Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
- Thread starter
- #21
kwan story nazo ni ku-soundisha.. usikariri!!We jamaa unasoundisha demu siku ya sabato?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwan story nazo ni ku-soundisha.. usikariri!!We jamaa unasoundisha demu siku ya sabato?
Leta sa ivi mkuu
kwan dar hakuna nyumba zisizo na umeme!!?We jamaa upo seriously kweli? Kwani unaishi kijiji kipi hapa TZ.?
Hata kama huna uwezo force kingi tu asee. Utaishije kama zombie?Hivi enzi hizi mtu unakaaje nyumba isiyo na umeme kama uwezo unao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Dar hamna vijiji??
ni sawa lkn kumbuka hiz ni conversation za kawaida kwa kwa me&ke. kibaya ni kuomba tendo.Sasa basi wadau naombeni mnishauri, bi dada wa watu bado hajatoa jibu la moja kwa moja kama amenikubalai ombi lang la kuwa nae, ila anadai hawezi kuwa na mtu ambaye naishi nyumba isiyo na umeme
Siku ya sabato!!
haki nimecheka we kijana una manenoHata kama huna uwezo force kingi tu asee. Utaishije kama zombie?
Mimi umeme ukikatika hata dakika mbili hata kama sina matumizi hao huwa natukania tanesco mpaka wizarani
Jf imekua gomba kwakoHivi nyie wasabato mnaruhusiwa kuandika nyuzi siku ya sabato?
Sio kazi na yenyewe?
I'm just wondering. No offence.
Mkuu vijijini kwenyewe kuna umeme ebu acha hizo mbona huna wivu wa maendeleo
Kama kweli utakua unaishi kwenye nyumba isiyo na umeme.
Daah utakua unaishi maisha duni sana...
Cc: mahondaw
Wakuu kwa hiyo namimi nahame hapa ninapoishi hapana umeme?Hivi enzi hizi mtu unakaaje nyumba isiyo na umeme kama uwezo unao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijiji vingi havina umeme mkuu.We jamaa upo seriously kweli? Kwani unaishi kijiji kipi hapa TZ.?
Kaa hapo hapo mfyuuuuWakuu kwa hiyo namimi nahame hapa ninapoishi hapana umeme?