Hassan Othman Hassanoo mikononi mwa polisi

Hassan Othman Hassanoo mikononi mwa polisi

Kama sijakosea nakumbuka Kova alisema nyumba na mtuhumiwa hawataoneshwa hadharani kuwa ni siri! Hii ndo sababu ya mijizi kuongezeka nchini, endeleeni kuiweke hadharani ili tuitambue!
 
invisibble: point of collection hasanol c makamu mwenyekiti wa simba..makamu simba ni Godfrey nyange kaburu..hasanol mwenyekiti chama cha soka pwani (corefa).
 
Inabidi upekuzi ufanyike viongozi wote wa vyama vya michezo kwani hata mzee Mitanga naye mambo yake yalikuwa ya utata hivyo hivyo mpaka siku ya siku ilipofika

Siyo viongozi wa michezo tu, hata wa kisiasa. Jamii ina wasiwasi sana na wanasiasa kama Mbunge Lema kuotokana na historia yake ya kihalifu kabla hajawa Mbunge.
 
wakimaliza hapo wacheki na wezi wakubwa zaidi yao

Hongereni jeshi la polisi
 
hawa jamaa ndio mchezo wao hata kassim dewji hujishughulisha na biashara ya nyara za serikali na ushahidi upo!simba,yanga,moro utd,lyon ni migongo tuu ya kuficha maovu yao
 
invisibble: point of collection hasanol c makamu mwenyekiti wa simba..makamu simba ni Godfrey nyange kaburu..hasanol mwenyekiti chama cha soka pwani (corefa).
yes,exactly! Bt aliwah kuwa makamu mwnyekiti enzi za dalali.
 
Ngoja Tumsibiri Zomba na Mahita, inawezekana wana mjua mtu huyu kwa undani zaidi, na hizo tinted zake zikichunguzwa kwa karibu inawezekana nazo ni za moto!
 
Invisible, the Hassanoo I know used to be a wise guy, and he's smart.
Anafanya biashara ya 'scraps' - metal, plastics ect.
Traed on this information kabla hatujaambiwa JF wambeya.
Behind the Scene: Huyu jamaa kwao ni Magomeni mtaa wa Idrissa, lakini usiku kucha yuko KKoo au kwenye yard zake za vyuma chakavu and alwyas has his silenced pistol on a ready.
 
friends of Simba K TEA SHOP wamekwisha!
Sliding, Mkuu hizi habari nazipata sasa hivi na kusema kweli bado siwezi kuamini kwa sanbabu namfahamu Hassanoo kwa karibu sana. Hii habari ya wizi kusema kweli inanipa wasiwasi mkubwa ingawa siwezi kumwekea mtu yeyote dhamana..
Na kama kweli duh! kweli K -TEA shop tumeadhirika!
 
Sliding, Mkuu hizi habari nazipata sasa hivi na kusema kweli bado siwezi kuamini kwa sanbabu namfahamu Hassanoo kwa karibu sana. Hii habari ya wizi kusema kweli inanipa wasiwasi mkubwa ingawa siwezi kumwekea mtu yeyote dhamana..
Na kama kweli duh! kweli K -TEA shop tumeadhirika!

Mimi ni Yanga dam lakini as long as Simba mlianza kuingiza watu wa ajabu ajabu kwenye Khitma yenu mwaka jana nikajua tuu mmekwisha. Pale kijiweni nako kilichobaki ni kukimbiana

Lakini haishangazi sana kwani kugeukana ndio kawaida ya Simba na watu wao. Huwezi kuamini wamefungua kijiwe kingine kule Guangzhou nako khatari...na usiku kucha hawalali pale hotelini

Lakini kwa kuelewa Simba wanavyopenda kupigana damu bas sitoshangaa 6 na Kaouya wakaingilia kumwokoa mwenzao kwani Friends of Simba pesa wanayo

Ohhh trick nyingine...K-tea shop usinywe chai na vikombe vyako pale ukitoa order agiza kikombe cha platic watakuchaji shilingi 100 more lakini uko poa

Muulize Halisi kama babu yupo?
 
Invisible, the Hassanoo I know used to be a wise guy, and he's smart.
Anafanya biashara ya 'scraps' - metal, plastics ect.
Traed on this information kabla hatujaambiwa JF wambeya.
Behind the Scene: Huyu jamaa kwao ni Magomeni mtaa wa Idrissa, lakini usiku kucha yuko KKoo au kwenye yard zake za vyuma chakavu and alwyas has his silenced pistol on a ready.
mkuu tusubiri habari zaidi...! lakini kama kweli jamaa ni mzee wa "scraper" basi inaashiria kuwa hata ule mzigo wa copper unaweza kuwa wake! tuvute subira lakini!
 
Huyu sijui kaacha hii business kwa vile kaukwaa ubunge...............

Abdul-Mteketa.jpg
 
Back
Top Bottom