile umepewa muda wa kutosha mwaka mmoja kama ulivyo dokeza, nakuomba kama unajipenda na maisha yako mazuri ya baadae, tafadhari mshirikishe Mungu kwa nafasi kubwa ya mipango yako!!!! Nakuomba fanya upate muda mzuri wa maombi, kama hujui au si mshirika wa maombi tafuta mtu atakaye kuongoza katika hilo wako watumishi wengi wazuri ambao sio matapeli wahusishe!!! Kwa vile imekuchukua muda mwingi kufanya reserch naona nia yako ni nzuri tafadhari shirikisha Mungu jambo hilo, Ubarikiwe!!!
Kidotulotokordwak kila siku nakwambia ongea na shigongo akupe page moja kwenye magazeti yake ya rangi rangi,inaonekana ni mtunzi mzuri sana wa stories,pia ongea na Ally yakuti akusaidie kuandika script na pia akusaidie kutafuta casts ili mfanye na movie yake itauza sana!
ha ha ha ha....wahenga walisema jf is never boaring
Haraka bila kuchelewa......
![]()
Na matokeo ya matumizi yake vigezo na masharti hayatazingatiwa.
![]()