sabosabo
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 2,050
- 5,059
Mkuu naona umeamua kujichatisha,maana ukiangalia uzi umeuleta lisaa limoja lilopita na hii Conversation imeanzia 16:21 kwa maana hiyo hata lisaa bado!
Mkuu naona umeamua kujichatisha,maana ukiangalia uzi umeuleta lisaa limoja lilopita na hii Conversation imeanzia 16:21 kwa maana hiyo hata lisaa bado!
Haya.
Niliwaza Kama wwHivi nyie wasabato mnaruhusiwa kuandika nyuzi siku ya sabato?
Sio kazi na yenyewe?
I'm just wondering. No offence.
si kweli..!!Kama kweli utakua unaishi kwenye nyumba isiyo na umeme.
Daah utakua unaishi maisha duni sana...
Cc: mahondaw
tatizo si umeme, tatizo umeme sinao matumizi..Hivi enzi hizi mtu unakaaje nyumba isiyo na umeme kama uwezo unao?
Sent using Jamii Forums mobile app
ww wasemaNaunga unga tu hapa mjini leo zege, kesho cargo, keshokutwa doro. Lakini naishi gheto lenye umeme. Bado naendelea kukushangaa utaishije gheto halina umeme??
si kweliMkuu naona umeamua kujichatisha,maana ukiangalia uzi umeuleta lisaa limoja lilopita na hii Conversation imeanzia 16:21 kwa maana hiyo hata lisaa bado!
Sawa Mkuu!
ndo maana hata yy kauliza why leo umechelewa kanisaniSawa Mkuu!
Nadhani nitakua nimeangalia vibaya!
Nimekuelewa Mkuu!